thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,843
- 4,796
wewe Umejuaje?There is no GOD.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe Umejuaje?There is no GOD.
Kwasababu hayupowewe Umejuaje?
nani aweke?Then iwekwe kwenye hizo sheria
kwa hiyo nani yupo?Kwasababu hayupo
Acha kuzunguka mbuyu, umejuaje kama hayupo?Kwasababu hayupo
Wewe ndio upokwa hiyo nani yupo?
Moses mwenyewe alipozidondosha Mungu akuzichora tena!akamwambia atafute supperglue aziunge unge aendelee nazo! Aliongea Mara moja tu.Mungu aongeagi Mara mbili mbiliAmri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. AAliongea inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.
Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.
Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.
Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?
Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
Hapa jf kuna mbuyu?Acha kuzunguka mbuyu, umejuaje kama hayupo?
Umejuaje kama hayupo?Hapa jf kuna mbuyu?
Leta swali jingine tafadhali! Hili ulilouliza ulishaliuliza tena nikakujibu.Umejuaje kama hayupo?
Atheist wa kweli humu ni kiranga tu we huna ulijualo mfuata mkumbo tu, kama umeshindwa kujibu hilo swali lingine wala halina haja.Leta swali jingine tafadhali! Hili ulilouliza ulishaliuliza tena nikakujibu.
nimependa nywele zako sijui ndo ww ukweliI wonder
Uelewa wako ni mdogo ndio maana huoni kama nimekujibu.Atheist wa kweli humu ni kiranga tu we huna ulijualo mfuata mkumbo tu, kama umeshindwa kujibu hilo swali lingine wala halina haja.
OK, "GREAT THINKER".Uelewa wako ni mdogo ndio maana huoni kama nimekujibu.
Kwani mungu ndo nini?Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.
Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.
Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.
Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?
Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
Usimtamani mke wa jirani yako, inahitimisha hitaji lakoMbona amri ya usifanya mapenzi kinyume na maumbile (Ushoga) haikuwekwa?
itabidi hizi amri ziEDITiwe iongezwe ya 11 haraka.
Mkuu Bavaria usizini sio amri ya 6 ila ni amri ya 7.Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.
Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.
Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.
Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?
Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakuunga mguu ndugumarekebisho ya katiba ya nchi tu yanatushinda...........halafu mnataka tubadili ya Mungu