kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
- Thread starter
- #41
Point ni relationship kati ya mate ya Yesu na udongo kisha kumpaka yule kipofu. Hatujui kuna formula gani hapo, kwa nini asingesema tu na kipofu akaona?Angalia mifano yakutolea ..but nimekuelewa
Na ndo maana nikasema kuna vitu kwenye nature vimebeba nguvu za ziada. So aidha hukuelewa mfano au hukuelewa topic ila mfano ni relevant