Je kuna uwezekano wa mtu kuchukuliwa msukule na kurudishwa?

Je kuna uwezekano wa mtu kuchukuliwa msukule na kurudishwa?

Waganga huwa wanacheza na saikolojia za wateja wao na kupita humohumo.

Kitendo cha kwenda kwake kuhusu issue yenu tayari anajua mnataka kusikia nini ndiyo maana wote 7 majibu yamefanana.

Mtapoteza muda na pesa bure si ajabu mkapewa masharti ya ajabu mkalikuta hamuyawezi au mko mikononi mwa vyombo vya dola!

Ndiyo ndugu yenu wa kwanza kufa? Mshafukia story imeishia hapo,kupingana na ukweli ni kupoteza muda tu.
Hili ndilo jibu.
 
Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )

swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.

NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukrani
 
Inasemekana ukiwahi anarudi,
Nimewahi kuona manzi wa chaliangu mmoja mwaka 2004 dodoma (chang'ombe) alirudi na alieleza alikokua na aliokuwa nao,akamtaja huyo bibi aliyekuwa ajiwahifadhi na kwa hasira kali walizokuwa nazo raia wakamfuta yule ajuza
 
Uwezekano wa kurudi upo, ila muwahi kabla hajakatwa ulimi, Kuna wataalam walio na uwezo huo, mtaalamu moja wapo yupo Sengerema( Buchosa) maeneo ya Nyehunge,anaweza kukurudishia mtu wako.
1)haiwezekani kuwahi kabla hajakatwa ulimi kwa sababu kukatwa ulimi ni tukio la kwanza siku hiyo hiyo ya kwanza alipochukuliwa.

2)Na kukatwa ulimi ni tukio la kiroho,ulimi unakatwa kiroho sio physically yani ulimi anakuwa nao unakuwepo ila unaondolewa kukatwa UWEZO WA KUONGEA SIRI ZAO haweze kuongea,yani wanaondoa uwezo wa kuongea.Na hata huko anakokuwa anakuwa anaongea ila lugha tofauti.Tukio la kukatwa ulimi ni la kiroho kitendo kinachofanyika ni kitendo cha imani ya kishirikina sio kukata kwa namna tunayoifikiria ya kawaida.ILA AKIOKOLOEWA akitoka kuzimu atakuwa anaongea lugha tofauti(lugha aliyokuwa anaitumia kule na washirikina) ila akiombewa ataongea tu vizuri ataongea vizuri,na wengine fahamu zikiwarudia wanaongea tu kawaida au wanarudi wakiwa na fahamu zao wanongea lugha ya kawaida tu.ULIMI HAUONDOLEWI physically.

3)msukule anaweza kurudi muda wowote hata baada ya miaka mingi hakuna ukomo wa muda wa kumrudisha msukule.

4)Msukule unaweza ukarudi wenyewe endapo washirikina waliomchukua wakikosea masharti au msukule akapata neema tu ya kurudi mwenyewe au akatoroka au akaachiwa,au Mungu akamtoa huko,au walioko duniani wakamuombea.

KUNA AINA NYINGI ZA MISUKULE
Misukule mingine ni hao wanaotembea barabarani majalalani kama vichaa baadhi yao ni misukule ..nyota zao zimeshachukuliwa..
MSUKULE ni kitendo cha mtu kufichwa hapa hapa duniani anakuwa hajafa ila kafichwa kiroho hapa hapa duniani.AU hata asipofichwa anafanywa KICHAA kama wale wanaozinguka kwwnye majalalani,barabarani baadhi ni aina ya misukule ya watu hiyo.

View: https://youtu.be/YrreqI9rmRc?si=cN7RT-t0uPSJx8k9
 
Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )

swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.

NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukrani
Misukule huwa hawarudishwi bali hutelekezwa na wamiliki kwasababu mbalimbali
 
Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )

swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.

NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukrani
Anzeni na huyo huyo mmoja
 
Sikupingi mkuu ila namashaka na imani za walokole.
Yule askofu alievuma sana miaka ya nyuma hapo aliekua anafufua misukule kanisanikwake hajawahi kutuonyesha makaburi waliozikwa hao aliowafufua,wala hatujawahi kuthibitishiwa na ndugu hata majirani wa mtu aliefufuliwa kama kweli alifariki! Cha ajabu huyu askofu sikuhizi kakimbilia bungeni anagongazake meza tu mshahara unaingia.
Kunahuyu mwingine yeye anahubiri dk 10 anauza mafuta na maji,hizi bidhaa zake ukinunua zinafuta madeni ukiwa mgonjwa unapona wachawi hawakurogi kama gesi iliisha inajaa luku ikikata unit zinajijaza miamala ya simu inaingia bila kujua nani kakutumia.
Kibaya zaidi wote wanatumia jina la Yesu,sijui tuwaaminishe vipi watu warudi kwenye imani ya kweli
 
Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )

swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.

NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukrani
Hilo swali nimewahi kumuuliza kuhani na alissma sio kazi rahisi kama tunavyodhani na ili kuweza kumrudisha lazima nyie Wana familia muwe na imani ya juu....
 
Zamaniiii sana nilipo kuwa naishi kijiji X kulikuwa na hzo story nyingi na vifo vingi.. sasa jinsi ya kuthibitisha kama kweli mtu Wenu kachukuliwa msukule walikuwa wakifanya hivi

1. Katika watu wake wa karibu ambaye marehem alikuwa anamkubali anaenda porini sehem yenye miti mikavu anakaa kimya kwa dakika 5 ukisikia mti mkavu unavunjwa karibu yako basi ujue ni kweli amechukuliwa hizo ni kwa siku 15 za mwanzo.

2. Siku ya msiba unakaa karibu na mtu unaye muhisi ni mchawi wenu ikiwezekana mumkamate kabisa ndani ya masaa 24 kwasababu wanaamini msukule hatoki ndani anakuwa nyuma ya mlango na atatolewa na mchawi wake tu Akikaa muda mrefu ataleta noma na dawa zao zitafeli

3. Huwa wanarudi nyumbani kwao usiku ndani ya siku saba huenda ukasikia unaitwa kwa jina lako alafu mtu humuoni huyo ni kwa mtu wake wa Karibu aliye kuwa anamkubali mwanae sana

Vijiji vyenye wachawi jitahidi sana kuwa na adabu au ukishindwa kula visimati vikuka uwe umewaka muda wote au sali sana
Kuchukua msukule hawi mchawi Mmoja..ni project ya watu wengi Tena wanaacha shughuli zote wanadeal na Hilo tu Moja...na ni kweli anaakaa nyuma ya mlango..mnapoenda kuaga maiti nae anaakuwa wa mwisho kuaga..mnapotoka makaburini nae wanamchepushia porini...
.
 
Back
Top Bottom