Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Gari linapendwa na jinsia zote mbili...Mwanamke akimiliki gari pia anamvutia zaidi mwanaume and vise versa is true....Sema kwa wenzetu waliondelea kama marekani anaevutia zaidi ni yule ambae ana gari kali kama vile Lamborghini na gar zingine za aina hiyo sio gari lolote tu. Ushahidi angalia U tube pranks zinazohusu Gold digger wa kiume na wakike kwenye magari.
 
fe1bbb2e689c0e9fee834bfceecc2fa1.jpg
My dream car in this year nimebakiza mpunga kidogo tu niagize huu mzigo!
 
Dawa yako kukuchanganyia habari.

Leo mmeambiwaje kanisani
hahhahah Daby point yangu ilikua hivi kama nakupenda ww nitakupenda tu vyovyote tu ata kama una gari au hauna

tofautisha na kukutaman sbbu leo una gari mwanzo nilikukataa sbbu ulikua hauna gari hapa nimekutamani ww sbbu una kitu
 
Mi.mwenyewe sina gari na huyu mtoto mzuri najua anytime soon ntaachwa kwenye Mataaa ya Moroco
 
hahhahah Daby point yangu ilikua hivi kama nakupenda ww nitakupenda tu vyovyote tu ata kama una gari au hauna

tofautisha na kukutaman sbbu leo una gari mwanzo nilikukataa sbbu ulikua hauna gari hapa nimekutamani ww sbbu una kitu
Hivi unajua japo una mke lakini utatamani wazuri kumzidi mkeo njiani eeh. Sema busara za uzee zinakuzuaia kumsaliti mkeo.

Umenielewa.
 
Hivi unajua japo una mke lakini utatamani wazuri kumzidi mkeo njiani eeh. Sema busara za uzee zinakuzuaia kumsaliti mkeo.

Umenielewa.
hahaha ww mtu nimekushindwa
 
Sijui kwa wengine hili limekaaje ila binafsi naona gari nalo ni kivutio kwa hawa dada zetu, Kuna binti hapa mtaani enzi hizo sina gari aliniwekea ngumu ila mwaka jana nilivyomiliki gari yani alilegeza hata sikuamini,

I mean kuna siku kuna bidada anajiheshimu sana tu nlimpa lifti tukabadilishana contacts kesho yake kiutani nikamwambia tumeet akakubali fasta yani nikawa nacheka tu maana ilikuwa natania,

Kuna matukio mengi sana ambayo yalinithibitishia kuwa hawa dada zetu wana kaugonjwa kwa wanaume wenye magari, Japo haya matukio huwa yananitokea mimi najiheshimu na nampenda sana mpenzi wangu sipo tayari kutake advantage kwa hawa mabinti wa lifti,

So mimi ninachokiona kuna uwezekano mkubwa kwamba ukiwa na Gari wanawake utakuwa kivutio kwao....Ni fikra tu
Kuna chuo flani hapo Town, ukimikiki tu pikipiki wadada wanakuja wenyewe kama nzi,

Sijui wanafurahia zile kelele za pikipiki
 
Back
Top Bottom