jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Ni wilayani tu, usitake pachangamke kama jijini mzee. Ila pia hapajapoa kama vijijini, pamechanganya kama zilivyo wilaya zingine, night club zipo bar zipo hata madada poa wapo wanatoa huduma kwa buku tano tu, uwe timamu au chizi ukiwa na buku tano unapewa misamba ya kufa ntuSasa mbona kumelala kama siyo tanzania hata matukio hamna
Huko hakuna mzawa, kila mtu mgeni tu, ila wengi wamatumbi na wandengereko from rufiji na kilwaMakabila gani ya asili yaliyopo mafia
au ndo wazaramo
Ni ndogo sana na namba ndogo ya watu haiwezi kuwa mkoaView attachment 2870790
Mliofika Mafia. Mafia machoni pa watanzania wengi bado ni giza. Hata mtu ukimwambia ataje wilaya za Pwani angalabu sana kutaja Mafia!!
Kwa hali hii imenipasa kuuliza kama hata lami ipo???
Hutakaa usikie
Msanii
mchezaji
Mtu maarufu
Au chochote kutoka kisiwa hiki shida nn??
au ni kijiji sana
Pia unaweza pitia
Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?
Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?
Kujua zaidi
Ni ndogo sana na namba ndogo ya watu haiwezi kuwa mkoa
Huko hakuna mzawa, kila mtu mgeni tu, ila wengi wamatumbi na wandengereko from rufiji na kilwa
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri.Lami ipo kuanzia bandarini mpaka utende kwenye mahoteli ya watalii, ilijengwa kwa msaada wa wamarekani lakini pia lami za mitaani zinajengwa sasa na halmashauri punguza kushangaa halmashauri nyingi hazina lami za mitaa kama huko liwale, kilwa, karagwe, kakonko nk
Daladala za nini sasa?View attachment 2870757
Karibu...
Mi mgeni niliendaga huko mwaka jana katika harakati za kusaka mkate, ni mji mzuri kwa mapumzikoNaww ni mgeni au mwenyeji
Barabara ya mtaa hiyo kichangachui
Karibu Kilwa ujionee, halafu uje ubadili mwandiko wako.Lami ipo kuanzia bandarini mpaka utende kwenye mahoteli ya watalii, ilijengwa kwa msaada wa wamarekani lakini pia lami za mitaani zinajengwa sasa na halmashauri punguza kushangaa halmashauri nyingi hazina lami za mitaa kama huko liwale, kilwa, karagwe, kakonko nk
Labda tusubiri uchaguzi huuKikwete aliwaahidi meli hao watu wakati anajenga lile gati
Kilwa ipi mzee? Somanga, kivinje, masoko au nanjilinji?Karibu Kilwa ujionee, halafu uje ubadili mwandiko wako.