richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,023
Ukifa ni umekufa, hakuna aliewahi kufa akarudi , so ukwel wa uko wanajua wafu tu, zaidi ufanganywe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona kosa hapo maana mwenye uzi kasema kila mtu adadavue kwa imani yake na kwa brain yake.😂 😂 mkuu acheni blahblah. hivi vitu mnatoa wapi.
tuweke na reference ya kile tunachokileta hapa
Ukifa ni umekufa, hakuna aliewahi kufa akarudi , so ukwel wa uko wanajua wafu tu, zaidi ufanganywe
Dah yaan sometimes nachukia mpaka kurudi nyumbani..maana simuoni tena kama nilivozoea kumkuta hapa nyumbaniMkuu pole sanaaa Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Pole sana kiongozi, mwaka umekuwa mgumu sana huu kwa baadhi ya watu.Mkuu swali lako limenitonesha kidonda. Nimempoteza mama yangu mzazi wiki iliyoisha. Pumzika kwa amani mama angu.
Natamani hata nikufate ulipo. Nakukumbuka sana
Nadhani hizi chanjo za korona za J&J zimeanza kuharibu bongo za baadhi ya watu sasa!!! 🙂Kama hakuna kufa, baada ya maisha ya hapa duniani... Nikimaanisha je baada ya kufika uzeeni watu wanayeyuka au ?
Put your trust in GOD, you will never be disappointed nor be depressedDah yaan sometimes nachukia mpaka kurudi nyumbani..maana simuoni tena kama nilivozoea kumkuta hapa nyumbani
AsantePole sana kiongozi, mwaka umekuwa mgumu sana huu kwa baadhi ya watu.
Hayo ni majini/mizimu ya ukoo inavaa sura ya mababu zako au ndugu zako 😁😁Wapo watu hukutana na waliofariki kwa njia ya ndoto.
So nafikiri kuna kukutana huko wote mkishakufa.
What I know is that death has not been, and is not, the ultimate destiny of ALL people. And, better yet, it's not the end of the story. Not all people who have died, and who will die, are doomed forever. ^There is a bright light beyond the dark tunnel^ ^Every dark cloud has a silver lining^ they say.Mkuu Jasmoni Tegga, come up with something please!
Sema kitu mkuu....Nadhani hizi chanjo za korona za J&J zimeanza kuharibu bongo za baadhi ya watu sasa!!! 🙂
HUU ULIMWENGU HAIJAWAHI KUWA NA MIAKA MAMILIONIFuvu la binadamu wa kwanza liligunduliwa olduvai miaka 62 iliyopita na walivyolipima kwa carbon14 waligundua lilikuwa na miaka milioni 1.75 ,tambua kwamba yesu ali exist miaka 2000 tu iliyopita sasa piga mahesabu mpaka aje kufikisha miaka milioni 1.75 itakuwa lini hiyo?
Dhamana ya kunitoa lupango unayo!??? 🙂Sema kitu mkuu....
Hii ni Johnson and JohnsonWhat I know is that death has not been, and is not, the ultimate destiny of ALL people. And, better yet, it's not the end of the story. Not all people who have died, and who will die, are doomed forever. ^There is a bright light beyond the dark tunnel^ ^Every dark cloud has a silver lining^ they say.
Are you sure!???HUU ULIMWENGU HAIJAWAHI KUWA NA MIAKA MAMILIONI
wewe angalia miaka mia tu ilyopita, maendeleo yaliyopatikana kwenye hiyo miaka mia. halafu mtu atuambia miaka milioni sijui nini nini
Chukua tu Miaka ya 80s tanzania tukimiliki redio tu. hakuna simu,hakuna tv na mpaka sasa hivi tumeshuhudia mabadiliko tunayoyaona
Miaka milioni siyo mchezo
mkuu kuna imani ambayo haina reference kweli:?Sijaona kosa hapo maana mwenye uzi kasema kila mtu adadavue kwa imani yake na kwa brain yake.
Kama ni hivyo acha tu, kwa usalama wako! 😂😂😂Dhamana ya kunitoa lupango unayo!??? 🙂
Natafuta mantiki ya maelezo yako, lakini where!??? Au nasema uongo ndugu zangu!???