Je, kuna uwezekano wa kukutana tena baada ya maisha ya duniani?

Je, kuna uwezekano wa kukutana tena baada ya maisha ya duniani?

HUU ULIMWENGU HAIJAWAHI KUWA NA MIAKA MAMILIONI
wewe angalia miaka mia tu ilyopita, maendeleo yaliyopatikana kwenye hiyo miaka mia. halafu mtu atuambia miaka milioni sijui nini nini
Chukua tu Miaka ya 80s tanzania tukimiliki redio tu. hakuna simu,hakuna tv na mpaka sasa hivi tumeshuhudia mabadiliko tunayoyaona
Miaka milioni siyo mchezo

Mkuu ni kweli ulimwengu una zaidi ya miaka mamilioni ,enzi hizo za wakati wao vitu walivyokuwa navyo waliona ni vya kisasa sana,ebu pata picha enzi hizo mtu akiwa na Peugeot 504 au laizon au bugaluu au radio ya mkulima? Soma historia miaka ya 1500 kulikuwa na matycoon wa kutisha ,labda unazungumzia Africa kabla wazungu hawajaanza kuja...usa 1700 huko kuna maendeleo ya kutisha.

Hata haya Ma Range Rover Autobiography au VX V8 Kilimo kwanza au Bugatti wakija vitukuu vyetu wakiyaona watasema ni ya ajabu ajabu(kama sisi tunavyoona sasa comb au mgongo wa chura) wakati kwa kipindi hiki ni hatari kumiliki kama una njaa njaa utayaona tu barabarani.
 
What I know is that death has not been, and is not, the ultimate destiny of ALL people. And, better yet, it's not the end of the story. Not all people who have died, and who will die, are doomed forever. ^There is a bright light beyond the dark tunnel^ ^Every dark cloud has a silver lining^ they say.
Allow me to be curious on this: what do you believe to be the destiny of all mankind;
1. Resurrection
2. Reincarnation
3.Rebirth
4. Immortality in form of legacy
5. Immortality as a memory.
 
Mantiki ni kwamba maisha yanaendelea tu ,nimetoa mfano wa huyo mtu aliyekufa miaka 1.75 milioni iliyopita,kwahiyo mtu akifa biashara inakuwa imeisha waliobaki wanaendelea kuishi mpaka dunia itakayokuja kucollapse huko mbeleni,lakini dunia nayo ina zaidi ya miaka 4.5Bilions! Sio kila comment ni ya kujibu swali lililoulizwa bali kuweza kuangalia jambo kwenye angle nyingine.
Ile discovery ya Olduvai Gorge ilifanyika kweli. That's a fact. What is not fact ni kwamba hakuna mtu aliye na uhakika wa maelezo yako na yao. Hizo ni scientific opinions tu, kama ile ya Geocentric Theory ya mwanasayansi Ptolemy, a wrong one BTW.
 
Are you sure!???
sasa mkuu hivi miaka milioni kweli unaona inaingia akilini 🙄 🙄 labda kama watu walilala tu
Mwaka 1978 watanzania tulikadiriwa kuwa 12milioni ,hadi sasa miaka kama 40 hivi tuko milioni 60, sasa dunia ndo ikae miaka hata milioni moja tu tutakuwa wangapi
Ukifuatilia biblia ulimwengu una miaka kama 7000 hivi
kuanzia uumbaji hadi gharika ilikuwa imepita miaka kama 2000 ,kuanzia gharika hadi kuzaliwa kwa Yesu kuna miaka tena kama 2000
na kuanzia kuzaliwa kwa Yesu hadi leo inakadriwa ni miaka 2000 tena
 
First of all, Mtu akishafufuliwa atakua kwenye hali gani?? Kumbukumbu na experience ndio zinakufanya weww uwe wewe (The real you) Je zitaondolewa au zitabakia vilevile??
 
I totally believe in the truthfulness of all these (and many more), but with understanding which might be completely or slightly different from yours.
Allow me to be curious on this: what do you believe to be the destiny of all mankind;
1. Resurrection
2. Reincarnation
3.Rebirth
4. Immortality in form of legacy
5. Immortality as a memory.
 
sasa mkuu hivi miaka milioni kweli unaona inaingia akilini 🙄 🙄 labda kama watu walilala tu
Mwaka 1978 watanzania tulikadiriwa kuwa 12milioni ,hadi sasa miaka kama 40 hivi tuko milioni 60, sasa dunia ndo ikae miaka hata milioni moja tu tutakuwa wangapi
Ukifuatilia biblia ulimwengu una miaka kama 7000 hivi
kuanzia uumbaji hadi gharika ilikuwa imepita miaka kama 2000 ,kuanzia gharika hadi kuzaliwa kwa Yesu kuna miaka tena kama 2000
na kuanzia kuzaliwa kwa Yesu hadi leo inakadriwa ni miaka 2000 tena
So, evidence yako ya idadi ya watu duniani ndiyo unaiona ina mashiko sana!???
 
There's nothing like a "bright light" kiongozi. When you die, unaoza na kuliwa na wadudu..inabaki mifupa and that's the end of it.

Life after death ni upotoshaji tu ili mwanadamu aishi kwa kujifariji.
What I know is that death has not been, and is not, the ultimate destiny of ALL people. And, better yet, it's not the end of the story. Not all people who have died, and who will die, are doomed forever. ^There is a bright light beyond the dark tunnel^ ^Every dark cloud has a silver lining^ they say.
 
Mkuu swali lako limenitonesha kidonda. Nimempoteza mama yangu mzazi wiki iliyoisha. Pumzika kwa amani mama angu.

Natamani hata nikufate ulipo. Nakukumbuka sana
Pole sana mkuu.
Mungu ampe pumziko na ampunguzie adhabu ya kaburi
 
Tushirikiane kulidadavua hili kwa pamoja kila mtu kwa imani yake na kwa brain yake.

Maana kabla ya hapa duniani hatukumbuki tulikuwa wapi. Je, baada ya hapa duniani tutakutana tena baada ya hapa au ndio tunamaliza kila kitu hapa.

Hizo ni story za kufarijiana tu ukishakufa ndo imetoka hiyo
 
I salute your formidable bravery. It is presumptuous & useless, though.
There's nothing like a "bright light" kiongozi. When you die, unaoza na kuliwa na wadudu..inabaki mifupa and that's the end of it.

Life after death ni upotoshaji tu ili mwanadamu aishi kwa kujifariji.
 
Mfano imani za kimila
mkuu kuna imani ambayo haina reference kweli:?
Imani zina vitabu vyake ,tunategemea tupate ushahidi wa kitabu mkuu
ni hivyo tu
Kwa imani za kimila reference itatoka wapi ikiwa wazee walishafariki miaka mingi iliyopita na mizimu ilishaacha kuja kwenye majumba na malaloni!!!
 
Mkuu swali lako limenitonesha kidonda. Nimempoteza mama yangu mzazi wiki iliyoisha. Pumzika kwa amani mama angu.

Natamani hata nikufate ulipo. Nakukumbuka sana
Pole sana !! Am feel the same pinch u are facing, nilimpoteza mama angu 2 years back,lakin nashangaa maumivu hayapoi kabisaaa!!! Kamakafariki Jana vile!!!
Kutokana na maandiko na imani ya kislam inaonyesha kuna maisha baada ya kifo yanaitwa barzakhan!! Ambapo tutakutana once again na kuishi Ila maisha flan ambayo hayafanani na hata Ila yapo
 
I totally believe in the truthfulness of all these (and many more), but with understanding which might be completely or slightly different from yours.
And this is what has kept me in this thread of dialogue, to share knowledge however different from each other they may look. It perplexes me how or where you may be standing by believing all of the above mentioned beliefs on life after death. I am curious!
 
Nachojua, Da'Vinci huwa haulizi maswali, bali anajibu 🙂
Mkuu mimi nafahamu kwamba
baada ya roho kuacha mwili mwili huoza, hivyo roho ndio hubaki sehemu mabayo itasubiri kusomewa hukumu yake. Mungu atahukumu roho, ili uweze kuishi milele mwanadamu lazima uwe katikati mfumo wa roho.

Sasa shida inakuja hapa!

-Je siku ya kuhukumiwa mimi nitakua najifahamu kua ndio mimi? (Kumbuka roho ndio inabeba taarifa zako zote/kwenye roho ndio kuna mind ambayo inahusika nawe kujitambua)

-Kama nitajitambua nitawezaje kuishi heaven kwa raha huku wazazi na ndugu zangu wapendwa nimewashuhudia wakienda kuchomwa moto?

-Labda siku hiyo tutakua hatutambuani, kama hatutambuani it means hata mimi sitajitambua. Sasa kama mimi sitajitambua nitajuaje kama ni mimi ndio niko peponi au motoni? (Kumbuka kama nikijitambua sitafurahia kwenda heaven wakati my wife and any of my kids they're suffering in hell)

-Sawa nitajitambua, nitakubali na matokeo ndigu zangu wateseke motoni. Je wale wanawake 70 bikra nitawafaidi vipi wakati mimi nitakua katika mfumo wa roho, roho haiwezi kufanya mapenzi and lastly huko Mungu hawezi kuparuhusu tupafanye danguro. (Kumbuka Mbinguni tutakua kwa mfumo wa roho, sio mwili maana mwili huharibika. Kama tukiwa nao basi hatutoishi huko milele, mwili ni compatible kwa maisha ya Duniani tu
 
Tushirikiane kulidadavua hili kwa pamoja kila mtu kwa imani yake na kwa brain yake.

Maana kabla ya hapa duniani hatukumbuki tulikuwa wapi. Je, baada ya hapa duniani tutakutana tena baada ya hapa au ndio tunamaliza kila kitu hapa.
Baada ya kiama zitakazokutana ni roho sio miili tena.. Na kwassasa hakuna kutano lolote
 
Back
Top Bottom