Je kuna uwezekano wa mtu kuchukuliwa msukule na kurudishwa?

Je kuna uwezekano wa mtu kuchukuliwa msukule na kurudishwa?

Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )

swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.

NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukrani
Mkuu nina historia ya kuumiza ktk jambo kama lako. Kama mtu kashatoweka ktk ulimwengu huu wa macho yetu, haijalishi amekufa ktk mazingira gani achaneni nae fungeni ukurasa wake! Ni ngumu mno kumludisha, mtauza mali zote na pengine mpaka kufilisika na hatoludi, kama unabishi jaribuni Hilo zoezi unakuja kunipa mlejesho.

Wewe unatokea Kanda ya ziwa??
 
Alilalamika kipanda uso tu na kichwa kwa siku mbili akawa anaaga na maiti ilikua inatoa machozi akiwa anatolewa mochwari

Hata akirudi huwa wanachukulia na serikali hamtkaa mumuone maisha yenu yote. Huyu nilishuhudia mwanzo mwisho hadi kabuli linafukuliwa ukiangalia azm tv utaniona nikitoa ushuhuda.Achaneni nalo hakuna kitu mtaambulia sijui serikali huwa ina wapeleka wapi hao watu
 
Mcheki Pastor David Mmbaga ,kama kweli anarudi mapema kwa jina la Yesu
 
Mmmh scary!sipendi vitu vya kutishatisha mimi hizo comment nimejuta
 
Habari za muda huu wapendwa ni muda wa wiki tatu sasa toka tumemzika ndugu yetu kipenzi lakini kifo chake kilikua cha kushangazwa kwa kila mtu kutokana na hiyo hali tukajaribu kuzunguka huku na kule kupata sababu ya kifo nini ila kila tunapoenda ni kuwa kachukuliwa na kuhifadhiwa ili waweze kumtumia kwa matumizi yao( MSUKULE )

swali langu ni hili hivi inawezekana mtu kama huyo kumtoa huko alikohifadhiwa na kurudi ulimwengu wa kawaida maana tumeenda zaidi ya sehemu 7 tofauti wote jibu ni moja kuwa hakufa kawaida ila amechukuliwa kichawi kama kuna mtu anaweza hilo au unamjua mtu anaeweza hilo naomba mawasiliano tafadhari msaada wenu katika hili.

NB; hao tulioenda wote ni mmoja kasema analiweza hilo ila hatuwez kuweka imani yote kwa huyo hvy ni muhimu tuzidi kupata na uwezo wa wengine. Natanguliza shukrani
Mngepeleka mwili kwa dktr utachunguzwa mngepewa sababu ya kifo
 
pale nyuma ya mlango ukirudi kinyumenyume unauona msukule live
tKuchukua msukule hawi mchawi Mmoja..ni project ya watu wengi Tena wanaacha shughuli zote wanadeal na Hilo tu Moja...na ni kweli anaakaa nyuma ya mlango..mnapoenda kuaga maiti nae anaakuwa wa mwisho kuaga..mnapotoka makaburini nae wanamchepushia porini...
.

Kuchukua msukule hawi mchawi Mmoja..ni project ya watu wengi Tena wanaacha shughuli zote wanadeal na Hilo tu Moja...na ni kweli anaakaa nyuma ya mlango..mnapoenda kuaga maiti nae anaakuwa wa mwisho kuaga..mnapotoka makaburini nae wanamchepushia porini...
.
 
Back
Top Bottom