DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Upo wapi nije nichukie Hilo godoro la Gsm niwe nalala Kama Afisa wa Juu wa SerikaliMafala sana haya ma Gsm..binafsi ni shabiki wa Simba lakini nilinunua godoro lao sasa kwa hasira ninaenda kumpa mwanautopolo. Godoro lilikua zuri na lina viwango, sasa kwa utopolo huu bora nikamkabidhi mwanautopolo yoyote bure.
Genta pendekeza mwanautopolo nimpe bure godoro hili la inch 12.
Genta kashampendekeza mwanautopolo Frank Wanjiru aje ajibebee godoro la wadhamini wake Gsm maboya.Upo wapi nije nichukie Hilo godoro la Gsm niwe nalala Kama Afisa wa Juu wa Serikali
Nilipoona tu GSM anatumia Nguvu Kubwa hadi ya Kipesa kuhakikisha kuwa 98% ya Viongozi wa Yanga SC Rais, Makamu na Wajumbe ni kutoka huko huko GSM nilijua kuna tatizo la Kipumbavu litakuja Kutokea tu na limetokea tayari.Mpaka muda huu sijaona club ya Yanga ikilaani kauli hii. Inamaana ni jambo lililoratibiwa toka awali.
Sawa mkuuGenta kashampendekeza mwanautopolo Frank Wanjiru aje ajibebee godoro la wadhamini wake Gsm maboya.
Kama nchi ilimshinda alipokuwa Kinara wake unategemea na huku katika Mpira ( Soka ) ataweza? Hakuna Mtu GENTAMYCINE namdharau sana kama huyo ambaye Wapuuzi wengi wanampenda na Kumsifia.Pumbav sana Yanga. Af yule bwege mstaafu ndio mratibu wa huo ujuha na ametia baraka kabisa katika hilo? Inashangaza sana
gsm sio yanga hizi ni taasisi 2 tofauti na huyo kiongozi wa matawi pia sio msemaji wa yangaGENTAMYCINE sitaki kabisa Kuamini kuwa haya Maamuzi ninayoyaita ya Kipumbavu na Kishamba yaliyofanywa na Kiongozi wa Matawi wa Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam ya Kuwataka wana Yanga SC wote Kususia kununua Bidhaa zozote zile za Azam yamefanywa kwa ama bahati mbaya au kwa Kukurupuka tu
Ukituliza Akili yako vizuri hapa utagundua ya kwamba GSM alikuwa anaitafuta Siku nyingi sana hii Hali itokee ili sababu ipatikane na Yeye atumie huo mwanya Kujiimarisha Kibiashara lakini pia nae kuanza Kuuza Bidhaa baadhi ambazo Kampuni ya Azam inatengeneza na hata Kubumi zaidi.
Kuna Taarifa nimepenyezewa kuwa kumbe hata GSM nae yuko mbioni Kuanzisha Kampuni ya Kutengeneza Bidhaa ( Products ) zote anazotengeneza Azam akiwa na Lengo Kuu la kutaka Kuliteka Soko la Tanzania ambapo kwa Msaada mkubwa anaopewa na Mstaafu Mmoja mwenye Ushawishi mkubwa katika Awamu ya Sita hii huenda hili likawezekana na hata dalili fulani fulani zimeshaanza Kujitokeza.
Sasa ni Wazi Vita ya GSM na AZAM ndiyo imeshaanza hivyo na kuna Uwezekano mkubwa kuanzia sasa Utajiri mkubwa wa Mzee Bakhressa ukawa tempered Kimakusudi na Watu wa Kodi kwa Maagizo ya Watu wa Mamlaka wenye Uyanga Uliotukuka kwa Ushawishi mkubwa wa Mstaafu ambaye inasemekana katika Utajiri wa GSM Yeye ana Share kama 75% hivi ila GSM anapaishwa Kimkakati ili Kuwazuga Watanzania wasimjue Mmiliki Mkuu aliye nyuma ya GSM.
Hizo bidhaa za Azam Energy na Mo Energy , watu wengi wamepata magonjwa ya Moyo na Figo sasa mnalijua Hilo??
GENTAMYCINE sitaki kabisa Kuamini kuwa haya Maamuzi ninayoyaita ya Kipumbavu na Kishamba yaliyofanywa na Kiongozi wa Matawi wa Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam ya Kuwataka wana Yanga SC wote Kususia kununua Bidhaa zozote zile za Azam yamefanywa kwa ama bahati mbaya au kwa Kukurupuka tu
Hao mashabiki wanapiga yowe tu mtandaoni, lakini ukija kwa ground woote wako duka la mangi wanamchangia Azam kimya kimya.
Hali ni ngumu kitaa, mtu anapata wapi ujasiri wa kuboycott bidhaa ya kampuni fulani? Wangapi wana substitute kwa hzo bidhaa?
Af pia hata quality znatofautiana. Kwa mfano energy drink ya bakhressa ni nzuri kuliko ya Mo. So ni aibu mtu mzima na akili zako kutumia inferior producy kwa ajili ya mapenz na timu ambayo hata mia hawakupi mwisho wa mwezi.
Last but not least, hata wakimkwepa Azam, inmediate supplier wa product kama za Azam ni Mo ambae yuko Simba. So sasa hv Yanga wanaanza kuwasupport simba?
Yaan hawa wafanyabiashara wanatumia tu divide and rule kuwachanganya mambumbumbu then waje wawale vichwa.
Ujinga bado ni mkubwa sna kwa baadhi ya watu
Ni kweli. Lakini tukiweka hzo energy kando, if we r being honest na ushabiki tuweke pembeni, between Azam na Mo, who has better quality products?NB: kumbuka hizo Energy drinks ni "slow killing poisons".
Ni kweli. Lakini tukiweka hzo energy kando, if we r being honest na ushabiki tuweke pembeni, between Azam na Mo, who has better quality products?
Ndio maana utopolo wakiwa wanacheza, wanapita wahamasishaji kueaimbisha watu GCM, GCM,GCM lengo ni kutaka kuaminisha umma kuwa anapendwa saaaana la na machawa wanaenda kumwambis kuwa brand imekwishakuwa kubwa sanaGENTAMYCINE sitaki kabisa Kuamini kuwa haya Maamuzi ninayoyaita ya Kipumbavu na Kishamba yaliyofanywa na Kiongozi wa Matawi wa Yanga SC Mkoa wa Dar es Salaam ya Kuwataka wana Yanga SC wote Kususia kununua Bidhaa zozote zile za Azam yamefanywa kwa ama bahati mbaya au kwa Kukurupuka tu
Ukituliza Akili yako vizuri hapa utagundua ya kwamba GSM alikuwa anaitafuta Siku nyingi sana hii Hali itokee ili sababu ipatikane na Yeye atumie huo mwanya Kujiimarisha Kibiashara lakini pia nae kuanza Kuuza Bidhaa baadhi ambazo Kampuni ya Azam inatengeneza na hata Kubumi zaidi.
Kuna Taarifa nimepenyezewa kuwa kumbe hata GSM nae yuko mbioni Kuanzisha Kampuni ya Kutengeneza Bidhaa ( Products ) zote anazotengeneza Azam akiwa na Lengo Kuu la kutaka Kuliteka Soko la Tanzania ambapo kwa Msaada mkubwa anaopewa na Mstaafu Mmoja mwenye Ushawishi mkubwa katika Awamu ya Sita hii huenda hili likawezekana na hata dalili fulani fulani zimeshaanza Kujitokeza.
Sasa ni Wazi Vita ya GSM na AZAM ndiyo imeshaanza hivyo na kuna Uwezekano mkubwa kuanzia sasa Utajiri mkubwa wa Mzee Bakhressa ukawa tempered Kimakusudi na Watu wa Kodi kwa Maagizo ya Watu wa Mamlaka wenye Uyanga Uliotukuka kwa Ushawishi mkubwa wa Mstaafu ambaye inasemekana katika Utajiri wa GSM Yeye ana Share kama 75% hivi ila GSM anapaishwa Kimkakati ili Kuwazuga Watanzania wasimjue Mmiliki Mkuu aliye nyuma ya GSM.
Watafeli, ngumu sana kuwalazimisha hata mashabiki wako wanunue bidhaa zako, ngoja waingie sokoni ndio wataisoma namba, kwasababu naamini hata sasa wapo mashabiki wa Simba wanaotumia bidhaa za Azam na huwaamishi kirahisi japo Mo nae anatengeneza.Ushaambiwa kuwa GSM nae anataka aanze kuzalisha GSM Energy drink, GSM Cola, GSM Ukwaju, GSM Embe, GSM Unga, GSM Chapati, GSM Sukari na mataka taka yote unayoyajua kuwa Azam anatengeneza. Inshort wanataka kuwa direct competitors wa Azam products.
Mpe redioMafala sana haya ma Gsm..binafsi ni shabiki wa Simba lakini nilinunua godoro lao sasa kwa hasira ninaenda kumpa mwanautopolo. Godoro lilikua zuri na lina viwango, sasa kwa utopolo huu bora nikamkabidhi mwanautopolo yoyote bure.
Genta pendekeza mwanautopolo nimpe bure godoro hili la inch 12.