Je, kwa Tsh Milioni 40 tu GENTAMYCINE 'nikijibanabana' naweza Kuitumia Kukamilisha yafuatayo?

Kuna mhuni atakuja kuropoka hapa kuwa hela hiyo haitoshi hata msingi.

Huku kalala kwenye godoro kuukuu nyumbani kwa baba yake pembeni na choo cha shimo cha kutapisha
 
Asante ila Ungenifafanulia zaidi Kimtiritiko ningeshukuru.
Mimi si mtaalamu wa ujenzi ila nimetumia uzoefu wangu wa kujenga jenga vijumba vya saizi hiyo tena mikoani ambako vifaa vya ujenzi ni bei juu kuliko huko unakotaka kujenga.
 
Unaweza tumia hata 20m ....ukapata nyumba nzuri sana....halafu 20 nyingine ukaweka kwenye biashara....ambazo wengi wanaona za kiduanzi....genge...pombe za kienyeji...supu...mishkaki....au voop.
 
Inategemea ukubwa wa nyumba. Ila kwa nyumba ya vyumba vitatu sebule jiko na dining, Hiyo hela utaishia kwenye kukamilisha boma lililoezekwa, kuwekwa magrili, kuwekwa mfumo wa awali wa umeme na maji. Kwenda zaidi ya hapo, sidhani.
 
Hongera sana mkuu.

Binafsi naamini inawezekana.

Cha msingi ni kutoruhusu kutoka nje ya bajeti naalengo yako.
 
Kiwanja cha mil 4 utauziwa makaburini labda uende porini kabisa.

Na kujenga kwa mil 25 hapa tena vyumba 3 angalau uwe na 50 nje ya kiwanja
..Halafu kwa nn ukajenge nje ya mji sana huko nunua eneo kubwa sana kwa baadae maana usafiri kama unapiga mishe huko town utakugharimu sana.
 
Unaweza tumia hata 20m ....ukapata nyumba nzuri sana....halafu 20 nyingine ukaweka kwenye biashara....ambazo wengi wanaona za kiduanzi....genge...pombe za kienyeji...supu...mishkaki....au voop.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mkuu nauza kiwanja Vikawe! Seven kilometers from "bawbaw" secondary school"
 
Hivi hiyo pesa ukizunguka zunguka huwezi kupata nyumba ya kununua hata kama utamaalizia baadhi ya finishing? Mbona naziona sana mitandaoni
 
Mkuu nauza kiwanja Vikawe! Seven kilometers from "bawbaw" secondary school"

Mkuu unahangaika na milioni arobaini ya kwenye stori. Mwenzako popoma yupo katulia zake kijijini kwao Isunga -Chupi bunda vijijini huko anawachora tu hapa jamvini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…