Watu tumepewa uwezo wa kuona bila hata hayo madude...
Hichi nilichoona juzi ndicho kinaniwazisha...
Mungu wangu nisaidie..
Naona kama maono...
Mwendazake akiwa kaja kuchukua majina ya waliomdedisha...
Jamani, ni kama nimemuona sehemu ya watu wengi ni kama sokoni, ila ghafla nikamuona akitoka nje ya mlango wa soko akawa anaondoka, ila nikaona amerudi na alipofikia mlango, pembeni kulikuwa na msalaba upo nje juu ya kitu, ndani yake kuna majina ya waliomdedisha nikaona anauchukua msalaba..
NB: Si mara moja naona yanayohusu Mwendazake...
Rabbon