Uchaguzi 2020 Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Uchaguzi 2020 Je, kuna uwezekano kutangaza nia kugombea Urais kupitia CHADEMA kwa baadhi, kunatumika kama kichaka cha kujifichia aibu ya kushindwa ubunge?.

Watu wamelisoma bandiko lote kweli ama wamuamua tu kumpa za uso jamaa! Nimesoma hapa "...Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?...." na kuona mambo mawili ambayo muandishi ameyaandika. Mosi, kujinusuru na kipigo na mbili kupata mileage zaidi ya kuchaguliwa. Wala hajahitimisha moja kwa moja kuwa wanakwepa kutogombea ubunge!!
Alipoharibu muandishi ni kumung'unya maneno kwenye aya ya kwanza, pale aliposhindwa kuwa muwazi kuhusu sababu ya upinzani kushindwa uchaguzi mkuu ujao!
 
Watu wamelisoma bandiko lote kweli ama wamuamua tu kumpa za uso jamaa! Nimesoma hapa "...Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?...." na kuona mambo mawili ambayo muandishi ameyaandika. Mosi, kujinusuru na kipigo na mbili kupata mileage zaidi ya kuchaguliwa. Wala hajahitimisha moja kwa moja kuwa wanakwepa kutogombea ubunge!!
Alipoharibu muandishi ni kumung'unya maneno kwenye aya ya kwanza, pale aliposhindwa kuwa muwazi kuhusu sababu ya upinzani kushindwa uchaguzi mkuu ujao!
Uchaguzi ni namba, aache kuaminishwa kitu ambacho hakipo...kwn kushindwa kwenye uchaguzi ndo nn?? Ukishindwa maisha lazima yaendelee
 
UNAFIKI wa Pascal NJAA Mayalla



Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.

Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%.

Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kunatumika tuu kama kichaka cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.

Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.

Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.

Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.

NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.

Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.

Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
 
Bora hata wewe bado ulikuwa unamheshimu huyu MPUMBAVU mimi nilishamdharau siku nyingi sana. Hajitambui kabisa ni mmoja wa waandishi wa habari Nchini ambaye AMEIDHARAULISHA sana taaluma ya wanahabari kwa UNDUMILAKUWILI na NJAA ZAKE. Anajirusha huku na kule yule dikteta amuone ili ampe ULAJI lakini wapi! Mpumbavu sana huyu jamaa.

Natangaza hadharani kumdharau Pascal Mayalla katika kipindi chake chote kifupi alichobakiwa nacho hapa duniani
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.

Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%.

Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kunatumika tuu kama kichaka cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.

Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.

Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.

Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.

NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.

Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.

Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Samahani ndugu pachal waeleze wabunge wa ccm nao wachukuwe fomu ya uraisi kupitia ccm kwani kuna kosa lolote
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.

Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%.

Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kunatumika tuu kama kichaka cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.

Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.

Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.

Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.

NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.

Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.

Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Hivi ulisema utagombea jimbo gani kupitia CCM, maana toka umesema utuambii unagombea jumbo gani
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.

Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%.

Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kunatumika tuu kama kichaka cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.

Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.

Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.

Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.

NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.

Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.

Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Mayala huchoki tu kupambania teuzi yaani unajipendekeza kama wale wabunge wa viti maalumu walioasi KUB
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema...
.. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.


NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu.
Nikizingatia utangulizi wa bandiko lako nitajikita kidogo tu na aya yako ya mwisho. Dhana kuwa walio na shaka ya kurejeshwa kwenye Uheshimiwa, na wapiga kura, dio hao wametia nia ya kugombea Urais ina, kwa kiasi fulani, na ukweli.

Hakuna ubishi, labda kwa sababu ya kubishana tu, Rais Magufuli amebadilisha maisha ya wanasiasa kimawazo na kimatendo. Anaishi na kutenda ndani ya nadharia ya "utashi wa kisiasa" (political will). Nadharia ya kisiasa ambayo wengi wameshindwa au hawana uwezo wa kuitafsiri kwa vitendo. Nitarejea baadaye kueleza ni kwa nini wengi wa waheshimiwa hawatarudi mjengoni.

Hebu nitoe tafsiri fupi ya nadharia ya"Utashi wa kisiasa" kama azimio binafsi la mwanasiasa kufanya na kusema mambo ambayo yatakuwa na matokeo yanayotarajiwa. Ufafanuzi huu una maana kadhaa muhimu. Kwanza, unaondoa mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa uwezo mdogo wa kisiasa au vyombo vya kiusimamizi ili kufikia malengo tarajiwa.

Kiutendaji, "utashi wa kisiasa" ni nia ya kisiasa au dhamira ya mwanasiasa aliye na madaraka ya kiserikali kutekeleza, kwa vitendo, Sera, hasa ambayo uwezakano wa kufanikiwa mara moja ni mdogo au hakuna kabisa. Mwanasiasa wa aina hiyo yuko tayari kubeba lawama zote iwapo atashindwa kufikia malengo yake. Kwa misingi hiyo, mwanasiasa huyo hutafsiri sera kwa umakini wakati wa utekelezaji wake.

Rais Magufuli ameitafsiri Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2015 kwa umakini sana na kuitekeleza akiamini matokeo yatakuwa yenye kugusa maisha ya wengi.

Wanasiasa wenye kutambua hilo na/au ambao uwezo wao kutafsiri nadharia ya "utashi wa kisiasa" kwa vitendo ni mdogo au hawana kabisa, aidha hawatagombea ama watahamia chama cha Rais Magufuli, wakitegemea huruma yake. Wachache ni hao waliotia nia ya kugombea Urais kwa imani kuwa wanaweza kuwaaminisha wapiga kura kuwa Sera anazotekeleza Magufuli haziwezi kuleta mabadiliko chanya ya maendeleo (Rejea hotuba zao za kutangaza nia ya kugombea Urais zilivyojaa shutuma na lawama tele dhidi ya Rais Magufuli)

Nawaita WAFA MAJI.
 
Siasa ni sayansi Kuna ujumbe Chadema wanauwasilisha kwa jamii...

Moja ni kuonyesha Chadema Kuna demokrasia kwamba yoyote anaweza kuchukua fomu na kuomba kuteuliwa.

Tofauti na CCM wanaojaribu kutoa fomu moja tu.

Mbili Chadema wamechoka kushadadia siasa za CCM nao sasa wanataka kuongelewa wao kama wao...ndio maana mpaka sasa ni 50/50 hakuna anaemshobokea mwenzake.

Tofauti na chaguzi za Nyuma Chadema walikuwa bize kufuatilia matukio kwenye chaguzi za CCM.

Chadema mwaka huu ilibidi watengeneze mnyukano feki, ili kuzua sito fahamu...yaani watengeneze kiki wapite nayo Hadi karibia na Uchaguzi.

Hata hivyo nawapongeza kwa hatua hizi za awali sio mbaya sana.

Jambo la mwisho ambalo nawashauri Chadema waandae mdahalo wa wagombea wao kila mmoja aeleze sera zake jinsi ya kuikwamua Tanzania.

Watakuwa wametengeneza kitu kikubwa Sana kwenye siasa za Tanzania.
Naunga mkono hapo kwenye siasa ni sayansi... Lakini pia CCM walifanya jambo la kufanana na hili wanalofanya chadema sasa la watu wengi kujitokeza na kuchukua fomu ingawa malengo yanaweza kutofautiana ila mantiki ni kucheza na akili ya mwananchi (mpiga kura)
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo:
Hili ni bandiko la swali, kuhusu ideas ya watangaza nia wa urais Chadema. Kama una majibu, karibu uchangie. Nimeanza na angalizo hili kwasababu humu jf tumevamiwa na ma simple minds ambao kazi yao ni kujadili watu badala ya kujadili ideas!. Kumezuka mtindo wa watu kutokujadili hoja iliyo mezani na badala yake kumjadili mtoa hoja!. Tujifunze kujadili mada iliyo mezani na sio kumjadili mtoa mada.

Kuelekea uchaguzi wa 2020, imetabiriwa kuwa kwa huku Tanzania Bara, Wabunge wote wa upinzani hata wakigombea tena, wataishia kupigwa chini na CCM, kufuatia kukubalika kwa CCM kwa kazi kubwa na nzuri ya kuwaletea maendeleo Watanzania inayofanywa na rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano. Imetabiriwa CCM itashinda uchaguzi Mkuu ujao kwa ushindi wa kishindo cha asilimia 99.9%.

Hivyo ili kuepuka kushindwa kwa aibu, jee kunauwezekano, huku kutangaza nia ya kuwania kuteuliwa na vyama kugombea urais kupitia tiketi ya chadema, kwa baadhi ya wagombea, sio kweli kuwa wanataka kugombea urais kwa dhati, bali kunatumika tuu kama kichaka cha kujifichia aibu ya kugombea na kushindwa Ubunge?, hivyo kuutumia huo ugombea urais wa kupitia Chadema as an excuse ya kutogombea ubunge?.

Au ndio wanatangaza nia ya kugombea urais kupitia Chadema ili kuutumia ugombea huo kama ngazi ya kujisuru kipigo cha CCM kwa kuwaonyeshea wapiga kura kuwa wao ni presidential materials, hivyo kama wangeweza kuwa rais wa JMT kupitia Chadema, then ubunge ni nini compared?, hivyo kuwapa mileage zaidi ya kuchaguliwa ubunge?.

Lengo la kuuliza hivi, ni kufuatia watia nia wakizidi kumiminika Chadema licha ya kumjua mgombea wa CCM ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ni mtu wa namna gani, na amefanya nini, na wewe unajijua ni mtu wa namna gani, unawezaje kathubutu kuchukua fomu kuomba kuteuliwa Chadema kumkabili Magufuli?.

Nilidhani wana Chadema, baada tuu ya kumsikia Tundu Lissu ametangaza nia, then haikutarajiwa kama kuna mtu mwingine yoyote Chadema angethubutu kuchukua fomu kwa upinzani kufutia upinzani legelege uliopo nchini Tanzania kiasi kwamba kwa maoni yangu, ndani ya kambi nzima ya upinzani, watu pekee ambao wanaweza kumkabili rais Magufuli na aka feel angalau ka joto joto cha uchaguzi, ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe pekee, hivyo hawa wagombea wengine wanao omba kuteuliwa Chadema, are they serious kweli au wanagombea tuu ili na wao kuonyeshea ni presidential materiale?!.

NB. Leo ninapozungumza haya, sii wengi wanajua kuwa kuna baadhi ya wabunge wa majimbo wa Chadema, hawatagombea tena uchaguzi wa 2020, hivyo namna nzuri ya kutogombea kwa heshima ni kugombea urais!. Lakini kwa wale ambao hawatapitishwa kwenye urais na kuendelea kugombea ubunge, then bandiko hili haliwahusu!.

Jumatatu Njema.
Paskali
Rejea
Elections 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!.

Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?

Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!.

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

Elections 2020 - Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
1) Chama cha siasa kusimamisha mgombea, hata kama mna uhakika hamtashinda, ni jambo muhimu kimkakati. Linaimarisha nguvu ya chama.
2) Magufuli amefanya mengi mazuri, lakini kwa hesabu zangu, ana mengi zaidi ya kuudhi na kukera. Inaonekana na yeye amalijua, ndio maana Magu siyo mshabiki wa chaguzi huru
 
Anajua kabisa kwa ccm haina tena mvuto mbele ya watanzania
1) Chama cha siasa kusimamisha mgombea, hata kama mna uhakika hamtashinda, ni jambo muhimu kimkakati. Linaimarisha nguvu ya chama.
2) Magufuli amefanya mengi mazuri, lakini kwa hesabu zangu, ana mengi zaidi ya kuudhi na kukera. Inaonekana na yeye amalijua, ndio maana Magu siyo mshabiki wa chaguzi huru
 
Wewe nani asiye kujua kuwa ni mpigania ugali? Haitatokea wewe ukatoa mchango wa kulijenga taifa.

Hakuna mtu wa ku kusikiliza huo ugoro wako
Nikizingatia utangulizi wa bandiko lako nitajikita kidogo tu na aya yako ya mwisho. Dhana kuwa walio na shaka ya kurejeshwa kwenye Uheshimiwa, na wapiga kura, dio hao wametia nia ya kugombea Urais ina, kwa kiasi fulani, na ukweli.

Hakuna ubishi, labda kwa sababu ya kubishana tu, Rais Magufuli amebadilisha maisha ya wanasiasa kimawazo na kimatendo. Anaishi na kutenda ndani ya nadharia ya "utashi wa kisiasa" (political will). Nadharia ya kisiasa ambayo wengi wameshindwa au hawana uwezo wa kuitafsiri kwa vitendo. Nitarejea baadaye kueleza ni kwa nini wengi wa waheshimiwa hawatarudi mjengoni.

Hebu nitoe tafsiri fupi ya nadharia ya"Utashi wa kisiasa" kama azimio binafsi la mwanasiasa kufanya na kusema mambo ambayo yatakuwa na matokeo yanayotarajiwa. Ufafanuzi huu una maana kadhaa muhimu. Kwanza, unaondoa mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa uwezo mdogo wa kisiasa au vyombo vya kiusimamizi ili kufikia malengo tarajiwa.

Kiutendaji, "utashi wa kisiasa" ni nia ya kisiasa au dhamira ya mwanasiasa aliye na madaraka ya kiserikali kutekeleza, kwa vitendo, Sera, hasa ambayo uwezakano wa kufanikiwa mara moja ni mdogo au hakuna kabisa. Mwanasiasa wa aina hiyo yuko tayari kubeba lawama zote iwapo atashindwa kufikia malengo yake. Kwa misingi hiyo, mwanasiasa huyo hutafsiri sera kwa umakini wakati wa utekelezaji wake.

Rais Magufuli ameitafsiri Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2015 kwa umakini sana na kuitekeleza akiamini matokeo yatakuwa yenye kugusa maisha ya wengi.

Wanasiasa wenye kutambua hilo na/au ambao uwezo wao kutafsiri nadharia ya "utashi wa kisiasa" kwa vitendo ni mdogo au hawana kabisa, aidha hawatagombea ama watahamia chama cha Rais Magufuli, wakitegemea huruma yake. Wachache ni hao waliotia nia ya kugombea Urais kwa imani kuwa wanaweza kuwaaminisha wapiga kura kuwa Sera anazotekeleza Magufuli haziwezi kuleta mabadiliko chanya ya maendeleo (Rejea hotuba zao za kutangaza nia ya kugombea Urais zilivyojaa shutuma na lawama tele dhidi ya Rais Magufuli)

Nawaita WAFA MAJI.
 
Aliyepo madarakani ndiye kasababisha wafanye hivyo ndiyo maana wanaeleza weaknesses utawala huu ambao umeshindwa kwelikweli kwenye nyanja zote

Ishu za ulegelege wa vyama vya upinzani umeonesha wazi unafiki maana mimi binafsi naona wapinzani wapo imara ila wale tawala wametumia nguvu ya ziada isiyo ya kisiasa kuwazimisha wapinzani ili wasionekane tena hata katika chaguzi mbalimbali na sasa huu mkuu.

Sema ulegelege wa upinzani niseme ulegelege wa hao unaodai wanaogopwa.
 
Wewe nani asiye kujua kuwa ni mpigania ugali? Haitatokea wewe ukatoa mchango wa kulijenga taifa.

Hakuna mtu wa ku kusikiliza huo ugoro wako
Bila shaka na amini nimekuelewa na nadhani pia umeeleweka na jamii ya JF kuhusu kiwango chako cha kujadili mada. HONGERA SANA - keep it up[emoji111]
 
Nikizingatia utangulizi wa bandiko lako nitajikita kidogo tu na aya yako ya mwisho. Dhana kuwa walio na shaka ya kurejeshwa kwenye Uheshimiwa, na wapiga kura, dio hao wametia nia ya kugombea Urais ina, kwa kiasi fulani, na ukweli.

Hakuna ubishi, labda kwa sababu ya kubishana tu, Rais Magufuli amebadilisha maisha ya wanasiasa kimawazo na kimatendo. Anaishi na kutenda ndani ya nadharia ya "utashi wa kisiasa" (political will). Nadharia ya kisiasa ambayo wengi wameshindwa au hawana uwezo wa kuitafsiri kwa vitendo. Nitarejea baadaye kueleza ni kwa nini wengi wa waheshimiwa hawatarudi mjengoni.

Hebu nitoe tafsiri fupi ya nadharia ya"Utashi wa kisiasa" kama azimio binafsi la mwanasiasa kufanya na kusema mambo ambayo yatakuwa na matokeo yanayotarajiwa. Ufafanuzi huu una maana kadhaa muhimu. Kwanza, unaondoa mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa uwezo mdogo wa kisiasa au vyombo vya kiusimamizi ili kufikia malengo tarajiwa.

Kiutendaji, "utashi wa kisiasa" ni nia ya kisiasa au dhamira ya mwanasiasa aliye na madaraka ya kiserikali kutekeleza, kwa vitendo, Sera, hasa ambayo uwezakano wa kufanikiwa mara moja ni mdogo au hakuna kabisa. Mwanasiasa wa aina hiyo yuko tayari kubeba lawama zote iwapo atashindwa kufikia malengo yake. Kwa misingi hiyo, mwanasiasa huyo hutafsiri sera kwa umakini wakati wa utekelezaji wake.

Rais Magufuli ameitafsiri Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2015 kwa umakini sana na kuitekeleza akiamini matokeo yatakuwa yenye kugusa maisha ya wengi.

Wanasiasa wenye kutambua hilo na/au ambao uwezo wao kutafsiri nadharia ya "utashi wa kisiasa" kwa vitendo ni mdogo au hawana kabisa, aidha hawatagombea ama watahamia chama cha Rais Magufuli, wakitegemea huruma yake. Wachache ni hao waliotia nia ya kugombea Urais kwa imani kuwa wanaweza kuwaaminisha wapiga kura kuwa Sera anazotekeleza Magufuli haziwezi kuleta mabadiliko chanya ya maendeleo (Rejea hotuba zao za kutangaza nia ya kugombea Urais zilivyojaa shutuma na lawama tele dhidi ya Rais Magufuli)

Nawaita WAFA MAJI.
umeanza kwa mbwembwenikajua nitakutana na uchambuzi makini ndan ya comment hahaha nimeona ni mbwembwe na uchambuzi usio na tija yoyote hata hujui ulichochambua kama unabisha njoo nikuulize swali kutokana na comment yako .
 
Back
Top Bottom