Je, kwa De Agosto, Simba wamepiga bomu makaburini au mochwari?

Je, kwa De Agosto, Simba wamepiga bomu makaburini au mochwari?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Uchambuzi wangu baada ya hii mechi;

Tukienda kimahesabu kabisa hawa makolo wamepiga bomu mochwari wanajisifu wameua.[emoji23][emoji23]
Baada ya kuotea kupangwa na timu ndogo kabisa na kufunga japo kwa magoli machache.

Takwimu
Namungo 6 - Agosto 2

Simba 3 - Agosto 1

Cross multiplication

Swali: Je, Simba ni underdog kwa Namungo, kwenye mechi dhidi ya De Agosto?
 
Hakika ujinga wa uzeeni lazma utakufa nao tu pole sana
Uchambuzi wangu baada ya hii mechi

Tukienda kimahesabu kabisa Hawa makolo .......wamepiga bomu mochwari wanajisifu wameua[emoji23][emoji23]
Baada ya kuotea kupangwa na timu ndogo kabisa na kufunga japo kwa magoli machache

Takwimu

Namungo 6 .......agosto 2

Simba 3..........agosto 1

Cross multiplication

Swali: je Simba ni underdog kwa namungo ..... Kwenye mechi dhidi ya De Agosto
 
Binafsi kwa maono ya kiuchambuzi ...naona MAKOLo wamepiga bomu kaburini ....badala ya mochwari...

Wazee wa kusolve equations wanaelewa [emoji23][emoji23]
FB_IMG_16653369613973932.jpg
 
Vipi kuhusu al hilal? nae kapangiwa vibonde uto? maana hapa sudan mashabiki wa al merreck wanawakejeli al hilal wametoa dro na kibonde! tena wanaenda mbali zaidi kwa kusema tz kuna timu 1 tu inayojulikana na kwamba kama wangekutana na hiyo timu basi wangekua wanajiandaa kumfukuza ibenge! eti jamani sie utomax ni hatujulikan?
 
Vipi kuhusu al hilal? nae kapangiwa vibonde uto? maana hapa sudan mashabiki wa al merreck wanawakejeli al hilal wametoa dro na kibonde! tena wanaenda mbali zaidi kwa kusema tz kuna timu 1 tu inayojulikana na kwamba kama wangekutana na hiyo timu basi wangekua wanajiandaa kumfukuza ibenge! eti jamani sie utomax ni hatujulikan?
Bila shaka itakuwa namungo[emoji23][emoji23]
 
Uchambuzi wangu baada ya hii mechi;

Tukienda kimahesabu kabisa hawa makolo wamepiga bomu mochwari wanajisifu wameua.[emoji23][emoji23]
Baada ya kuotea kupangwa na timu ndogo kabisa na kufunga japo kwa magoli machache.

Takwimu
Namungo 6 - Agosto 2

Simba 3 - Agosto 1

Cross multiplication

Swali: Je, Simba ni underdog kwa Namungo, kwenye mechi dhidi ya De Agosto?
Sifa kubwa ya kuwa mwanayanga ni kuwa mjinga.
 
Ooh Al Hilal ni timu inayojitafuta sisi tupo vizuri na tutampiga kama ngoma, sasa hivi mnatafuta pakuhemea.

Mlivyowapiga wale wawekezaji wa Kalynda Zalan FC, basi mkajiona mataita subirini hapo Sudan mkanuswe kinyeo vizuri
 
Swa
Uchambuzi wangu baada ya hii mechi;

Tukienda kimahesabu kabisa hawa makolo wamepiga bomu mochwari wanajisifu wameua.[emoji23][emoji23]
Baada ya kuotea kupangwa na timu ndogo kabisa na kufunga japo kwa magoli machache.

Takwimu
Namungo 6 - Agosto 2

Simba 3 - Agosto 1

Cross multiplication

Swali: Je, Simba ni underdog kwa Namungo, kwenye mechi dhidi ya De Agosto?
Sasa mechi ya pili haijachezwa then una draw conclusion kwa reference ya Namungo? Typical foolishness. Namungo alishinda hizo goli sita akiwa wapi chamazi. Pili alishinda jumla ya magoli 6 kwa mechi zote mbili au moja, wewe ni mtabiri au ? Unajua matokeo ya mechi ya pili?

Simba ameshinda goli tatu akiwa Angola na sio chamazi. Pili mbona Al hilal alifungwa goli nne na Simba akiwa taifa na yanga ameshindwa?

You see how stupid you are.
 
Swa

Sasa mechi ya pili haijachezwa then una draw conclusion kwa reference ya Namungo? Typical foolishness. Namungo alishinda hizo goli sita akiwa wapi chamazi. Pili alishinda jumla ya magoli 6 kwa mechi zote mbili au moja, wewe ni mtabiri au ? Unajua matokeo ya mechi ya pili?

Simba ameshinda goli tatu akiwa Angola na sio chamazi. Pili mbona Al hilal alifungwa goli nne na Simba akiwa taifa na yanga ameshindwa?

You see how stupid you are.
Halafu wachezaji wao muhimu 9 walikutwa na Covid wakati huo.

Hao utopolo a.k.a mavi kwenye chupi hawawezi kukwambia hata huyo Al Hilal alipigwa na mnyama goli 4-1.
Hata hivyo ni kwa vile hawana kumbukumbu watu wenyewe hawana akili,kama wanazo ni za manyani tu
 
Back
Top Bottom