Je, kwenye ulimwengu hali ya utupu inawezekana?

Je, kwenye ulimwengu hali ya utupu inawezekana?

Vacuum(utupu) ni neno linalotokana na neno la kigiriki vacuus(adjective),neuter vacuus likiwa na maana ya "vacant au void" kwa maana ya utupu.

Vacuum(utupu) ni nini?
Vacuum(utupu)> ni hali pasipo kitu,nafasi pasipo maada. Yaani nafasi tupu ambapo hakuna kitu chochote,hakuna maada,hakuna hewa,hakuna gesi.

Ili tutengeneze vacuum(utupu) inabidi tuondoe kila kitu(maada,air,gas n.k) pasiwepo na kitu.

Je binadamu anaweza kutengene a perfect vacuum jibu ni hapana. Kwasababu quantum theory ina dictate kwamba energy fluactuations inayojulikana kama virtual particles constantly huwa zin pop in and out of existance,hata kwenye empty space.
Siyo... vacuum is the space which is no any kind of matter....not any kind of energy...hivyo kutengeneza vacuum hakuna shida yoyote kwasababu ya (not, any kind of energy)
 
Hello peoples..

Hebu tujisaule hapa kwa kuchanganya maarifa juu ya UTUPU kwenye ulimwengu, swali la msingi ni kuwezekana kwa hali ya utupu, namaanisha hivi mpaka sasa binadamu na teknolojia yake bado hajaweza kufikia hatua ya Kutengeneza utupu (vacuum), kwa asilimia mia!.

Ataweza kutoa hewa lkn sio atom!, na sidhani kama sasa tuna teknolojia yakutoa atom zote kwenye space!, maana jambo la kushangaza walipofanya jaribio la kuunda utupu kuna atom zilijitokeza pasipo kufahamika zilipotoka!.
Na binafsi ndio maana nikiulizwa ni kitu gani cha ajabu kwenye huu ulimwengu basi sisiti kukuambia kuwa space ndio inaajabu kushinda vitu vyote!.

Mada yangu haichokozi kuhusu uwezo wa binadamu kwenye Kutengeneza utupu (vacuum), mada yangu inajikita zaidi kama ulimwengu unaruhusu hali ya utupu kuweza kufanyika!, hapa namaanisha utupu ambao ni asilimia mia moja!.

Lakini pamoja na hayo ninapata mashaka ikiwa ipo hivi, kama ulimwengu unaweza kuruhusu utupu dukuduku langu ni nahisi kuwa, Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa kikawa ni kitu hatari ikiwa binadamu akiweza Kutengeneza na namashaka ndio inaweza ikawa siraha kubwa kushinda siraha zote ambazo umewahi kuzifikiria!.

Vilevile ikiwa ulimwengu hauwezi kuruhusu utupu basi ulimwengu ni ombwe ambalo limekamilika hakuna kinaweza kutoka wala kuingia, namaanisha na mipaka yake haiwezi kuharibika huku sheria zake zikiwa nizakujitegemea haziwezi kwenda nje yani alpha na omega!..
msiniulize kwanini nafikiria hivi bado nami sijapata jibu kwanini nafikiria hivi kwasasa!.

Hivyo mdau wewe nini mawazo yako, je unafikiri ulimwengu unaweza kuruhusu ama hauwezi kuruhusu utupu...
Swali lako na fikira zako ni potovu..
Kwa sababu ujui vacuum is about (E-matter) not (E-energy)..
THREAD CLOSE....💥💥
 
Swali lako na fikira zako ni potovu..
Kwa sababu ujui vacuum is about (E-matter) not (E-energy)..
THREAD CLOSE....💥💥
Mwamposa unatuangusha waumini wako🤣.....tumesoma kidogo ujue
 
Mwamposa unatuangusha waumini wako🤣.....tumesoma kidogo ujue
Utakuwa wewe ni msomi wa UDSM ndiyo maana akili imefubaa kama walimu wenu walivyo fubaa akili 😁😁😁 haya nielimishe nijue wapi nimekosea ?
 
Mada yangu haichokozi kuhusu uwezo wa binadamu kwenye Kutengeneza utupu (vacuum), mada yangu inajikita zaidi kama ulimwengu unaruhusu hali ya utupu kuweza kufanyika!, hapa namaanisha utupu ambao ni asilimia mia moja!.
Utupu ulio rahisi zaidi kuundwa ni ule utupu wa kimahesabu. Wenyewe ni simple tu unachukua vitu positive kama vitatu, unaweka sehemu na vitu negative vitatu pia. Na hiki ndicho kinachofanyika mara nyingi unaweka matter na antimater baaaam ni utupu

Matokeo yake kimahesabu ndio unaita utupu. Lakini UTUPU kama UTUPU asee ni kazi sana kuwepo.
 
Back
Top Bottom