Je kwa tukio la Msigwa, Lissu ataanza kumuheshimu Mbowe kwa kuipanga Kanda ya Nyasa na kuona mbele?

mipango ya msigwa kusaliti chama yana mda mrefu sana.
maana usaliti kwake ni jadi yake, pamoja na uchungaji wake amekua anakula kondoo wake na kusaliti ndoa yake huku akijiita mchungaji.

Huyu ataisoma namba iringa maana bilionia Geofrey Mungai jimbo analichukua asubuhi sana
 
msigwa ni mtengeneza njia tu ya Lisu kupita na kuingia CCM, na akija aje kwa heshma ana awe mwanachama mwenye adabu 🐒
 
Mungai atapigwa asubuhi mno kabla ya supu kuisha bar
 
Mbona Kule Kenya Raila Odinga ni Kiongozi wa Chama chake tanvu e zi za Moi na hakuna hata Mkenya anaye hangaika kumwambia aondoke.
 
Ka Kama nchi hii ingeruhusu mgombea binafsi pengine wengi wasingehamahama vyama. Mtu anatafuta jukwaa la kufanya siasa.

Tupiganie mgombea binafsi mithili ya Gen Z walivyofanya Kenya
 
Ka
Kama nchi hii ingeruhusu mgombea binafsi pengine wengi wasingehamahama vyama. Mtu anatafuta jukwaa la kufanya siasa.

Tupiganie mgombea binafsi mithili ya Gen Z walivyofanya Kenya
Kote huko utaikuta dola
 
Chadema hawagusi kabisa huu uzi
 
Mbona husemi Lissu alisema kuna pesa chafu za Abdul zimegawiwa kwa wanachama wasio waaminifu kuvuruga uchaguzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…