Madilu system - Vice VersaTafiti yangu ndogo japo sio uhakika 100% , wazazi wetu wanajua kuchagulia watoto wao wenza wanaoendana nao kwa sana .
Unaweza kwenda mji mwingine kwa ajili ya kusoma ,ukakutana na mtu mnapendana ila kwenye uwanja wa ndoa hamuendani kutokana na asili yenu ...Arranged marriages ndiyo mfumo wa India .Sasa angalia divorce rate yao ni ndogo hakuna duniani..
Najua unampenda sana huyo mwanamke wako ila ngoja ukikua utayaona na kuyaexperience haya ninayokuambia.Lakini si ndoa zote ziko hivi. Kuna wanaume wanaopenda kutumia muda nyumbani na wake zao. Sio kila mwanaume anakubali yaishe, wengine wanashirikiana na wake zao kuunda ndoa yenye furaha. Labda tatizo si ndoa yenyewe, bali jinsi watu wanavyoichukulia.
πππUkweli ambao kila mwanaume/mvulana anatakiwa kuujuaπππMwanaume huna hela halafu unaoa hapo lazima ndoa iwe ngumu
Si wanaume pekee wanaopofushwa na mapenzi. Hata wanawake wanapopenda sana, wanaweza kupuuza red flags. Lakini si kila mtu anayependa anapoteza uwezo wa kufikiriβwengine wanapenda lakini bado wanajua wanachofanya.Najua unampenda sana huyo mwanamke wako ila ngoja ukikua utayaona na kuyaexperience haya ninayokuambia.
ππMapenzi yanapofusho na huwa wanaume tukipenda hatusikii wala kuelewaπππ case study Mmakonde kwa Kajala.
Najisaka bado mkuu. Nikizipata nitaoaMwanaume/ Kijana wa kiume/Mvulana kabla hujachafua clean sheet yako.Hakikisha umejipata vizuri either umesoma mpaka uone kibao kimesema mwisho wa kusoma au uwe umejikusanyia mali za kutosha,ndoa ni biashara yenye faida kwa upande wa mwanamke.Ndoa kwa mwanaume ni hasara tupu.
πππkataa ndoa,timiza malengo yako kwanza.Ndoa sio lazima kimbia huo mtego.
Daah.! sijui natumia lugha ngumu au vipi. Ni hivi huo usawa wa kijinsia ndio haukujumuishwa katika kuisuka taasisi ya ndoa. Ndoa haitambui usawa wa kijinsia, inachotambua mke yupo chini ya mamlaka ya mume.Lakini feminism siyo kuharibu ndoa, ni kuleta usawa wa haki kwa jinsia zote. Tatizo si feminism wala ndoa, bali ni watu kushindwa kuelewana kuhusu majukumu yao mapya. Ikiwa wanandoa wanakubaliana kuhusu namna ya kuendesha ndoa yao, feminism haiwezi kuwa tatizo.
Hapa sikubaliani na weweTΓΉlishajichanganya tangu mwanzo..ndoa ni kitu cha kipuuzi kuwahi kutokea hapa duniani, kama ilivyo dini.
kingine ni dini tofauti ya wawili haoMasharti ya ndoa ndo magumu, yamekaa kiuonevu sana..kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kuvumilia.
Labda utaratibu wa ndoa ubadilishwe.
Watu wanaingia kwenye ndoa kwasababu jamii imewataka wafanye hivyo.
Dini changamotoUnadhani ni masharti gani ya ndoa yanayofanya iwe ngumu na ya kibaguzi? Je, ndoa inaweza kufanikiwa bila masharti yoyote au bado inahitaji mwongozo fulani ili iwe imara?
Najua unampenda sana huyo mwanamke wako ila ngoja ukikua utayaona na kuyaexperience haya ninayokuambia.
ππMapenzi yanapofusho na huwa wanaume tukipenda hatusikii wala kuelewaπππ case study Mmakonde kwa Kajala.
Hili nalo ni janga. Watu wa dini tofauti hawafai kuoana. Ni vitakingine ni dini tofauti ya wawili hao
Na hapo ndipo patakapokuwa ni miili miwili si mwili mmoja, mke ataingia na kwenye ndoa kama anakuja kujitegemea, ni haja ya mwili tu mengine nijitegemee mwenyewe.Je, unadhani wanawake wanapaswa kuingia kwenye ndoa wakijua kabisa kwamba hawatahitaji kumtegemea mwanaume, au bado mwanaume anapaswa kuwa provider hata kama mwanamke ana kipato chake?
Madanguro nimengi kuliko hata ndoa,nani ataoa,vijana wapo mitandaoni wanapata huduma zote vocha yako tu,waoaji ni waislam angalau wanaijali dini yao ila upande wa pili nijanga kubwa sana imefikia wadada wanashindana mavazi kanisani ilikuvutia waoajiUsijiulize sana
#Kataa Ndoa
Hapo sikupingiππLakini si kweli kwamba ndoa zote zinavunjika kwa sababu watu walichagua vibaya. Wakati mwingine mazingira na hali za maisha hubadilika baada ya ndoa, na watu wanashindwa kuzoeana na mabadiliko hayo. Swali ni: Je, kuna namna ya kuhakikisha kwamba wanandoa wanajitayarisha kwa changamoto zinazokuja baada ya ndoa?
Sema we jamaa unapiga punchlines kinomakwanza feminism imemwamimisha mwanamke ku-play role yake ya submissive ni utumwa kwaiyo moja kwa moja nguzo kuu ya maelewano haipo tena hapo
SIo mbaya mwanamke kujitegemea au kuwa na chanzo cha kipato. Lakini iyo haiendani na zile kanuni zilitumika kutengeneza msingi wa ndoa. Katika muundo wa ndoa mwanaume anaangiliwa kama provider kwaiyo anawajibika kwenda kutafuta ugali wa familia, mwanamke anaangaliwa kama receiver hivyo anabaki nyumbani kuangalia familia.
Sasa tukitumia kanuni ya 50/50 kwamba wote waende kutafuta maana yake inabidi tufanye marekebisho ya mfumo wa ndoa kwa kumwondolea mwanamke ile privilege ya reciever na kugawana mali za mwanaume, kwa sababu mwanamke nae kapewa access ya kutafuta kama mwanaume ivyo hakuna sababu ya kuwa twgemezi au kuwa na entitled kwenye pesa na mali za mwanaume.
Kosa lililofanyika tumemwondolea mwanamke boundaries na limitation katika wajibu wake wakati hatujamwondolea mwanaume risk na mzigo anaoubeba. Ndio maana mwanaume akijipata anaogopa ndoa jqasababu haiingii akilini kugawana mali na mwanamke ambaye ajachangia chochote
Ni vita kati ya watu wawili au familia sana san mwanamke akiwa muislam ndio vita kubwaHili nalo ni janga. Watu wa dini tofauti hawafai kuoana. Ni vita
ππππ wadau wananiambia niandike kitabuSema we jamaa unapiga punchlines kinoma
Ntaweka order kama hakijatokaππππ wadau wananiambia niandike kitabu