Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchecheto kwa bahati nzuri sihitaji kila mwanaume..huyu ni kwasababu ninafuture nae ndio maana nataka kujua ulijali wake kabla ya ndoa..vingenevyo singetaka kusex nae.Yeah!! Mkuu nakubali point yako.. "Hanithi" is the issue right there
natamani niwe na mke kama wewe jamani,yaan mwanamke anadai dudu mwenyewe bila kuhongwa ni mtamu sana jmn....kama vp njoo pm
si lazima uniamini waweza pita atakae niamini atanishauri.Ww sio msichana. Nina wasi wasi na jinsia yako. Hakuna msichana asiyeweza jizuia. Kwa mwanaume ningeelewa ila sio ww
calm down mama, hapa ni jf bhana usipoteze ule utu wako na kujiamini kwako.. Rudi pale pale ulipokuwa huku unakokwenda sikoExcuse me watch your language .. You got problem with me?? Are you here for Monica or for me ?? This called freedom of the speech , you advice what you see is right according our perceptive .. Watch your mouth boy or whoever the heck you are, kama you got stress , go take it to somewhere else but not to me ... Nonsense.. You didn't see all comments but you saw mine only .. Was I the first one to advice her that way, was I ?? Nonsense.. I beg take your stress somewhere else not here ... Unataka kumshauri kibinadamu as you wanted then do it.. Its better than to come here with your dirty words/ mouth or to want to know other people's status / business.. And if I am not married will you want to marry me?? Before you asked you should think ... Stop asking other people personal things / business if they didnt ask yours .. And do me a favor next time if you quote me, make sure you have your own respect first .. Because the last time I checked I didnt disrespect you.. Nonsense.. Thanks...
Yana ukweli wowote mkuuHata kanisa katoliki lenye sheria kali za ndoa huwa wanavunja ndoa iwapo haiwezekani kwenu kushiriki hilo tendo la ndoa, wasiwasi wako ni nini?
who told you i force him? what i want to prove if he is real manMkuu na kama ukithibitisha kweli jogoo hapandi mtungi utaendelea kuwa nae maana unampenda na hutaki kumcheat? Hembu vuta picha za kumbu kumbu kuwa je hujawahi penda mwingine na sasa imebaki story?
I do understand.. But wisdom by forcing mchumba to have sex even though he does not want it.? Anyway .. Haya.. Thanks..
KUKU WA KWAKO MANATI YA NINI.....?wadau salam!
Naomba kujua kutoka kwenu kuwa jena inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?
Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, Nimejitahid kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lkn amekomaa namsimamo wake. Hofu yangu nikwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.
Tulipo kutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingne et tungoje mpaka ndoa.
wadau nisaidieni
mim naishi kwangu namaisha yangu sina dhiki kwakweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lkn dushe lake ananinyima. kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? kwangu mim dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Ametufundisha Padre hili hatukujua, ikitokea ndoa imefungwa na ikajulikana mwanamke au mwanaume ana maumbile yatakayoshindikana kutoa huduma ya tendo la ndoa kabisa basi ndoa husika hubatilishwa maana hawajakutana kimwili kabisa lakini kama walishakutana kimwili ndo kukatokea matatizo hiyo haivunjwi ndo ktk shida na raha kama walivyojishaua kusema.Yana ukweli wowote mkuu
Duh! Angalia usije ingia ndoani ukaanza kusaka vimichepuko kwa kasihahahaha! nimekukuruka nimeshindwa jamaa hata kugusana hataki...yaani ni mita mia.
Dear I am still the same never change but naomba for this message uniache tuu please... Thanks..calm down mama, hapa ni jf bhana usipoteze ule utu wako na kujiamini kwako.. Rudi pale pale ulipokuwa huku unakokwenda siko
To do something kwa MTU bila his/ her permission or willing it is the forcing by being wanted to get things or something my way but not his way.. Hii ndio I meant .. Thanks.who told you i force him? what i want to prove if he is real man
Hahahaha dah happy easter Evelyn SaltShtuka, asije kuwa ni kama ommy dimpoz
chelewa ukute mwana si wakoKuwa na subira.
hahahahah! haya bhana let me tryKma Amekuja Na "Single" Ingne Ya Tungoje Mpka Ndoa, Subili Hiyo Single Ichuje Aje Na Mpyaa!!! aahaaa!!! Sikia Siku Mkiwa Farangha, Mfanyie Michezo Ya Kimahaba Bila Kusubil Ruhusa Yake Hakikisha Unampa Michezo Ya Hatari..Kma Ni Mzima Au Mbovu Itajulikana Acha Kuhisi Hisi Mfanyie Michezo Ya Kimahaba Haswa....Dushe Lake Likigoma Angalau Hata "Kushtuka" Basi Rud Hapa Uje Pm Kwangu Tuyamalize Ya Kiutu Uzima!![emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ha ha ha ha ha haNimemwambia akafanye suna maana govi loh lina harufu hiyo kali hadi machozi yanatoka, na amekataa anasema mbona kuna wachungaji wako hivo, kwahiyo hatoi hiyo nyama mungu atakuuliza uliipekeka wapi
haya but za kuambiwa changanya na zakwakoTo do something kwa MTU bila his/ her permission or willing it is the forcing by being wanted to get things or something my way but not his way.. Hii ndio I meant .. Thanks.
Hahahaha Valentina Bhana.... Vipi kwema mamyBasi muombe japo ushike tu hiyo nanihi yake