Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Love is sweet again!
 
Achana naye, njoo kwangu nikupe hizo raha
 
AMA KWELI DUNIA INAZUNGUKA JAPO HATUWEZI IONA IKIWA INAZUNGUKA!! Kwa mara ya kwanza naona haya maneno kutoka kwa msichana!!
 
Soma hii meseji yake...
Na nikingoja nikakuta hawez kazi? mi nataka mara moja thn tutawait
 
Kwanza sitaki kuhukumu kwamba unatudanganya!!!!!... ila nahisi kuna kitu kinajichanganya hapa...

Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

 
Inawezekana kama ni mlokole wa kweli,ila kama ni mtu tu wa kawaida bac atakuw anakuheshimu na anampango kweli wa kukuoa lakin anachepuka. Nimependa kwasababu ww si mnafik wala pretender kama wengine. Pia muombe Mungu kama unahisi hamu inataka kukuzid spidi epuka kuwa na mwanaume maeneo ya faragha zaid kumbuka Bible"ikimbie zinaa.." maana haipingiki, inakimbiwa
 
Ila sikulaumu sana maana pengine thread za humu zinakufanya upate ndoto za mang'amung'amu...
Unahofia kibamia , bao la jogoo au uhanisi kabisaaaa

KUMBUKA
hutakiwi kuishi katika utumwa wa mawazo ya watu wengine NA pia kuna watu wanatafuta wanaume aina hiyo ila hawawapati ila wewe umeokota almasi dodoma .......
Pia Kuna watu wana hofu ya mungu ndani yao hivyo , si rahisi kukengeuka na kuenenda kinyume na imani zao ......

Nina shaka na jinsia yako ila kama ni kweli..bhasi jamaa haumfai maana anastahili kupata mtu wa zaidi yako
 
Mwambie kuna kajamaa nahisi kananifuatilia... ila story zake nasikia kitandani anapiga game la kufa mtu... Ila mimi sina shida nae...

Kama kesho hajakugonga mpaka mashada...
 
Soma hii meseji yake...
I saw it dear that's why I told her to pray and even fasting and if there is hidden things God will reveal to her...the thing is we love short cut way and not God's way.. Mungu anajibu dear ni kummppa chance tuu kwa ku sacrifice by letting our fleshy to die.. Thanks..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…