Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kuthibitisha hapo utapewa PhD ya heshima kama msukuma.Magufuli haijalishi kafa lini na katangazwa lini, iwe siku hiyo au nyingine.
Walioamua wamefanya uamuzi kutokana na sababu wanazozijuwa wao, zitakuwa ni nzuri tu kwa wakati huo.