KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Hello peoples..
Hebu tujisaule hapa kwa kuchanganya maarifa juu ya UTUPU kwenye ulimwengu, swali la msingi ni kuwezekana kwa hali ya utupu, namaanisha hivi mpaka sasa binadamu na teknolojia yake bado hajaweza kufikia hatua ya Kutengeneza utupu (vacuum), kwa asilimia mia!.
Ataweza kutoa hewa lkn sio atom!, na sidhani kama sasa tuna teknolojia yakutoa atom zote kwenye space!, maana jambo la kushangaza walipofanya jaribio la kuunda utupu kuna atom zilijitokeza pasipo kufahamika zilipotoka!.
Na binafsi ndio maana nikiulizwa ni kitu gani cha ajabu kwenye huu ulimwengu basi sisiti kukuambia kuwa space ndio inaajabu kushinda vitu vyote!.
Mada yangu haichokozi kuhusu uwezo wa binadamu kwenye Kutengeneza utupu (vacuum), mada yangu inajikita zaidi kama ulimwengu unaruhusu hali ya utupu kuweza kufanyika!, hapa namaanisha utupu ambao ni asilimia mia moja!.
Lakini pamoja na hayo ninapata mashaka ikiwa ipo hivi, kama ulimwengu unaweza kuruhusu utupu dukuduku langu ni nahisi kuwa, Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa kikawa ni kitu hatari ikiwa binadamu akiweza Kutengeneza na namashaka ndio inaweza ikawa siraha kubwa kushinda siraha zote ambazo umewahi kuzifikiria!.
Vilevile ikiwa ulimwengu hauwezi kuruhusu utupu basi ulimwengu ni ombwe ambalo limekamilika hakuna kinaweza kutoka wala kuingia, namaanisha na mipaka yake haiwezi kuharibika huku sheria zake zikiwa nizakujitegemea haziwezi kwenda nje yani alpha na omega!..
msiniulize kwanini nafikiria hivi bado nami sijapata jibu kwanini nafikiria hivi kwasasa!.
Hivyo mdau wewe nini mawazo yako, je unafikiri ulimwengu unaweza kuruhusu ama hauwezi kuruhusu utupu...
Hebu tujisaule hapa kwa kuchanganya maarifa juu ya UTUPU kwenye ulimwengu, swali la msingi ni kuwezekana kwa hali ya utupu, namaanisha hivi mpaka sasa binadamu na teknolojia yake bado hajaweza kufikia hatua ya Kutengeneza utupu (vacuum), kwa asilimia mia!.
Ataweza kutoa hewa lkn sio atom!, na sidhani kama sasa tuna teknolojia yakutoa atom zote kwenye space!, maana jambo la kushangaza walipofanya jaribio la kuunda utupu kuna atom zilijitokeza pasipo kufahamika zilipotoka!.
Na binafsi ndio maana nikiulizwa ni kitu gani cha ajabu kwenye huu ulimwengu basi sisiti kukuambia kuwa space ndio inaajabu kushinda vitu vyote!.
Mada yangu haichokozi kuhusu uwezo wa binadamu kwenye Kutengeneza utupu (vacuum), mada yangu inajikita zaidi kama ulimwengu unaruhusu hali ya utupu kuweza kufanyika!, hapa namaanisha utupu ambao ni asilimia mia moja!.
Lakini pamoja na hayo ninapata mashaka ikiwa ipo hivi, kama ulimwengu unaweza kuruhusu utupu dukuduku langu ni nahisi kuwa, Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa kikawa ni kitu hatari ikiwa binadamu akiweza Kutengeneza na namashaka ndio inaweza ikawa siraha kubwa kushinda siraha zote ambazo umewahi kuzifikiria!.
Vilevile ikiwa ulimwengu hauwezi kuruhusu utupu basi ulimwengu ni ombwe ambalo limekamilika hakuna kinaweza kutoka wala kuingia, namaanisha na mipaka yake haiwezi kuharibika huku sheria zake zikiwa nizakujitegemea haziwezi kwenda nje yani alpha na omega!..
msiniulize kwanini nafikiria hivi bado nami sijapata jibu kwanini nafikiria hivi kwasasa!.
Hivyo mdau wewe nini mawazo yako, je unafikiri ulimwengu unaweza kuruhusu ama hauwezi kuruhusu utupu...