Je bunge linatekeleza majumu yake ipasavyo ya kuisimamia na kuidhibiti serikali?
Nini wajibu wa Bunge la JMT?
Mawaziri wanajibika kwa nani? Wasipowajibika kuna hatua gani za kikatiba? Kama zipo zina mapana ya kuwafanya wawajibike?
Nini haki za wananchi toka kwa serikali/Viongozi?