Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Sio kutuandaa, sababu kubwa ni rehersal pale ofisi ya mkuu kwa huyu mpya, pia kufuatilia mafaili nyeti yote. Kama kuna lilomiss basi kulifuatilia labda aliliacha home. Mafaili yote muhimu baada ya kupatikana na kukabidhiwa mrithi, ndio wakatangaza. Hii ndio mnaita kwa usalama wa Taifa ilisogezwa mbele.
Yaani siku ile mama anaapishwa tayari alikuwa ameijua ofisi kuu ndani nje! Hivyo.
 
Kuna mengine mengi zaidi ya hayo mkuu.....
Kuna wajinga walitaka kupindua meza... Kuna mengi sana chini ya kapeti ambayo watu walizama hadi kijijini kwake chumbani kabla ya tamko na kuchukua nondo flan flan
 
"Kiufupi hakujapoa yapo mengi mazito ya head of nation"

Mkuu, lugha ngumu sana hii kuweza kueleweka [emoji3516]
Hana lolote huyo TumainiEl ambaye ni muabudu Magufuli. Nchi iko salama mokononi mwa SSH, uchumi unakuwa, diplomasia inashamiri, watoto wanakwenda shule, wafanyakazi wanalipwa increment, na hakuna tishio la kunyang'anywa fedha wala kuuliwa na WASIOJULIKANA.
 
Kuna mengine mengi zaidi ya hayo mkuu.....
Kuna wajinga walitaka kupindua meza... Kuna mengi sana chini ya kapeti ambayo watu walizama hadi kijijini kwake chumbani kabla ya tamko na kuchukua nondo flan flan
Hizo porojo, kwa nafasi hiyo ya kusemwa hayakosekani.
 
Hizo porojo, kwa nafasi hilo ya kusemwa hayakosekani.
Tunatofautiana na source of info..
Wengine hatupati info humu..

Na hata alipokuwa haonekani wengi wenu mlisema porojo....
Upende usipende.... kuna wajinga walitaka mhusika wa cheo kipya ajiuzulu kwa nguvu... Ili apatikane mwingine kwa uapisho...

Games hizo zilifanyika kwa siri lakini hawakuweza... Na mpaka leo wana nongwa sana na Mama... Walipangwa kushika madaraka beyong 2025...lakini haikuwezekana
 
Haya hata Amini alivyokimbia uganda kuna waliosema ameenda kujipanga atarudi, kumbe porojo.
Nakuchokonoa hivyo uwataje hao waliotaks mana sio kwa kujihakikishia huko.... Taja vinginevyo poroja
 
Ilikuwa ngumu kutoa taarifa moja kwa moja kutokana na usiri ndani ya jamuhuri na usiri wa wale wangemrithi. Kiufupi hakujapoa yapo mengi mazito a heads of nation. Hence watu tujiandae Kisaikolojia
Hamna kitu just move on it's a done deal.....mlikua mna chance mwaka juzi now it's too late.
 
Kwao ilikuwa wameramba king mbili. Wacheza karata watanielewa vizuri.
 
Pia usiku ule ving'ora vya hatari vilipigwa usiku kwenye kamanding za jeshi. Pili ni Maraia tu walikuwa hawajuwi ila karibia Vyombo vyote vya ulinzi walikuwa wanafull data na some of walirudi kazin kwa dharula.
Raia Gani hajui? Sema nyie wapiga kelele wa lulumba. Kivipi Lissu na Mnyika wajue alafu useme jeshini pekee hawakujua? Rumours za kifo chake zilikwisha sambaa Ile weekend.

Ila hongera mkuu ulitabiri kifo chake na kweli kikatokea. We ni mtu wa kitengo itakua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…