Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Wanabodi
Declaration of Interest
Mimi Paskali sio GT, ila naweza kuandika contents kwa ajili ya ma GT only.

JF ilipoanzishwa na Mkuu Maxence Melo na Mike Mushi, was meant to be a home of Great Thinkers!, Hili ni bandiko la maswali fikirishi kwa ma GT only!. Wewe kama ni mwenzangu na mimi, na sio GT, nashauri kwenye bandiko hili kwa leo jipitie tuu bila kuchangia chochote!.

Today's, the 12th March, could it be ndio the fateful day ya lile tukio ila tukaja kutangaziwa 5 days later?.

  1. Je ukweli halisi ni upi?.
  2. What really happened in that fateful day?
  3. Why viongozi wetu wakuu wa huku bara tuu ndio hawakujulishwa? As a results waliendelea na ratiba zao za kawaida as if nothing happened?.
  4. Lakini Zanzibar walifuta ratiba za matukio yao yote!, hii ina maana viongozi wa Zanzibar ndio walijua kitu kabla ya viongozi wa JMT huku bara hawajajulishwa?.
  5. Kwa kawaida No. 2 anatumwa kazi na No. 1, sasa wakati No.1 tayari hayupo, nani alimtuma No.2 ile safari?.
  6. Kwa nini Watanzania tukajulishwa after 5 Days?.
  7. Hizo Siku 5 walizo kaa naye baada ya kutokea, walikuwa Wanafanya nini nae?.
  8. Was it the right thing to do? jambo kubwa kama hili kutangazwa na kijana wao kwenye mitandao ya kijamii na wao kukaa kimya bila kukanusha?
  9. If it was not right, kama uamuzi huo ni wa familia, then it's a family affair, hatuna haki kuuliza chochote kwa mujibu wa kinga ya the right to privacy.
  10. Lakini kama uamuzi huo ni watu baki and it was not right, ni kina nani hao na wamefanywa nini?.
Maswali haya ni kwa mujibu wa kanuni ya ukweli ya ”seek the truth and the truth and the truth will set you free”, na mimi kama mwandishi wa habari, kanuni kuu ya uandishi wahabari ni “tellnothing but the truth”

Zamani kupata taarifa ilikuwa ni hisani tuu yaani favour tuu lakini sasa kwa mujibu wa The Right to Information Act, kupata taarifa ni haki, sio favour!, hivyo Watanzania tuna haki ya kupatiwa taarifa sahihi na tuambiwe ukweli wa ni nini haswa kilichotokea tarehe 12 March ili ukweli huu kutuweka huru!.

Maswali haya yanatokana na ile March 12, mimi ni miongoni mwa watu tuliotumiwa taarifa ya YouTube ya kutokea kwa tukio hili kutokana na ku subscribers kwa channel ya mwana JF mwenzetu huyu ambaye kwa mujibu wa kazi yake, hatuna sababu yoyote ya kum doubt the authenticity ya taarifa yake based on his sources, kwasababu hayo yote yaliyotangazwa na mwana jf huyu, kwenye YouTube channel yake yakaja kutangazwa rasmi 5 days later!, hivyo tukio hilo ambalo mwanzo lilionekana kama ni uzushi, likaja kuthibitishwa kwa taarifa rasmi.

Kama taarifa ya mwana JF huyu ilikuwa ni uzushi, mbona uzushi huu haukukanushwa rasmi mpaka leo?.

Ombi kwa Mode: JF ni social media, ambayo ni user generated forum, na sio mainstream media, hivyo members wako huru kuchanganya lugha au kutumia any informality as long as sio lugha za kilugha, hivyo heading ikiwa imechanya lugha mode wasiingilie kutafsiri, kuna vitu very sensitive, ukitumia lugha za wenzetu the impact ni ndogo zaidi!.

Angalizo kwa wachangiaji: Ma GT hawataji majina, hakuna jina la mtu yeyote aliyetajwa kwenye bandiko hili, hivyo sitegemei mtu yoyote anayechangia uzi huu kutaja jina lolote, na hata ikitokea wewe sio GT, but for the sake of bandiko hili, nakuomba ujifanye na wewe ni GT, usitaje jina lolote!, Please!.

Jumapili Njema

Paskali
Tanzania ni mali ya nani ?
 
Raia Gani hajui? Sema nyie wapiga kelele wa lulumba. Kivipi Lissu na Mnyika wajue alafu useme jeshini pekee hawakujua? Rumours za kifo chake zilikwisha sambaa Ile weekend.

Ila hongera mkuu ulitabiri kifo chake na kweli kikatokea. We ni mtu wa kitengo itakua.
Sarcasm
 
..Na tukio lilitokea NCHI JIRANI.

..Na lilitokea ktk HOSPITALI iliyomuokoa jamaa aliyemtwanga marisasi.
Nilimsoma mwanajf mmoja akisema kuwa kule tulipeleka Mwili.. Tukaambiwa huyu hatunaye.. Hatukukubali.. Pipa likaungurumishwa kuelekea Kwa mabaniani.. Walipokuwa hewani wakashauriana na kukubaliana kuwa wanajisumbua na kumsumbua na walichoambiwa pale alipokuwa amelazwa hasimu wake ndio kulikuwa Ukweli.. Pipa likageuzwa kurudi Kipawa.. Mwili ukapelekwa Makumbusho..

Na ndio sababu taarifa zilianza kutokea Kwa majirani wa Kaskazini ikifuatiwa na hasimu wake ambaye wakati huo alikuwa ughaibuni..
 
Wanabodi
Declaration of Interest
Mimi Paskali sio GT, ila naweza kuandika contents kwa ajili ya ma GT only.

JF ilipoanzishwa na Mkuu Maxence Melo na Mike Mushi, was meant to be a home of Great Thinkers!, Hili ni bandiko la maswali fikirishi kwa ma GT only!. Wewe kama ni mwenzangu na mimi, na sio GT, nashauri kwenye bandiko hili kwa leo jipitie tuu bila kuchangia chochote!.

Today's, the 12th March, could it be ndio the fateful day ya lile tukio ila tukaja kutangaziwa 5 days later?.

  1. Je ukweli halisi ni upi?.
  2. What really happened in that fateful day?
  3. Why viongozi wetu wakuu wa huku bara tuu ndio hawakujulishwa? As a results waliendelea na ratiba zao za kawaida as if nothing happened?.
  4. Lakini Zanzibar walifuta ratiba za matukio yao yote!, hii ina maana viongozi wa Zanzibar ndio walijua kitu kabla ya viongozi wa JMT huku bara hawajajulishwa?.
  5. Kwa kawaida No. 2 anatumwa kazi na No. 1, sasa wakati No.1 tayari hayupo, nani alimtuma No.2 ile safari?.
  6. Kwa nini Watanzania tukajulishwa after 5 Days?.
  7. Hizo Siku 5 walizo kaa naye baada ya kutokea, walikuwa Wanafanya nini nae?.
  8. Was it the right thing to do? jambo kubwa kama hili kutangazwa na kijana wao kwenye mitandao ya kijamii na wao kukaa kimya bila kukanusha?
  9. If it was not right, kama uamuzi huo ni wa familia, then it's a family affair, hatuna haki kuuliza chochote kwa mujibu wa kinga ya the right to privacy.
  10. Lakini kama uamuzi huo ni watu baki and it was not right, ni kina nani hao na wamefanywa nini?.
Maswali haya ni kwa mujibu wa kanuni ya ukweli ya ”seek the truth and the truth and the truth will set you free”, na mimi kama mwandishi wa habari, kanuni kuu ya uandishi wahabari ni “tellnothing but the truth”

Zamani kupata taarifa ilikuwa ni hisani tuu yaani favour tuu lakini sasa kwa mujibu wa The Right to Information Act, kupata taarifa ni haki, sio favour!, hivyo Watanzania tuna haki ya kupatiwa taarifa sahihi na tuambiwe ukweli wa ni nini haswa kilichotokea tarehe 12 March ili ukweli huu kutuweka huru!.

Maswali haya yanatokana na ile March 12, mimi ni miongoni mwa watu tuliotumiwa taarifa ya YouTube ya kutokea kwa tukio hili kutokana na ku subscribers kwa channel ya mwana JF mwenzetu huyu ambaye kwa mujibu wa kazi yake, hatuna sababu yoyote ya kum doubt the authenticity ya taarifa yake based on his sources, kwasababu hayo yote yaliyotangazwa na mwana jf huyu, kwenye YouTube channel yake yakaja kutangazwa rasmi 5 days later!, hivyo tukio hilo ambalo mwanzo lilionekana kama ni uzushi, likaja kuthibitishwa kwa taarifa rasmi.

Kama taarifa ya mwana JF huyu ilikuwa ni uzushi, mbona uzushi huu haukukanushwa rasmi mpaka leo?.

Ombi kwa Mode: JF ni social media, ambayo ni user generated forum, na sio mainstream media, hivyo members wako huru kuchanganya lugha au kutumia any informality as long as sio lugha za kilugha, hivyo heading ikiwa imechanya lugha mode wasiingilie kutafsiri, kuna vitu very sensitive, ukitumia lugha za wenzetu the impact ni ndogo zaidi!.

Angalizo kwa wachangiaji: Ma GT hawataji majina, hakuna jina la mtu yeyote aliyetajwa kwenye bandiko hili, hivyo sitegemei mtu yoyote anayechangia uzi huu kutaja jina lolote, na hata ikitokea wewe sio GT, but for the sake of bandiko hili, nakuomba ujifanye na wewe ni GT, usitaje jina lolote!, Please!.

Jumapili Njema

Paskali
Ni kwamba Kiongozi wa Nchi kama lile la tarehev14 octoba , taratibu zake za kutoa hati ya kifo inapitia watu wengi mpaka taarifa ifike tbc .na msoma taarifa, awe katika Hali ya kuweza kutoa taarifa.
 
Huyu tulimpoteza MUDA mrefu Sana na sio siku tano kabla ya kutangazwa

Na alipitia nyakati zote ngumu. Za kushindwa kusimama
Kuongea
Kukaa
Hadi kuondoka.

Hii ilileta furaha na kejeli kwa opponents wa kisiasa.
Jee ni malipo ya maumivu kwa wengine?
Ndio yale tunayosikia katika maombi kuwa " Ee Mungu tujalie tupate kifo chenye kheri".
Kumbe maana yake ni hii, kwamba tuepushiwe kifo cha mateso.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Jee ni malipo ya maumivu kwa wengine?
Ndio yale tunayosikia katika maombi kuwa " Ee Mungu tujalie tupate kifo chenye kheri".
Kumbe maana yake ni hii, kwamba tuepushiwe kifo cha mateso.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app


Hakika kifo ambacho hakina mateso ni kizuri Sana.

Kilicholeta taharuki ni Aina ya hatua alizokuwa anapitia

Kushindwa kutembea
Kushindwa kukaa
Kushindwa kusimama na kuongea.

Mwili kupooza

Taarifa hizi zilipenyezwa kwa maasimu wake hasa asimu wake mkuu ambaye alikuwa nje hivyo huyo asimu wake mkuu alivyojua adui yake amepooza mwili mzima , ndipo aliamua kumuulizia kwa kusema "Mkuu wa familia yuko wapi"


Malipo yake ya karma yalikuwa makubwa Sana.
 
Japo miaka inaendelea kupita bila ukweli halisi kuwekwa bayana, this is the day na kuna siku itafika ukweli huu utawekwa bayana!, swali tunalojiuliza bila majibu, ni walikuwa wanafanya nini na huo... kwa siku 5 nzima mpaka tulipojulishwa?.
P
Mao Tse Tung alivyofariki bwa china hawakuta kuamini Kwa Amekata Moto, na jitihada za kupata , viungo vya mtu Mwingine nk ilikuwezesha Maisha yaendele zilifanyika. Na kuna wake wa ndani walitaka kuendeleza utawala wake lakini ilishindikana.na walikuwa kufukuzwa kwenye Chama.
 
Tarehe 06/03/2021 Sauti nakabwa kooni ilisikika Mara kadhaa na shughuli yake pale Dodoma kwa wajeda ikasitishwa ilikuwa ifanyike tarehe 09 l.kwa Suala la Protocol ni kwamba kiomgozi akiondoka hawatangazi tu Ila kuna utaratibu, bahati mbaya TISS yetu hawezi thibiti taarifa nyeti Kama hii BADALA yake Taaruki zikiaza hadi PM akaanza kujikanyaga. Na hii ni baada ya kujaribu kukwepa kumpandisha pipa wampeleke kwa mabeberu, wakaomba ubalozi wa CHINA the direct flight to them nao wakakataa, na walishaanza kushangilia tokea tarehe 10/03/2021 Taarifa tulikuwa nazo (Ndo maana naangaliaga Kapuku wa Manzese eti alikubalika kwa wa China na China wakati ndege walitunyima’ kwa Kifupi watu walio ukanda fulan walishapewa na hints Kama atakubaliwa’ Kifupi kuna mengi ntashusha uzi one day kueleza why wasingetumia ndege yetu direct to china, also why China denied kutoa msaada wa ndege kwa afya yake

Britanicca
Nimesoma mara tatu tatu,"na shughuli yake ikasitishwa pale Dodoma Kwa wajeda"
 
Yule kiongozi amefariki.
Watu wanabishana nani achukue nafasi yake.
Kwa hiyo hawatangazi.
Hapo hakuna mystery.
Ile ni kama watu wanapobishana mwili uzikwe wapi.
Lakini ukisema there was foul play. For most people inakuwa far- fetched. Watu hawako tayari kukubali conspiracy theories.
Unakuwepo uchawa katika ulinzi ambapo walinzi wanaonyesha loyalty yao kwa kiongozi aliyepo madarakani kwa kumdharau kiongozi aliyepita.
Sasa watu hawajali kudharauliwa, lakini ukifanya mambo ya kuhatarisha maisha yao,unaleta taharuki.
Yule Mwendazake alikuwa anabisha kwamba alikuwa anahitaji ushauri wa mtu yoyote.
Kwa hiyo alikuwa hataki interference.
Kuna suspicion but there is nothing which can trigger an investigation.
Lakini yule mama alikuwa anapamba jeneza la Mwendazake alikufa mysteriously siku saba baada ya maziko.
Polonium ilikuwa inatajwa.
Wachina walisema,"We will wait for you to go away,kwa sababu you don't want to do what we want you to do."
Ah,waliongelea kuhusu kudukua moyo,kwamba moyo wake ulikuwa unafanya kazi kwa remote control.
Mi nashindwa kuamini kwamba ilikuwepo foul play.
And,besides,I have other things to worry about; holes in the soles of my shoes, and holes in the seat of my pants.
Siku Ile nilikuwa sina hela ya kupanda,nikatembea tu mpaka Upanga.
Kufika kule nikawauliza wale ndugu zangu;" Hawa wanahabari wa Kenya wanasema 'Yupo kiongozi wa East Africa hapa katika hospitali Nairobi. Wanaongea juu ya nani?"
Nikaambiwa,"Wanasema ni Magufuli "
Nikasema,"Oh,oh,nataka asimame atembee. Sitaki yule mwanamke awe Rais."
It would be useful to track the phone conversations of those who were at the death bed.
Kama mtu alienda pembeni kupiga simu,simu iliyokwenda nje ya nchi.
Naona TIGO wamebadili jina for reasons which are not clear.
 
Yule kiongozi amefariki.
Watu wanabishana nani achukue nafasi yake.
Kwa hiyo hawatangazi.
Hapo hakuna mystery.
Ile ni kama watu wanapobishana mwili uzikwe wapi.
Lakini ukisema there was foul play. For most people inakuwa far- fetched. Watu hawako tayari kukubali conspiracy theories.
Unakuwepo uchawa katika ulinzi ambapo walinzi wanaonyesha loyalty yao kwa kiongozi aliyepo madarakani kwa kumdharau kiongozi aliyepita.
Sasa watu hawajali kudharauliwa, lakini ukifanya mambo ya kuhatarisha maisha yao,unaleta taharuki.
Yule Mwendazake alikuwa anabisha kwamba alikuwa anahitaji ushauri wa mtu yoyote.
Kwa hiyo alikuwa hataki interference.
Kuna suspicion but there is nothing which can trigger an investigation.
Lakini yule mama alikuwa anapamba jeneza la Mwendazake alikuwa mysteriously siku saba baada ya maziko.
Polonium ilikuwa inatajwa.
Wachina walisema,"We will wait for you to go away,kwa sababu you don't want to do what we want you to do."
Ah,waliongelea kuhusu kudukua moyo,kwamba moyo wake ulikuwa unafanya kazi kwa remote control.
Mi nashindwa kuamini kwamba ilikuwepo foul.
And,besides,I have other things to worry about; holes in the soles of my shoes, and holes in the seat of my pants.
Well put Bro, I appreciate
 
Back
Top Bottom