kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Zinapatikana wapi hapa bongo?Halali
UpangaZinapatikana wapi hapa bongo?
Too broad, unaweza kuwa specific?Upanga
Hii ngoma ni next level, japo unaonekana uko negative nayoMsiguse hii kitu.
Huenda ndiyo tunda lenyewe la mti wa katikati.
Ina alter consciousness, na inaweza kuinvite demons wakakuvagaa, wakawa wanakuletea vision za kukupotosha huku ukidhani umeugundua ukweli( reality)
Sio kweliAchaneni nao nusu huwa wanakuwa machizi
Hii ipo njombe ,kule kifanya wanaitumia wachawi wanajua cha kufanyia ni mrorongo ,ukijaribu huwa inaharibu uwezo wako wa uhalisia njano unaona blue, ndoo unaona mbwa ,afu unaweza anza lia msiba wa mwaka juzi kama umeambiwa leo ,wengine wakila wanajificha vichakani ,na stimu yake inachukua muda ila nusu wanakuwa machizi fullSio kweli
Inategemea na uwezo wako wa kuhandle hio kitu, ni kama pombe au weed, kuna watu wanatumia wanakaa vzr lkn kuna watu inawapelekesha, ni kwamba tu hii ni next level stuff, kama kichwa chepesi huwezi handle huo mziki wake, na ndo maana unashauriwa uwe chumba peke yako na ukae hata masaa nane sababu inachukua muda saana kumaliza kazi
Pamoja na maelezo yoteNi kitu gani,?
Hii inakuonesha mambo usiyoyaona kwa macho ya kawaida na ndo maana wanaoitumia hovyo bila kujiandaa wanaona mambo yanayowachizisha.Hii ipo njombe ,kule kifanya wanaitumia wachawi wanajua cha kufanyia ni mrorongo ,ukijaribu huwa inaharibu uwezo wako wa uhalisia njano unaona blue, ndoo unaona mbwa ,afu unaweza anza lia msiba wa mwaka juzi kama umeambiwa leo ,wengine wakila wanajificha vichakani ,na stimu yake inachukua muda ila nusu wanakuwa machizi full
NotedBuddhist temple pale Upanga kiroho safi utaipata. Ile iloyopo pale katikati ya kituo cha fire na akiba
Please please.....
Mkuu nimefanya sana meditation nimekaribia mpaka astral projection kisha nikaachaPlease please.....
Try at your own risk.