Je, kwanini ndoa imekuwa ngumu kufikiwa?

Je, kwanini ndoa imekuwa ngumu kufikiwa?

Tafiti yangu ndogo japo sio uhakika 100% , wazazi wetu wanajua kuchagulia watoto wao wenza wanaoendana nao kwa sana .

Unaweza kwenda mji mwingine kwa ajili ya kusoma ,ukakutana na mtu mnapendana ila kwenye uwanja wa ndoa hamuendani kutokana na asili yenu ...Arranged marriages ndiyo mfumo wa India .Sasa angalia divorce rate yao ni ndogo hakuna duniani..​
Madilu system - Vice Versa

 
Lakini si ndoa zote ziko hivi. Kuna wanaume wanaopenda kutumia muda nyumbani na wake zao. Sio kila mwanaume anakubali yaishe, wengine wanashirikiana na wake zao kuunda ndoa yenye furaha. Labda tatizo si ndoa yenyewe, bali jinsi watu wanavyoichukulia.
Najua unampenda sana huyo mwanamke wako ila ngoja ukikua utayaona na kuyaexperience haya ninayokuambia.

📌📌Mapenzi yanapofusho na huwa wanaume tukipenda hatusikii wala kuelewa😀😀😀 case study Mmakonde kwa Kajala.
 
Najua unampenda sana huyo mwanamke wako ila ngoja ukikua utayaona na kuyaexperience haya ninayokuambia.

📌📌Mapenzi yanapofusho na huwa wanaume tukipenda hatusikii wala kuelewa😀😀😀 case study Mmakonde kwa Kajala.
Si wanaume pekee wanaopofushwa na mapenzi. Hata wanawake wanapopenda sana, wanaweza kupuuza red flags. Lakini si kila mtu anayependa anapoteza uwezo wa kufikiri—wengine wanapenda lakini bado wanajua wanachofanya.

Pia, kwa usahihisho mdogo—mimi si mwanaume, mimi ni mwanamke.
 
Mwanaume/ Kijana wa kiume/Mvulana kabla hujachafua clean sheet yako.Hakikisha umejipata vizuri either umesoma mpaka uone kibao kimesema mwisho wa kusoma au uwe umejikusanyia mali za kutosha,ndoa ni biashara yenye faida kwa upande wa mwanamke.Ndoa kwa mwanaume ni hasara tupu.

📌📌📌kataa ndoa,timiza malengo yako kwanza.Ndoa sio lazima kimbia huo mtego.
Najisaka bado mkuu. Nikizipata nitaoa
 
Lakini feminism siyo kuharibu ndoa, ni kuleta usawa wa haki kwa jinsia zote. Tatizo si feminism wala ndoa, bali ni watu kushindwa kuelewana kuhusu majukumu yao mapya. Ikiwa wanandoa wanakubaliana kuhusu namna ya kuendesha ndoa yao, feminism haiwezi kuwa tatizo.
Daah.! sijui natumia lugha ngumu au vipi. Ni hivi huo usawa wa kijinsia ndio haukujumuishwa katika kuisuka taasisi ya ndoa. Ndoa haitambui usawa wa kijinsia, inachotambua mke yupo chini ya mamlaka ya mume.

Ndio maana uko juu nikasema tuchague kipi muhimu. Kama feminism ndio ya muhimu basi tuiondoe taasisi ya ndoa au tuisuke upya kuendana na misingi ya feminism kama ndoa ni muhimu basi tuachane na feminism au tusuke upya msingi wa feminism ili iingie kwenye mfumo wa ndoa bila kuleta hitilafu.

Nitoe mfano katika ndoa mwanaume ni provider na protector ambapo return anayoipata kutoka kwa mwanamke ni utiifu na uaminifu. Feminism imemwaminisha mwanamke utiifu kwa mume ni utumwa kwaiyo kama tukitaka kufuata feminism yaani kuondoa ilo takwa la utiifu wa mke kwa mumewe maana yake inabidi tuondoe na lile jukumu la mwanaume kuwa provider na protector kwa mwanamke.

Kumtaka mwanaume acheze part yake kama misingi ya ndoa inavyotaka na mwanamke acheze part kulingana na misingi ya feminism hio lazima ilete mkwamo
 
Masharti ya ndoa ndo magumu, yamekaa kiuonevu sana..kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuvumilia.

Labda utaratibu wa ndoa ubadilishwe.
Watu wanaingia kwenye ndoa kwasababu jamii imewataka wafanye hivyo.
kingine ni dini tofauti ya wawili hao
 
Najua unampenda sana huyo mwanamke wako ila ngoja ukikua utayaona na kuyaexperience haya ninayokuambia.

📌📌Mapenzi yanapofusho na huwa wanaume tukipenda hatusikii wala kuelewa😀😀😀 case study Mmakonde kwa Kajala.

Hiyo case study nyepesi. Mpe ya Mabeste na kile kidemu alichozaa nacho.
 
Je, unadhani wanawake wanapaswa kuingia kwenye ndoa wakijua kabisa kwamba hawatahitaji kumtegemea mwanaume, au bado mwanaume anapaswa kuwa provider hata kama mwanamke ana kipato chake?
Na hapo ndipo patakapokuwa ni miili miwili si mwili mmoja, mke ataingia na kwenye ndoa kama anakuja kujitegemea, ni haja ya mwili tu mengine nijitegemee mwenyewe.
 
Usijiulize sana
#Kataa Ndoa
Madanguro nimengi kuliko hata ndoa,nani ataoa,vijana wapo mitandaoni wanapata huduma zote vocha yako tu,waoaji ni waislam angalau wanaijali dini yao ila upande wa pili nijanga kubwa sana imefikia wadada wanashindana mavazi kanisani ilikuvutia waoaji
 
Lakini si kweli kwamba ndoa zote zinavunjika kwa sababu watu walichagua vibaya. Wakati mwingine mazingira na hali za maisha hubadilika baada ya ndoa, na watu wanashindwa kuzoeana na mabadiliko hayo. Swali ni: Je, kuna namna ya kuhakikisha kwamba wanandoa wanajitayarisha kwa changamoto zinazokuja baada ya ndoa?
Hapo sikupingi👍👍
 
kwanza feminism imemwamimisha mwanamke ku-play role yake ya submissive ni utumwa kwaiyo moja kwa moja nguzo kuu ya maelewano haipo tena hapo

SIo mbaya mwanamke kujitegemea au kuwa na chanzo cha kipato. Lakini iyo haiendani na zile kanuni zilitumika kutengeneza msingi wa ndoa. Katika muundo wa ndoa mwanaume anaangiliwa kama provider kwaiyo anawajibika kwenda kutafuta ugali wa familia, mwanamke anaangaliwa kama receiver hivyo anabaki nyumbani kuangalia familia.

Sasa tukitumia kanuni ya 50/50 kwamba wote waende kutafuta maana yake inabidi tufanye marekebisho ya mfumo wa ndoa kwa kumwondolea mwanamke ile privilege ya reciever na kugawana mali za mwanaume, kwa sababu mwanamke nae kapewa access ya kutafuta kama mwanaume ivyo hakuna sababu ya kuwa twgemezi au kuwa na entitled kwenye pesa na mali za mwanaume.

Kosa lililofanyika tumemwondolea mwanamke boundaries na limitation katika wajibu wake wakati hatujamwondolea mwanaume risk na mzigo anaoubeba. Ndio maana mwanaume akijipata anaogopa ndoa jqasababu haiingii akilini kugawana mali na mwanamke ambaye ajachangia chochote
Sema we jamaa unapiga punchlines kinoma
 
Back
Top Bottom