Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Leo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga
But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo Yanga wanaenjoy tu na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani
NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki waliofungwa Wana morali zaid ya walio draw
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo Yanga wanaenjoy tu na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani
NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki waliofungwa Wana morali zaid ya walio draw
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app