Je, kuna uwezekano wa kukutana tena baada ya maisha ya duniani?

Je, kuna uwezekano wa kukutana tena baada ya maisha ya duniani?

And this is what has kept me in this thread of dialogue, to share knowledge however different from each other they may look. It perplexes me how or where you may be standing by believing all of the above mentioned beliefs on life after death. I am curious!
Ndiyo maana nikapendekeza Mods waweke options za phone numbers 🙂 ili issue kama hizi tuwe tunazimaliza hapahapa. Au nasema uongo ndugu zangu!? 🙂
 
Not true kwamba ukizaliwa lazima utakufa, unless kama wewe ni kundi la akina Mshana Jr wanaoamini katika uchawi 🙂
unless kama wewe ni kundi la akina Mshana Jr wanaoamini katika uchawi [emoji4]...!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827] Kwani hiyo ndio imani ya uchawi?
 
Mkuu mimi nafahamu kwamba
baada ya roho kuacha mwili mwili huoza, hivyo roho ndio hubaki sehemu mabayo itasubiri kusomewa hukumu yake. Mungu atahukumu roho, ili uweze kuishi milele mwanadamu lazima uwe katikati mfumo wa roho.

Sasa shida inakuja hapa!

-Je siku ya kuhukumiwa mimi nitakua najifahamu kua ndio mimi? (Kumbuka roho ndio inabeba taarifa zako zote/kwenye roho ndio kuna mind ambayo inahusika nawe kujitambua)

-Kama nitajitambua nitawezaje kuishi heaven kwa raha huku wazazi na ndugu zangu wapendwa nimewashuhudia wakienda kuchomwa moto?

-Labda siku hiyo tutakua hatutambuani, kama hatutambuani it means hata mimi sitajitambua. Sasa kama mimi sitajitambua nitajuaje kama ni mimi ndio niko peponi au motoni? (Kumbuka kama nikijitambua sitafurahia kwenda heaven wakati my wife and any of my kids they're suffering in hell)

-Sawa nitajitambua, nitakubali na matokeo ndigu zangu wateseke motoni. Je wale wanawake 70 bikra nitawafaidi vipi wakati mimi nitakua katika mfumo wa roho, roho haiwezi kufanya mapenzi and lastly huko Mungu hawezi kuparuhusu tupafanye danguro. (Kumbuka Mbinguni tutakua kwa mfumo wa roho, sio mwili maana mwili huharibika. Kama tukiwa nao basi hatutoishi huko milele, mwili ni compatible kwa maisha ya Duniani tu
Mimi naamini roho+mwili unapata kiumbe hai, roho bila mwili hakun kitu, yaani bila mwili I don't exist hata kama roho inaelea huko duniani kama walimwengu mwanavyosema.

Hii ya kusema tutafufuliwa tena, while our bodies are rotten ni nadharia tupu.
 
Uwezekano upo mkubwa sana
Tushirikiane kulidadavua hili kwa pamoja kila mtu kwa imani yake na kwa brain yake.

Maana kabla ya hapa duniani hatukumbuki tulikuwa wapi. Je, baada ya hapa duniani tutakutana tena baada ya hapa au ndio tunamaliza kila kitu hapa.

Mkuu swali lako limenitonesha kidonda. Nimempoteza mama yangu mzazi wiki iliyoisha. Pumzika kwa amani mama angu.

Natamani hata nikufate ulipo. Nakukumbuka sana
Kama una imani na dhabihu ya Yesu basi utakuwa na tumaini kwa wapendwa wako waliokufa sababu mtakutana tena.
 
HUU ULIMWENGU HAIJAWAHI KUWA NA MIAKA MAMILIONI
wewe angalia miaka mia tu ilyopita, maendeleo yaliyopatikana kwenye hiyo miaka mia. halafu mtu atuambia miaka milioni sijui nini nini
Chukua tu Miaka ya 80s tanzania tukimiliki redio tu. hakuna simu,hakuna tv na mpaka sasa hivi tumeshuhudia mabadiliko tunayoyaona
Miaka milioni siyo mchezo
So ulimwengu hauna mamilioni ya miaka kwa fact ya kimaendeleo yaliyopatikata tanzania kwa miaka mia?
 
baada ya roho kuacha mwili mwili huoza, hivyo roho ndio hubaki sehemu mabayo itasubiri kusomewa hukumu yake.
Mwanadamu alivyo hai ndivyo mnyama yoyote alivyo hai. The only difference ni kwamba mwanadamu ni higher form of creation kwa sababu amekuwa endowed with peculiar mental capacity & intelligence. Issue ya roho na mwili hizo ni FALSE Greek mythology.


-Kama nitajitambua nitawezaje kuishi heaven kwa raha huku wazazi na ndugu zangu wapendwa nimewashuhudia wakienda kuchomwa moto?
Hii kisaikolojia inaitwa ^Adam's Mindset^ Mzazi wetu wa kwanza aliamini fika kwamba Mungu asingeweza kufanya jambo tofauti au kumuumbia mke mwingine, baada ya Hawa mkewe kula tunda na kuasi. So he, Father Adam, decided to brave the consequences ili afe na mkewe!!! Pathetic!!! How powerful and loving is your GOD!???
 
Ukifa umekufa giza tuu hizo habari za maisha ya baadae hamna. Ila mimi ntakuwa mzimu wa msitu
 
HUU ULIMWENGU HAIJAWAHI KUWA NA MIAKA MAMILIONI
wewe angalia miaka mia tu ilyopita, maendeleo yaliyopatikana kwenye hiyo miaka mia. halafu mtu atuambia miaka milioni sijui nini nini
Chukua tu Miaka ya 80s tanzania tukimiliki redio tu. hakuna simu,hakuna tv na mpaka sasa hivi tumeshuhudia mabadiliko tunayoyaona
Miaka milioni siyo mchezo
Acha ubishi Kama wa jiwe Hivi hujui Dunia imepitia civilization ngapi mbaka kufika hapa tulipo?
Mkuu Dunia hua inabadilika kulingana na majira na nyakati mbali mbali ndio maana Kuna Ile dinosaurs agestone ages,iron ages, Gold ages,
Na nyingine nyingi mbaka Leo tupo grobalization age
Dunia inaenda Kwa hatua na kizazi huja na kupotea mfano Kama hapo golden ages binadamu walikua wanaishi na majitu ya ajabu Kama Manefili,warefai na magiant mengine ya ajabu ajabu ila kizazi Chao kilikua na vurugu mtindo mmoja Hii ndio tunaita zama za vita maana kiumbe aliyekua super na mwenye akili nyingi ni binadamu japo kiumbo alikua mdogo kulinganisha na hao majitu binadamu alikua na uwezo wa kuvumbua zana nzito na kutumia akili kukabilisna na hayo majamaa na ndio still mbaka Leo tunasurvive!
 
Ufunuo wa Yohana 21:1
Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.

Ufunuo wa Yohana 21:2
Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.

Ufunuo wa Yohana 21:3
Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.

Ufunuo wa Yohana 21:4
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Ufunuo wa Yohana 21:5
Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.

Ufunuo wa Yohana 21:6
Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.

Ufunuo wa Yohana 21:7
Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.

Ufunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
 
Ufunuo wa Yohana 21:1
Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.

Ufunuo wa Yohana 21:2
Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.

Ufunuo wa Yohana 21:3
Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.

Ufunuo wa Yohana 21:4
Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.

Ufunuo wa Yohana 21:5
Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.

Ufunuo wa Yohana 21:6
Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.

Ufunuo wa Yohana 21:7
Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.

Ufunuo wa Yohana 21:8
Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
 
Acha ubishi Kama wa jiwe Hivi hujui Dunia imepitia civilization ngapi mbaka kufika hapa tulipo?
Mkuu Dunia hua inabadilika kulingana na majira na nyakati mbali mbali ndio maana Kuna Ile dinosaurs agestone ages,iron ages, Gold ages,
Na nyingine nyingi mbaka Leo tupo grobalization age
Dunia inaenda Kwa hatua na kizazi huja na kupotea mfano Kama hapo golden ages binadamu walikua wanaishi na majitu ya ajabu Kama Manefili,warefai na magiant mengine ya ajabu ajabu ila kizazi Chao kilikua na vurugu mtindo mmoja Hii ndio tunaita zama za vita maana kiumbe aliyekua super na mwenye akili nyingi ni binadamu japo kiumbo alikua mdogo kulinganisha na hao majitu binadamu alikua na uwezo wa kuvumbua zana nzito na kutumia akili kukabilisna na hayo majamaa na ndio still mbaka Leo tunasurvive!
Acha mawazo ya kihistoria, vitabu vya shuleni vinakudanganya!! Kumbuka hivyohivyo vitabu haviamini uuumbaji wa mwanadamu,!!
 
Hata uwe mbea vipi huwezi ijua siri ya kaburini.
 
Back
Top Bottom