Je, kurudia au kubadili rangi gari ni vibaya?

Je, kurudia au kubadili rangi gari ni vibaya?

Yeah sema ukipata ile yenyewe, mafund wengi wanapigaga flat bila kuchanganyia zile metallic elements

Unajua wanafanyaje? Pearl white ni gharama mafundi wengi wanatumia white afu ule uji wake wanapulizia tena[emoji23][emoji23].

Nakumbuka wakt tunaenda na jamaa pale kamata, kwanza jamaa aliomba aone details/specifications za gari ili ajue namba ya rangi then ndo akaanza kazi.

Bongo fundi anakuwekea hata feki wengi hatujui magari tunajua kuendesha
 
Unajua wanafanyaje? Pearl white ni gharama mafundi wengi wanatumia white afu ule uji wake wanapulizia tena[emoji23][emoji23].

Nakumbuka wakt tunaenda na jamaa pale kamata, kwanza jamaa aliomba aone details/specifications za gari ili ajue namba ya rangi then ndo akaanza kazi.

Bongo fundi anakuwekea hata feki wengi hatujui magari tunajua kuendesha
Mie yangu wanamixigi na njano kwa mbali😂😂😂 inakuwa kama pearl ila sio ni feki! Bumper ndio lina rangi ya kijiti cha mpera sababu mara nyingi linaumiaga
 
Wakuu habari za muda huu,

Kuna suala naomba nipate ufahamu zaidi.

Imekuwa ni kawaida kwa watu kuuliza kama gari limerudiwa rangi au kubadilishwa rangi pale anapotaka kulinunua mkononi kwa mtu.

Na mara zote imeonekana kama kupaka rangi gari ni kama inaishusha thamani. Inapelekea wengine kuficha hili.

Sasa swali langu, kwani haya magari huko kiwandani si mwanzo ni material yanayopakwa rangi tu?

Au ukishapaka rangi gari, itapauka au kuchubuka ukilinganisha na rangi inayotoka nayo kiwandani?

Kiufupi kwanini inachukuliwa kama kitu cha kushusha thamani gari ? Kwani hamna mafundi wenye weledi wa rangi kiasi hicho Tanzania.
Kwasababu wengi wanaorudia rangi wanapaka rangi ya kiwango cha chini ili mradi ling'ae auze. Kurudia au kupaka rangi nyingine sio mbaya kama utaweza rangi zenye kiwango. Gari ndogo tu rangi za kiwango inaweza kufika 2.5m au zaidi sasa imagine mtu anakuuzia gari ndogo 6m halafu kairudia rangi unafikiri atakuwa kapaka rangi yenye kiwango? Hapo miezi michache tu rangi inaanza kubabuka.
 
Back
Top Bottom