Je, Kushinda kwa Yanga katika kila mechi unapoibuka mjadala wa Feisal kuna maana kuelekea dabi?

Je, Kushinda kwa Yanga katika kila mechi unapoibuka mjadala wa Feisal kuna maana kuelekea dabi?

Aziz Ki Mayele

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
899
Reaction score
1,955
Imekua kawaida kila mechi unapoibuka mjadala wa Feisal Yanga imekua ikipata ushindi wa kishindo

Mechi ya Azam na mechi za CAFCC zote zilizotanguliwa na mijadala hii zimekua za neema nyingi kunako club hii ya jangwani

Sasa mjadala huu umeibuka tena kuelekea mechi ya dabi baina ya Simba na Yanga, na kwa mujibu wa vyanzo vyangu timu ya Yanga inayafurahia sana mazingira haya especially kwa wachezaji wao wa kutumainiwa Mayele na Aziz

Baada ya Simba kupata dokezo hili kutoka kwa mnajibu nyota maarufu huko Morogoro, kumekua hakukaliki huko msimbazi na wasiwasi umetanda huku ikitanabaishwa baadhi ya wachezaji wamejifanya kuumia ili kuepuka dhahama inayokuja

Simba pia wamejitahidi sana kuuzima mjadala huu kwa kuweka press conferences na kuibua mada nyingine mbalimbali lakini Yanga wamekomaa kuuendeleza mjadala mpaka hapo mechi ya dabi itakapoisha.

Hii ni nyota njema imewaka kwa Yanga na ushindi sasa ni wazi na hakika kutokana na ishara hizi za wazi

Kongole za awali Yanga Afrika kwa ushindi mtakaoupata hapo jumapili

Wasalaam
 
98E81E35-FF4C-4B6E-8A1F-17F7F724ED3F.jpeg
 
Imekua kawaida kila mechi unapoibuka mjadala wa Feisal Yanga imekua ikipata ushindi wa kishindo

Mechi ya Azam na mechi za CAFCC zote zilizotanguliwa na mijadala hii zimekua za neema nyingi kunako club hii ya jangwani

Sasa mjadala huu umeibuka tena kuelekea mechi ya dabi baina ya Simba na Yanga, na kwa mujibu wa vyanzo vyangu timu ya Yanga inayafurahia sana mazingira haya especially kwa wachezaji wao wa kutumainiwa Mayele na Aziz

Baada ya Simba kupata dokezo hili kutoka kwa mnajibu nyota maarufu huko Morogoro, kumekua hakukaliki huko msimbazi na wasiwasi umetanda huku ikitanabaishwa baadhi ya wachezaji wamejifanya kuumia ili kuepuka dhahama inayokuja

Simba pia wamejitahidi sana kuuzima mjadala huu kwa kuweka press conferences na kuibua mada nyingine mbalimbali lakini Yanga wamekomaa kuuendeleza mjadala mpaka hapo mechi ya dabi itakapoisha.

Hii ni nyota njema imewaka kwa Yanga na ushindi sasa ni wazi na hakika kutokana na ishara hizi za wazi

Kongole za awali Yanga Afrika kwa ushindi mtakaoupata hapo jumapili

Wasalaam
hebu tuache mpira uchezwe haya maneno ya kichawi ya nini
 
Back
Top Bottom