Je, kwenye Biashara hizi uendeshaji na faida vinapatikanaje?


Be blessed
 
Nitarudi tena hapa
 
Sheli faida inakuaga ni sh 100 kila lita moja Ila mzunguko wake ni mkubwa Sana hivyo ni biashara yenye returning kubwa Sana.
Mzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.

So unakuta mtu analita za mafuta lita laki 5+ au zaidi ukipigia hizo sent kwa lita hizo unaelewa
 
Ila kama una mtaji wa chini ya 250m sikushauri ufanye biashara ya mafuta bro
 
Mzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.

So unakuta mtu analita za mafuta lita laki 5+ au zaidi ukipigia hizo sent kwa lita hizo unaelewa
Lita laki 5 zinaeza isha ndani ya mda gani kwa Station iliyokua maeneo ya town..???
 
Mzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.

So unakuta mtu analita za mafuta lita laki 5+ au zaidi ukipigia hizo sent kwa lita hizo unaelewa
Calculation za Faida ni rahisi sana kujuwa , unaangalia Bei elekezi ya vituo vya mafuta una toa na Bei elekezi ya wauzaji jumla, una toa gharama za usafiri, discount uliopewa Kwa wauzaji wa jumla na wewe unatumia kwenye kupunguza gharama ndogo ndogo.
Faida Kwa Ltrs sio chini ya Tshs 100.
 
Mkuu ule mpango waliokuwa nao BP kipindi fulani wa kuingia partnership na wamiliki wa maeneo wao wanajenga kituo bado upo ?
 
Ila kama una mtaji wa chini ya 250m sikushauri ufanye biashara ya mafuta bro
Wote walionza hakuna aliye anzia na mtaji wa mabillioni, wore Kuna sehemu walianzia.
Leo Hii Kuna baadhi ya maeneo ukiwa na 150millioni unaanza biashara. Vizuri tu, Tena ndani ya mwaka Moja unafikia break even point.
Hizi biashara zitahitaji kwanza uwe mjanja unaelewa Industry inahitaji kitu Gani Kwa Hilo eneo lako, then ndio mtaji unafuata..
Kuna njia nyingi sana za kupunguza gharama Kwa vituo vya vijijini , ukatumia less than 100M.
Tuwe wepesi kujifunza vitu Kwa undani, jitahidi kufanya feasibility study tumia muda na gharama kujifunza biashara inayohitaji uwekezaji mkubwa, ila Ukienda kicha kichwa. Utapigwa Kila eneo Hadi uone chamoto
 
Mzee sh 100 kwa lita moja ya mafuta ni hela kubwa sana navyojua mimi kwa lita moja faida huwa ni sh 20,30 mpka 50.

So unakuta mtu analita za mafuta lita laki 5+ au zaidi ukipigia hizo sent kwa lita hizo unaelewa
Kwa wale waliopo Dar es salaam mnaweza kufanya Hii hesabu mkatusadia vizuri
Mkuu ule mpango waliokuwa nao BP kipindi fulani wa kuingia partnership na wamiliki wa maeneo wao wanajenga kituo bado upo ?
BP walikuja kyuzwa na Sasa inaitwa PUMA, nimeona Oryx / Total amechukuwa vituo vingi vya Oil com mikoani.

Na wao wakicgukuwa wanampa mtu aendeshe ila sharti lazima ununue Mafuta kwao ya jumla na Faida wao wanachukuwa sehemu kubwa, wewe unakuwa kama mfanyakazi wao, Kwa mtaji wako.
Kwenye Faida wanatoa gharama zao za ujenzi plus Faida mnagawana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…