Je kwa tukio la Msigwa, Lissu ataanza kumuheshimu Mbowe kwa kuipanga Kanda ya Nyasa na kuona mbele?

Je kwa tukio la Msigwa, Lissu ataanza kumuheshimu Mbowe kwa kuipanga Kanda ya Nyasa na kuona mbele?

Lissu alienda Iringa akimtetea Msigwa kwa nguvu zote hata kumdhalilisha Mh. Mbowe, je Lissu ataanza kuheshimu beacons za siasa za upinzani, hasa Mbowe zinapotoa msimamo?

Je Lissu bado hajajua huyo anayemuita "Abdul" alikuwa anawasiliana na nani (kama ni kweli, maana Lissu kwa uongo)? Je alienda kumtetea mtu wa Abdul akamuacha mtiifu wa chama chake?.

The Abdul Myth is bigger than Lissu, its possible hata Lissu haelewi mishipa ya Abdul ilivyojaa katika mwili wa CDM, who is Abdul, and how deep he is within CDM?

Msigwa aliposhindwa uchaguzi wa kanda alienda kuripoti moja kwa moja kwa Lissu na kupiga naye mikutano, is Lissu next? Je msigwa amehama CDM baada ya kuongea na Lissu katika mikutano ya hadhara wakiwa wamemtenga Mbowe?
mipango ya msigwa kusaliti chama yana mda mrefu sana.
maana usaliti kwake ni jadi yake, pamoja na uchungaji wake amekua anakula kondoo wake na kusaliti ndoa yake huku akijiita mchungaji.

Huyu ataisoma namba iringa maana bilionia Geofrey Mungai jimbo analichukua asubuhi sana
 
Lissu alienda Iringa akimtetea Msigwa kwa nguvu zote hata kumdhalilisha Mh. Mbowe, je Lissu ataanza kuheshimu beacons za siasa za upinzani, hasa Mbowe zinapotoa msimamo?

Je Lissu bado hajajua huyo anayemuita "Abdul" alikuwa anawasiliana na nani (kama ni kweli, maana Lissu kwa uongo)? Je alienda kumtetea mtu wa Abdul akamuacha mtiifu wa chama chake?.

The Abdul Myth is bigger than Lissu, its possible hata Lissu haelewi mishipa ya Abdul ilivyojaa katika mwili wa CDM, who is Abdul, and how deep he is within CDM?

Msigwa aliposhindwa uchaguzi wa kanda alienda kuripoti moja kwa moja kwa Lissu na kupiga naye mikutano, is Lissu next? Je msigwa amehama CDM baada ya kuongea na Lissu katika mikutano ya hadhara wakiwa wamemtenga Mbowe?
msigwa ni mtengeneza njia tu ya Lisu kupita na kuingia CCM, na akija aje kwa heshma ana awe mwanachama mwenye adabu 🐒
 
mipango ya msigwa kusaliti chama yana mda mrefu sana.
maana usaliti kwake ni jadi yake, pamoja na uchungaji wake amekua anakula kondoo wake na kusaliti ndoa yake huku akijiita mchungaji.

Huyu ataisoma namba iringa maana bilionia Geofrey Mungai jimbo analichukua asubuhi sana
Mungai atapigwa asubuhi mno kabla ya supu kuisha bar
 
Kuna baadhi ya viongozi wa Chadema ni wazuri sema hawapendezwi na namna ya chama chao kinavyoongozwa na Mbowe kuna misingi imeshaharibiwa sio yeye wengi wataondoka Chadema na bahati mbaya mfumo wetu wa siasa unataka kiongozi yoyote anagombea nafasi ya uongozi ni lazima awe chama chochote
Mbona Kule Kenya Raila Odinga ni Kiongozi wa Chama chake tanvu e zi za Moi na hakuna hata Mkenya anaye hangaika kumwambia aondoke.
 
Ka
Kuna baadhi ya viongozi wa Chadema ni wazuri sema hawapendezwi na namna ya chama chao kinavyoongozwa na Mbowe kuna misingi imeshaharibiwa sio yeye wengi wataondoka Chadema na bahati mbaya mfumo wetu wa siasa unataka kiongozi yoyote anagombea nafasi ya uongozi ni lazima awe chama chochote
Kama nchi hii ingeruhusu mgombea binafsi pengine wengi wasingehamahama vyama. Mtu anatafuta jukwaa la kufanya siasa.

Tupiganie mgombea binafsi mithili ya Gen Z walivyofanya Kenya
 
Ka
Kama nchi hii ingeruhusu mgombea binafsi pengine wengi wasingehamahama vyama. Mtu anatafuta jukwaa la kufanya siasa.

Tupiganie mgombea binafsi mithili ya Gen Z walivyofanya Kenya
Kote huko utaikuta dola
 
Chadema hawagusi kabisa huu uzi
 
Mbona husemi Lissu alisema kuna pesa chafu za Abdul zimegawiwa kwa wanachama wasio waaminifu kuvuruga uchaguzi?
 
Back
Top Bottom