Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
ZPPP ilikuwa pia ya Waafrica?walichomaanisha ni kuwa machotara kwa maana jamii ya waliochanganya damu ni kuwa wanatokana na chama cha Hizbu kwa maana ya chama cha ZNP, na Zanzibar inamilikiwa na CCM/ASP ambao ni chama cha waafrica.