Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
Watu tumepewa uwezo wa kuona bila hata hayo madude...

Hichi nilichoona juzi ndicho kinaniwazisha...

Mungu wangu nisaidie..

Naona kama maono...

Mwendazake akiwa kaja kuchukua majina ya waliomdedisha...

Jamani, ni kama nimemuona sehemu ya watu wengi ni kama sokoni, ila ghafla nikamuona akitoka nje ya mlango wa soko akawa anaondoka, ila nikaona amerudi na alipofikia mlango, pembeni kulikuwa na msalaba upo nje juu ya kitu, ndani yake kuna majina ya waliomdedisha nikaona anauchukua msalaba..

NB: Si mara moja naona yanayohusu Mwendazake...
Rabbon
Ulikua umelala au kwenye trip?
 
Kuhusu utakachoona inategemea na wewe mwenyewe. Wengine wanaona past zao, wengine wanaona futures zao, wengine wanaona maisha roho zao zilioishi miaka ya zamani au kwenye maisha mengine kabla ya haya. Japo pia inaweza amsha hisia fln ukabaki unalia tu.

Shida kubwa ni kushindwa kutoka kwenye hio trip, ukiwa stuck humo ndo hio watu wanakua kama chizi fln hv.

Kama umefikia kweli hio level ya meditation unayosema nadhan hapo inatosha au consult na guru wako kwanza kabla ya kujaribu hii kitu coz weed haiingii hata robo hapo

Weeeee weed haingii hata robo so mtu anaekula weed kali hiyo hawez tumia?
 
Mkuu nimefanya sana meditation nimekaribia mpaka astral projection kisha nikaacha

Sasa nataka kujaribu na hii maana kuna baadhi ya mambo siyaelewi elewi

Pia naomba unieleweshe kiundani zaidi inavyofanya kazi namna ya kuitumia na utaona nini baada ya kuitumia

Maana nimetumia mpaka bhangi ila sioni maajabu yoyote
Bangi ya wapi mkuu ? Au kushabu ??
 
Sio kila mtu bangi inamzingua mfano mm kvant inanipeleka higher kuliko bangi
Issue sio bangi kukuzingua kwasababu hilo sio lengo,

Lengo lake si anataka kumeditate vizuri akiwa high ?

Nna wasi wasi alikua hajui hata kutofautisha kati ya Indica au Sativa yeye alikua anavuta yoyote inayoitwa bangi na anakutana na kushabu.
 
Hello bosses...

Mada za kikubwa watoto wakiwa wamelala

Kuna mzigo unaiitwa magic mushrooms au tuziite shrooms, zinatumiwa kwa mambo ya kiroho na kujiliwaza pia. Ni kama weed kwa baadhi ya watu.

Kwa wale wanaofanya deep meditation pia baadhi wanazitumia kufanya tripping(huko unaweza kutana na wewe mwenyewe, au ukaona vitu fln vya kushangaza ulivopitia anyway sio story ya leo hii).

Je hapa Tanzania zinaruhusiwa? Na zinapatikana wapi kama zinaruhusiwa?
Arusha maeneo ya makao mapya ukielekea chuo Cha st Augustine kuna bar moja inaitwa Davos utaipata wanauza juice yake pale hadi Leo naonaga wqtu wanasizi Sana baada ya kutumia
 
Mkuu ulivuta bhange na haukuona impact yoyote!

Basi ulivuta bhangi changa au bhangi feki!

Mkuu ukija vuta iliyokomaa, hautarudia tena kuidharau na utakuja hapa na uthibitisho ulionyooka kukiri!
Mkuu Bhangi nimeanza kutumia nikiwa na 5yrs(usiulize ilikuwaje)

Ila wewe elewa hivyo
 
Kiufupi ni kwamba Inafanya Factory resetting ya mind... imagine mind yako imekuwa formatted..na wewe uko live..je ni magumu kias gn utayapitia..ukimess up hapo..ni rahisi kuwa chizi.

Infact naweza kumuongoza mtu anaye hitaji..
Mkuu hii inaweza kusaidia kwa mtu mwenye usonji ambae amechelewa kuongea na kupata uelewa wa vitu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom