Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?

Wadau salam,

Naomba kujua kutoka kwenu kuwa inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, nimejitahidi kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lakini amekomaa na msimamo wake. Hofu yangu ni kwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.

Tulipokutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingine eti tungoje mpaka ndoa.

Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
INAWEZEKANA KABISA
 
Wadau salam,

Naomba kujua kutoka kwenu kuwa inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, nimejitahidi kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lakini amekomaa na msimamo wake. Hofu yangu ni kwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.

Tulipokutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingine eti tungoje mpaka ndoa.

Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Monica wangu nilikuwa nimeamua kukutunzia heshima ila umeamua kuja kulalaMIka huku JF?
 
Excuse me watch your language .. You got problem with me?? Are you here for Monica or for me ?? This called freedom of the speech , you advice what you see is right according our perceptive .. Watch your mouth boy or whoever the heck you are, kama you got stress , go take it to somewhere else but not to me ... Nonsense.. You didn't see all comments but you saw mine only .. Was I the first one to advice her that way, was I ?? Nonsense.. I beg take your stress somewhere else not here ... Unataka kumshauri kibinadamu as you wanted then do it.. Its better than to come here with your dirty words/ mouth or to want to know other people's status / business.. And if I am not married will you want to marry me?? Before you asked you should think ... Stop asking other people personal things / business if they didnt ask yours .. And do me a favor next time if you quote me, make sure you have your own respect first .. Because the last time I checked I didnt disrespect you.. Nonsense.. Thanks...

Ha ha ha, naona umeamua kutema yai kuonesha msisitizo.
 
Wadau salam,

Naomba kujua kutoka kwenu kuwa inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, nimejitahidi kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lakini amekomaa na msimamo wake. Hofu yangu ni kwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.

Tulipokutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingine eti tungoje mpaka ndoa.

Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Dah kweli duniani tupo tofauti 😀
Wengine wanalilia wapewe mchezo yeye hataki
 
Aah pacha, nilikuwa natania tu..

Miss you.
Oooh hapo sawa, kwahiyo wewe hautaki tamuu? Siku hizi watu wanalalamika maana dunia imevaa kaptura pacha, mtu anaogopa kuja kukonda bila kufanya diet wala mazoezi ndani ya ndoa.

Miss you more pacha.
 
Oooh hapo sawa, kwahiyo wewe hautaki tamuu? Siku hizi watu wanalalamika maana dunia imevaa kaptura pacha, mtu anaogopa kuja kukonda bila kufanya diet wala mazoezi ndani ya ndoa.

Miss you more pacha.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] kukonda tena. Ukiona hivyo ujue ndo majaaliwa aliyoandikiwa.
 
Hapa ni mambo mawili tu,kwanza utakuwa umedanganya jinsia lakini kama ndivyo, Utakuwa huna mvuto wa kimapenzi.
 
Wadau salam,

Naomba kujua kutoka kwenu kuwa inawezekana kuwa na mchumba na msisex mpaka ndoa?

Nimeuliza hivyo kwakuwa mchumba wangu simuelewi amegoma kunipata raha mpaka tutakapo funga ndoa, nimejitahidi kumueleza jinsi ambavyo napata shida kwa hisia niwapo nae lakini amekomaa na msimamo wake. Hofu yangu ni kwamba nisijeuziwa mbuzi kwenye gunia kumbe mtu si ridhiki.

Tulipokutana mara ya kwanza mpaka ya tatu alidai tukipima tu hakutakuwa na shida tutapeana raha cha ajabu baada ya kupima tukaonekana wote tupo poa amekuja na single nyingine eti tungoje mpaka ndoa.

Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa.
Kwani ujawai pata dushe?
 
Why not? inawezekana endapo ukimshirikisha mungu katk hilo nazan utafanikiwa ila ukiwa mruga ruga aah wap hutoweza ksho tu utapga
 
Back
Top Bottom