Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kuna mshangao, ni kwa nini Afrika haiendelei ingawa ina rasilimali asili lukuki?
Hoja kubwa inayojengewa nadharia nyingi mbalimbali duniani ni kwamba Waafrika wana uwezo mdogo sana wa kufikiri tofauti na watu wa kutoka sehemu nyingine duniani.
Je, ni kweli kwamba Waafrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo kuliko watu toka mabara mengine?
Hoja kubwa inayojengewa nadharia nyingi mbalimbali duniani ni kwamba Waafrika wana uwezo mdogo sana wa kufikiri tofauti na watu wa kutoka sehemu nyingine duniani.
Je, ni kweli kwamba Waafrika uwezo wao wa kufikiri ni mdogo kuliko watu toka mabara mengine?