Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
Aaaah!malkia kama unampenda mtu gari ni nn kwan, vitu vingine ulimbukeni tu.
Wewe hupendi gari ee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah!malkia kama unampenda mtu gari ni nn kwan, vitu vingine ulimbukeni tu.
hahahhah eb niache mm tulishindwa elewana kitu kimoja tu ila ungenielewa ungejua nn namaanisha napenda sana vitu vizuri sana lkn ulishindwa nielewaMimi eeeh..
Wewe si haupendi vizuri
Dawa yako kukuchanganyia habari.hahahhah eb niache mm tulishindwa tofautiana kitu kimoja tu ila ungenielewa ungejua nn namaanisha napenda sana vitu vizuri sana lkn ulishindwa nielewa
My dream car in this year nimebakiza mpunga kidogo tu niagize huu mzigo!
hahhahah Daby point yangu ilikua hivi kama nakupenda ww nitakupenda tu vyovyote tu ata kama una gari au haunaDawa yako kukuchanganyia habari.
Leo mmeambiwaje kanisani
jaman jaman mtanitoa rohoAaaah!
Wewe hupendi gari ee?
Haha...My dream car in this year nimebakiza mpunga kidogo tu niagize huu mzigo!
Hivi unajua japo una mke lakini utatamani wazuri kumzidi mkeo njiani eeh. Sema busara za uzee zinakuzuaia kumsaliti mkeo.hahhahah Daby point yangu ilikua hivi kama nakupenda ww nitakupenda tu vyovyote tu ata kama una gari au hauna
tofautisha na kukutaman sbbu leo una gari mwanzo nilikukataa sbbu ulikua hauna gari hapa nimekutamani ww sbbu una kitu
hahaha ww mtu nimekushindwaHivi unajua japo una mke lakini utatamani wazuri kumzidi mkeo njiani eeh. Sema busara za uzee zinakuzuaia kumsaliti mkeo.
Umenielewa.
hahahah jitahidi ununue wakina Daby wasije wakamchukua na magari yaoMi.mwenyewe sina gari na huyu mtoto mzuri najua anytime soon ntaachwa kwenye Mataaa ya Moroco
Kuna chuo flani hapo Town, ukimikiki tu pikipiki wadada wanakuja wenyewe kama nzi,Sijui kwa wengine hili limekaaje ila binafsi naona gari nalo ni kivutio kwa hawa dada zetu, Kuna binti hapa mtaani enzi hizo sina gari aliniwekea ngumu ila mwaka jana nilivyomiliki gari yani alilegeza hata sikuamini,
I mean kuna siku kuna bidada anajiheshimu sana tu nlimpa lifti tukabadilishana contacts kesho yake kiutani nikamwambia tumeet akakubali fasta yani nikawa nacheka tu maana ilikuwa natania,
Kuna matukio mengi sana ambayo yalinithibitishia kuwa hawa dada zetu wana kaugonjwa kwa wanaume wenye magari, Japo haya matukio huwa yananitokea mimi najiheshimu na nampenda sana mpenzi wangu sipo tayari kutake advantage kwa hawa mabinti wa lifti,
So mimi ninachokiona kuna uwezekano mkubwa kwamba ukiwa na Gari wanawake utakuwa kivutio kwao....Ni fikra tu
Nishindwe tu hamna namna.hahaha ww mtu nimekushindwa
Mimi ninakimkoooteni changu tu hapa.. cha kubebea mashelishelhahahah jitahidi ununue wakina Daby wasije wakamchukua na magari yao
HahaaaUkiwa na Gari unakuwa sexy. ..
Ndomana ukanambia nibadili basi sawa ila gali unafika unapotaka bila usumbufu piamalkia kama unampenda mtu gari ni nn kwan, vitu vingine ulimbukeni tu.
naomba uniweke ata kwenye buti [emoji23]Mimi ninakimkoooteni changu tu hapa.. cha kubebea mashelishel