Je kwa tukio la Msigwa, Lissu ataanza kumuheshimu Mbowe kwa kuipanga Kanda ya Nyasa na kuona mbele?

Je kwa tukio la Msigwa, Lissu ataanza kumuheshimu Mbowe kwa kuipanga Kanda ya Nyasa na kuona mbele?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Lissu alienda Iringa akimtetea Msigwa kwa nguvu zote hata kumdhalilisha Mh. Mbowe, je Lissu ataanza kuheshimu beacons za siasa za upinzani, hasa Mbowe zinapotoa msimamo?

Je Lissu bado hajajua huyo anayemuita "Abdul" alikuwa anawasiliana na nani (kama ni kweli, maana Lissu kwa uongo)? Je alienda kumtetea mtu wa Abdul akamuacha mtiifu wa chama chake?.

The Abdul Myth is bigger than Lissu, its possible hata Lissu haelewi mishipa ya Abdul ilivyojaa katika mwili wa CDM, who is Abdul, and how deep he is within CDM?

Msigwa aliposhindwa uchaguzi wa kanda alienda kuripoti moja kwa moja kwa Lissu na kupiga naye mikutano, is Lissu next? Je msigwa amehama CDM baada ya kuongea na Lissu katika mikutano ya hadhara wakiwa wamemtenga Mbowe?
 
Kuna baadhi ya viongozi wa Chadema ni wazuri sema hawapendezwi na namna ya chama chao kinavyoongozwa na Mbowe kuna misingi imeshaharibiwa sio yeye wengi wataondoka Chadema na bahati mbaya mfumo wetu wa siasa unataka kiongozi yoyote anagombea nafasi ya uongozi ni lazima awe chama chochote
 
Kuna baadhi ya viongozi wa Chadema ni wazuri sema hawapendezwi na namna ya chama chao kinavyoongozwa na Mbowe kuna misingi imeshaharibiwa sio yeye wengi wataondoka Chadema na bahati mbaya mfumo wetu wa siasa unataka kiongozi yoyote anagombea nafasi ya uongozi ni lazima awe chama chochote
Kama hawapendezwi na namna chama kinavyoongozwa, basi ni vizuri sana wanaondoke waende wanakopendezwa. I bet hata Msingwa atakuwa amevutiwa na jinsi CCM inavyoongozwa na muda wote alikuwepo Chadema alikuwa hayupo sehemu nzuri.
 
Lissu alienda Iringa akimtetea Msigwa kwa nguvu zote hata kumdhalilisha Mh. Mbowe, je Lissu ataanza kuheshimu beacons za siasa za upinzani, hasa Mbowe zinapotoa msimamo?
Unaweza kuonyesha kuwa Lissu alimtetea Msigwa? Mimi nilisikia Lissu akisema ''kuna fedha nyingi sana imemwagwa kwenye kanda hii''. Je, kama mhusika wa hizo fedha ni Msigwa?
 
Unaweza kuonyesha kuwa Lissu alimtetea Msigwa? Mimi nilisikia Lissu akisema ''kuna fedha nyingi sana imemwagwa kwenye kanda hii''. Je, kama mhusika wa hizo fedha ni Msigwa?
Liko wazi
 
Naona tunamshushia Msigwa zigo la mavi kumbe upande mwingine inawezekana yeye ndio kaonewa aka kanyan'ganywa haki kaona isiwe tabu.

Kunya anye bata akinya kuku kaharisha, tusimuone Mbowe malaika saana.
 
Back
Top Bottom