DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Yeah ni kweli..zile chuma wanazochomea zile,
kama sijakosea zisiposafishwa mara kwa mara zinakuwa si salama
sijui ni kutu ama nini
DR Mambo Jambo
Ila Hazina tatizo we Kula Mahindi safi kabisa hayo..
Hizo zingine ni minor issue tu