Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 815
- 1,983
- Thread starter
- #21
Unadhani ni masharti gani ya ndoa yanayofanya iwe ngumu na ya kibaguzi? Je, ndoa inaweza kufanikiwa bila masharti yoyote au bado inahitaji mwongozo fulani ili iwe imara?Masharti ya ndoa ndo magumu, yamekaa kiuonevu sana..kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuvumilia.
Labda utaratibu wa ndoa ubadilishwe.
Watu wanaingia kwenye ndoa kwasababu jamii imewataka wafanye hivyo.