Je, kuna uwezekano wa "kureview" amri 10 za Mungu?

Je, kuna uwezekano wa "kureview" amri 10 za Mungu?

Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.

Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.

Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.

Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?

Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?
Jitathmin,kabla ya kutoa mada.. We ndio akina Gwanyima. Kweli hizi zama za mwisho.
 
Kuna mambo ya kufanyia masihara lakini si mambo ya Mungu.kama mmeishiwa mada za kuposti changieni za wenzenu siku ipite
 
Amri ya 6 inasema Usizini. Amri ya 8 inasema Usiseme Uwongo. Amri ya 9 inasema usitamani mwanamke asiye mke wako.

Hizi amri zinavunjwa sana kuliko kawaida. Unatoka kuungama hata masaa mawili yaliyopita ushavunja moja kati ya hizo.

Hivi kwani wanawake hawatamani waume za watu? Kwanin wawe 'exempted' kwenye amri ya 9? Inatakiwa wahusishwe nao.

Hivi kuna haja gani ya kuwa na amri ambazo zinavunjwa mara kwa mara?

Kwanin kusiwe na haja ya kuzipitia upya kuendana na mazingira ya sasa?


Km unataka amri za Mungu kama hizo zibadilishwe badilisha kwanza amri za Jeshi la polisi, maana ukiiba unahukumiwa wewe, ukifumaniwa na mke wa mtu unahukumiwa wewe sio ile sehemu, n.k
 
Back
Top Bottom