mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
HUKO SIO LEVEL ZETU KAKA.tumekuja kutalii hata tusipopata points hata 1 sawa tu
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia reaction za mashabiki wa pande mbiliNi kujidanganya moyo kwa kudai aliyefungwa tatu kwa nunge ana furaha na aliyetoka sare amechukia.Huu uongo ni wa wajinga pekee.
[emoji23][emoji23]Kwasababu bado hawaamini kama wamemfunga Simba goli 5.
Kwahiyo bado wanaendelea na sherehe kwasababu kuifunga timu kama Simba wanaona ni miujiza.
[emoji23][emoji23]HUKO SIO LEVEL ZETU KAKA.tumekuja kutalii hata tusipopata points hata 1 sawa tu
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hayo mawazo ya kufikirika yapo kwenye nafsi za utopolo tu na ambao ni ujinga uliopea viwango.Mtu mmoja avunjwe miguu yote miwili na mkono mmoja umlinganishe na mwingine aliyeumwa na nyuki sikioni?Mpo sawa kwenye mbongo zenu ninyi?Luc Aimel hakukosea hata kidogo.
Ndio hapo watakaposema!Al ahly ni mlima mzito ....so hawawezi kusikitika[emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nafurahi sana kuona mdada anapenda soka huwa namuona kama mshikaji wangu wa kiumeKusema ukweli, tulifungwa kwa makosa madogo sana ambayo yanarekebishika, hatukuzidiwa ktk mchezo bali makosa yetu wenyewe ndiyo yaliyotuadhibu.
Tusonge mbele kwa kuitazama mechi ijayo, ni mechi ya msingi zaidi na makosa hayapaswi kurudiwa nyumbani.
Hizo ndizo akili zetu Wanayanga, hatukati tamaa bali kusonga mbele daima.
Wacha wajisahaulishe cause hao walio wanyoosha thalatha waliwadharau kabla!Ahly atatonesha kidonda kwa kupiga kwenye mshono.
Kwa vile wameshafikia lengo lao walilojiwekea kuingia makundi.Leo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga
But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw .....lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo .....Yanga wanaenjoy tu .....na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani
NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki.....waliofungwa Wana morali zaid ya walio drawView attachment 2828595
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwa akili kiduchu hiyo ni fainali kwao
Huyu alieumwa na nyuki sikioni kabla ya kuumwa na nyuki, alisagwasagwa kichwa na baadae akaumizwa na mkono.Hayo mawazo ya kufikirika yapo kwenye nafsi za utopolo tu na ambao ni ujinga uliopea viwango.Mtu mmoja avunjwe miguu yote miwili na mkono mmoja umlinganishe na mwingine aliyeumwa na nyuki sikioni?Mpo sawa kwenye mbongo zenu ninyi?Luc Aimel hakukosea hata kidogo.
Umejiengua na wale wawili wenye akili huko utopoloni.Asagwesagwe kichwa halafu awe hai?Ni wawili tu.Wewe haumo.Huyu alieumwa na nyuki sikioni kabla ya kuumwa na nyuki, alisagwasagwa kichwa na baadae akaumizwa na mkono.
Huoni tofauti hapo?
Umejiengua na wale wawili wenye akili huko utopoloni.Asagwesagwe kichwa halafu awe hai?Ni wawili tu.Wewe haumo.
Ni kuhusu kusikia.Mumchukue mumuweke juu pale kidimbwini ghorofani.Hujasikia stori ya kweli ya mtu asie na kichwa anaeonekana maeneo ya huko Zanzibar?
Achana na hiyo stori. Kuna sehemu nimeandika kuwa huyo mtu aliesagwasagwa kichwa bado yu hai?
Mbali na kumchukua, wewe ukimuona unaweza kumsogelea?Ni kuhusu kusikia.Mumchukue mumuweke juu pale kidimbwini ghorofani.
Hadi naandika hivi,ujue habari zako ni vituko na hazipo mpaka ulete ushahidi usio shaka.Mbali na kumchukua, wewe ukimuona unaweza kumsogelea?
Nikiipata ile clip ya mashuhuda nitakuwekea.Hadi naandika hivi,ujue habari zako ni vituko na hazipo mpaka ulete ushahidi usio shaka.