Je, kuna uwezekano wa "kureview" amri 10 za Mungu?

Je, kuna uwezekano wa "kureview" amri 10 za Mungu?

Kijana ukihitaj kureview hizo amri hizo mpya zitaongezeka zaid ya buku.... Simamia hizo hizo tu..
 
Naomba nikueleweshe kidogo, haitakaa itokee duniani mwanamke akamtamani mume wa mtu kimapenzi, kamwe halipo bali mwanamke anatamani mme wa mtu pesa na mafanikio au mali zake tu, na hapo amri imekataza usitamani mali ya mtu mwingine kwa sababu mali alizonazo huyo mume ni za mtu au mwanamke wake. Ni mwanaume tu anayemtamani mwanamke kimapenzi. Ukitaka kujua uwe maskini na sura yako nzuri kama kuna mwanamke atakutazama, ila nenda kijijini umkute mrembo kapigika kama haujamtamani

Acha uongo ww, wadada siku wenyewe wanasema wanawatamani wanaume
 
Maandiko saazingine hayakuzingatia nyakati za baadae kwamba mambo ktk jamii yangebadilika leo hii wanawake nao wanaoa,au kuna kuoana.
 
Mbn zlisharekebishwa ktambo tena zkapunguzw kutoka kumi mpk mbili tu za Bwana Yesu
 
There is no GOD.
wewe Umejuaje?

Kwasababu hayupo
kwa hiyo nani yupo?
Wewe ndio upo
Acha kuzunguka mbuyu, umejuaje kama hayupo?
Hapa jf kuna mbuyu?
Umejuaje kama hayupo?
Leta swali jingine tafadhali! Hili ulilouliza ulishaliuliza tena nikakujibu.
Atheist wa kweli humu ni kiranga tu we huna ulijualo mfuata mkumbo tu, kama umeshindwa kujibu hilo swali lingine wala halina haja.
Uelewa wako ni mdogo ndio maana huoni kama nimekujibu.
Uelewa wako ni mdogo ndio maana huoni kama nimekujibu.
OK, "GREAT THINKER".
Interesting!
 
kwa mujibu wa BIblia, USIZINI ni amri ya 7 sio 6. amri ya 6 ni USIUE! mpaka hapo tayari zilishakuwa reviewed!!
 
Mkuu Bavaria usizini sio amri ya 6 ila ni amri ya 7.

6. Usiue
7.usizini
8.usiibe
9.usimshuhudie jirani yako uongo
10.usitamani nyumba ya jirani yako, mke, mjakazi, mtumwa, ng'ombe, punda wala chochote alichonacho.
Watu hao wamekamatwa mchana kweupe wakivunja amri ya SITA.

Nadhani umeelewa mkuu.
 
Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.

Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.

Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.

Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?

Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
Mkuu piga astaghafirullah tafadhari umuombe Mola wako msamaha kwani agizo la Mungu halibadiliki unless tunazungumzia Mungu tofauti. Hata Yesu (Issa ibn Maryam AS) aliwaambia hakuja kuitengua torati ila kuikamilisha na mfano mmoja wapo wa kuikamilisha ni pale walipo mletea mwanamke mzinzi na kusema kwa sheria yetu ya Mussa (AS) huyo ni mawe hadi afe. Majibu yalikua asiyekua na dhambi aanze kurusha jiwe............moral of the lesson
1. Kwa sheria/maoni ya mayahudi mzinzi ni mwanamke
2. Mfumo dume
3. Man is arrogant
4. Sinner is judging a sinner etc etc

Sasa kukamilishwa kwa torati na bwana mkubwa ni;

1. Ni sawa kabisa kumpiga mawe ila je mwanamke huyu amejizini mwenyewe?
2. Kama jibu ni hapana yuko wapi aliezini nae?
3. Je torati insema mwanamke tu ndo auwawe?
4. Je ninyi ni waadilifu wa kutoa hukumu?

Unaweza kuona yule wanaomuita Mungu (Yesu - of course let's not debate on that )lakini hapo unaona haku-review hiyo sheria ila ameifadanua hiyo sheria juu ya utekelezaji wake.

Halafu mwisho juu ya hiyo amri inayosema "usitamani mke wa mwenzako" na unahoji kwani mwanamke hatamani mume wa mwenzake, jibu wanatamani tena mkuu hata hapa kwenye daladala nilipokaa niko nimekaa na mke wa mtu halafu ananishobokea kinoma hivi nafikiri sijui niahirishe kwenda kazini nikampige mikasi [emoji39] [emoji39] . Anyway that's not the point ila mkuu, Mungu katika maandiko yote maagizo amepewa MWANAUME and you can read/find out from injili, torati, quran etc etc etc na hapa usiumize kichwa anglia kutoa uumbaji, Mungu alimfanyiza kwa mikono yake MWANAUME vilivyobakia viliamlishwa viwe vikawa , manabii wote ni wanaume. Hivyo mkuu usitamani wake za watu na kumbuka MWANAUME NDIO CHANZO CHA MABADILIKO
 
Mbona amri ya usifanye mapenzi kinyume na maumbile (Ushoga) haikuwekwa?

itabidi hizi amri ziEDITiwe iongezwe ya 11 haraka.
labda ni ruksa,sijui lakini!! ila mimi ninachoamini ni kwamba dhambi ni kile kinachotendeka nje ya amri hizi 10
 
Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.

Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.

Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.

Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?

Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
ukishavunja si ndo umeshatunga zako ndugu usipende kujiplease kwa kujidanganya mwenyewe.Neno linasema usiongeze wala usipunguze maneno yaliyo ktk kitabu chake huezi fata acha fanya yako utakwenda kumwambia sikuweza kufata kutokana na mazingira ukione cha moto na ndo mana adam alivosema ni huyu mwanamke uliyenipa kanidanganya nini kilitokea?
 
Mimi sitakubali Mungu anihukumu kwa dhambi ambazo zimetendwa na viungo vya mwili wangu, macho ni yangu lakini sii mimi, dyudyuz ni yangu lakini sio mimi, mkono ukiiba ni wenyewe lakini sio mimi, kinywa kikinena ni kinywa sio mimi. Mimi ni mimi.
 
Back
Top Bottom