Je, kwa haya Mauaji yanayotokea Mikoa mingine huu siyo wakati wa kutuomba Radhi wana Mkoa wa Mara kwa kutuchafua tokea zamani?

Je, kwa haya Mauaji yanayotokea Mikoa mingine huu siyo wakati wa kutuomba Radhi wana Mkoa wa Mara kwa kutuchafua tokea zamani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Siku hizi kila ukisikia tu Mauwaji pamoja na Ukatili mbalimbali utasikia tu ni Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Iringa, Mbeya, Mtwara, Morogoro, Singida, Dodoma, Shinyanga, Mwanza, Ruvuma na Kagera tofauti na ilivyozoeleka na Kukaririwa kuwa Mkoa Kinara wa Kutukuka kwa Vitendo hivi ni Mkoa wangu Uliobarikiwa wa Mara ( Musoma )

Je, kwa haya Mauwaji ya Mikoa mingine huu siyo wakati Wenu nyie 'Wakaririji' kutuomba 'Radhi' wana JF kutokea Mara?
 
Gender Based Violence and Homicide cases are now rampant in every corner of the country. I think a lot of social campaigns against such deeds should be increased.
Naongea nikiwa hapa barabara ya Mukendo nikipata ugali na maziwa.
 
Gender Based Violence and Homicide cases are now rampant in every corner of the country. I think a lot of social campaigns against such deeds should be increased.
Naongea nikiwa hapa barabara ya Mukendo nikipata ugali na maziwa.
Wape salamu hapo mwembeni complex!
 
Unazungumza opposite. Mara hasa Tarime ndio vinara wa matukio ya mauaji.

Kaskazini kuna matukio gani sasa?
 
Back
Top Bottom