mwanamk anaruhusiwa kutaman mwanaume asie mmewe?Ni sahihi tu wala hazitakiwi kubadilishwa ...
mtamani mkeo tu mkuu
Hii kweli tupumarekebisho ya katiba ya nchi tu yanatushinda...........halafu mnataka tubadili ya Mungu
Mwanamume ndiye anayeoa(sizungumzii utamaduni wa wahindi hapa) hivyo amri hiyo inamuhusu,hakuna haja ya mapitio kwani hakuna kilichobadilikaAmri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.
Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.
Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.
Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?
Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
Mwanamume ndiye anayeoa(sizungumzii utamaduni wa wahindi hapa) hivyo amri hiyo inamuhusu,hakuna haja ya mapitio kwani hakuna kilichobadilika
[emoji3] [emoji3] [emoji3] umenena mkuumarekebisho ya katiba ya nchi tu yanatushinda...........halafu mnataka tubadili ya Mungu
Haruhusiwimwanamk anaruhusiwa kutaman mwanaume asie mmewe?
mbn haijaandikwa kwe zile amri mkuu?Haruhusiwi
marekebisho ya katiba ya nchi tu yanatushinda...........halafu mnataka tubadili ya Mungu
Ndugu yangu GOD'S LAWS are Immutable!! Amri za MUNGU hazibadiliki mpka hapo mbingu na nchi zitakapopita!!Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.
Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.
Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.
Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?
Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
Zitakapopita kuelekea wapi?Ndugu yangu GOD'S LAWS are Immutable!! Amri za MUNGU hazibadiliki mpka hapo mbingu na nchi zitakapopita!!