shanature
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,693
- 1,432
naamMkuu sorry ukisema wahusika unamanisha Washika dau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naamMkuu sorry ukisema wahusika unamanisha Washika dau?
Ukifuatilia maelezo vizuri utajywa kama ni Washika dau au wapiga porojo. Ila Cha msingi ni kuchukuwa Yale unayo Dhani yatakusadianaam
Gharama kubwa ni kupata eneo/ kiwanja Cha kujenga . Eneo liwe tambarare kupunguza gharama za kuujaza kufusi,
Vibali vya ujenzi Unaanzia NEMC , Hadi EWURA. Hapo lazima uwe na 10M to 20Million.
Gharama za ujenzi zimegawanyika kulingana na ukubwa wa eneo Eg kujaza zege inaweza eneo la pump,
Inaweza fikka 10- 15mullioni, inategemea ukubwa wa kituo,
Gharama za Canopy / paa la kisasa linaanzia 30-60millioni, ila yapo ya kawaida unaweza Jenga Kwa 10-18millioni.
Gharama za kutengeneza matanki ya kuhifadhia Mafuta, Tanki mbili zenye ujazo wa Ltrs 35elfu ukinunua material mwenyewe na kumleta fundi site kwako ni 20millioni ,
Pump mbili za Mafuta zenye mikonga miwili / midomo miwili Kila upande mdomo Moja ni 34millioni Kwa zote.
Generator nzuri ya kuendesha kituo 5-8millioni,
Gharama za kujenga office, vyoo, vyumba vya kubadilishia nguo wafanyakazi ni 15millioni.
Gharama za kuchimba mashimo ya Tanki mawili, kutengeneza mfumo wa kutenganisha Maji na Mafuta , pamoja na kuchimba mfeteji wa kupitisha Mafuta 3millioni
Gharama za pipe za kutoka kwenye matanki Hadi kwenye pump ni 1.5nillioni.
Gharama za kufunga. Mfumo wa umeme ni 3-6millioni.
NB: hizi ni gharama Kwa kituo standard , ila kama ukiamua kubana Kwa maeneo ya vinijini unaweza punguza gharama kidogo
Mkuu nimemuona Baphomet hapoUmerahisisha ufafanuz mkuu, asante..
Unaweza nielezea kwenye faida inavyopatikana
Nitarudi tena hapaBei za kununulia Mafuta Depot Kwa wauzaji wa jumla bandari ya Dar es salaam
Petrol Kwa Ltrs Moja Tshs 2952.48 na
Disiel Kwa Ltrs Moja Tshs 2946.09.
Hizo ndio Bei rasmi bila punguzo , ukiongea nao wanakupa punguzo.
Ukitaka kujua Faida Kwa Ltrs Moja unachukua Bei ya kuuzia kwenye vituo vya mtani kwako una toa na hiyo Bei ya kununulia kutoka Kwa wauzaji wa Jumla.
NB; Kuna issue za usafirishaji ambazo huwa kama ifuatavyo kupeleka Mafuta Mwanza gharama zake ni Tshs 100-120 Kwa Ltrs na Mbeya na Tunduma Bei ni hiyo hiyo . Ndio maana Bei Zina tofautiana Kila mkoa ama Kanda Kwa sababu ya issue za usafiri. EWURA wanatoa Bei mpya Kila jumatano ya mwanzo wa Mwezi, wao hitoa Bei elekezi Kwa Nchi nzima
inategemea unaifungulia wapi? mjini au vijininiMtaji wa kias gani unahitajika kwa mtu anayetaka kuingia kwenye biashara hii bila ya kujaribujaribu
Mzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.Sheli faida inakuaga ni sh 100 kila lita moja Ila mzunguko wake ni mkubwa Sana hivyo ni biashara yenye returning kubwa Sana.
Ila kama una mtaji wa chini ya 250m sikushauri ufanye biashara ya mafuta broLeo tuziangalie hizi biashara tupeane mawili matatu kwenye angle hii ya
Uwekezaji, kwamba mtaji wa kiasi gani unahitajika ili kufaidi faida kubwa
Uendeshwaji wake
Faida zinapatikanaje
Biashara hizo ni
Sheli ya mafuta
Kampuni ya MADINI
Karibuni kwa michango.
Lita laki 5 zinaeza isha ndani ya mda gani kwa Station iliyokua maeneo ya town..???Mzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.
So unakuta mtu analita za mafuta lita laki 5+ au zaidi ukipigia hizo sent kwa lita hizo unaelewa
Calculation za Faida ni rahisi sana kujuwa , unaangalia Bei elekezi ya vituo vya mafuta una toa na Bei elekezi ya wauzaji jumla, una toa gharama za usafiri, discount uliopewa Kwa wauzaji wa jumla na wewe unatumia kwenye kupunguza gharama ndogo ndogo.Mzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.
So unakuta mtu analita za mafuta lita laki 5+ au zaidi ukipigia hizo sent kwa lita hizo unaelewa
Mchawi ni location uliochagua , mzunguko wako wa biashara , Business strategy zako,Lita laki 5 zinaeza isha ndani ya mda gani kwa Station iliyokua maeneo ya town..???
Mchawi ni location uliochagua , mzunguko wako wa biashara , Business strategy zako,Lita laki 5 zinaeza isha ndani ya mda gani kwa Station iliyokua maeneo ya town..???
Mkuu ule mpango waliokuwa nao BP kipindi fulani wa kuingia partnership na wamiliki wa maeneo wao wanajenga kituo bado upo ?Gharama kubwa ni kupata eneo/ kiwanja Cha kujenga. Eneo liwe tambarare kupunguza gharama za kuujaza kufusi. Vibali vya ujenzi Unaanzia NEMC Hadi EWURA. Hapo lazima uwe na 10M to 20Million.
Gharama za ujenzi zimegawanyika kulingana na ukubwa wa eneo Eg. Kujaza zege inaweza eneo la pump,
Inaweza fika 10- 15 millioni, inategemea ukubwa wa kituo.
Gharama za Canopy / paa la kisasa linaanzia 30-60millioni, ila yapo ya kawaida unaweza Jenga Kwa 10-18 millioni.
Gharama za kutengeneza matanki ya kuhifadhia Mafuta, Tanki mbili zenye ujazo wa Ltrs 35elfu ukinunua material mwenyewe na kumleta fundi site kwako ni 20millioni.
Pump mbili za Mafuta zenye mikonga miwili / midomo miwili Kila upande mdomo, moja ni 34 millioni Kwa zote.
Generator nzuri ya kuendesha kituo 5-8millioni.
Gharama za kujenga office, vyoo, vyumba vya kubadilishia nguo wafanyakazi ni 15millioni. Gharama za kuchimba mashimo ya Tanki mawili, kutengeneza mfumo wa kutenganisha Maji na Mafuta, pamoja na kuchimba mfereji wa kupitisha Mafuta 3 millioni.
Gharama za pipe za kutoka kwenye matanki Hadi kwenye pump ni 1.5 millioni. Gharama za kufunga. Mfumo wa umeme ni 3-6millioni.
NB: Hizi ni gharama Kwa kituo standard, ila kama ukiamua kubana kwa maeneo ya vijijini unaweza punguza gharama kidogo.
Wote walionza hakuna aliye anzia na mtaji wa mabillioni, wore Kuna sehemu walianzia.Ila kama una mtaji wa chini ya 250m sikushauri ufanye biashara ya mafuta bro
Kwa wale waliopo Dar es salaam mnaweza kufanya Hii hesabu mkatusadia vizuriMzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.
So unakuta mtu analita za mafuta lita laki 5+ au zaidi ukipigia hizo sent kwa lita hizo unaelewa
BP walikuja kyuzwa na Sasa inaitwa PUMA, nimeona Oryx / Total amechukuwa vituo vingi vya Oil com mikoani.Mkuu ule mpango waliokuwa nao BP kipindi fulani wa kuingia partnership na wamiliki wa maeneo wao wanajenga kituo bado upo ?