Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

Kuanzia
Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?

Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.

Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki kusifia sifia kila kitu. Yaani miradi yetu ya treni ina maana gani kama hakuna usalama Congo ya mashariki?. Jeshi letu kama halipigani kwa manufaa ya nchi wanabaki kuonyesha misuli kwenye sherehe tu sio powa. Haya ndiyo mambo ambayo jeshi letu linatakiwa kupigania sio kutishia waandamanaji au kusaidia wizi wa kura kwa wapinzani bali kupigania nchi na sio kinyonge nyonge

Watanzania tunabaki kuchekeshwa chekeshwa na serikali kama watoto wadogo. Hii ni dharau kubwa. Hakuna mtu anajua kuhusu mazishi wa wanajeshi, hakuna bendera nusu mlingoti.......... huu ndiyo uzalendo
Kuanzia mwanzo sikuona nia ya Samia kuhusu hili,mkuu wa majeshi ile hotuba aliyoitoa pale haikuonyeshwa kuungwa mkono na Amiri jeshi mkuu,kuna hisia napata yuko compromised haswa baada ya ile safari ya M7 na Kagame pamoja na Kabarebe kuja Zanzibar kuonana naye...kumbuka wakati wa ile michuano iliyofanyika Zanzibar,Kabarebe alitia kambi kule alikaa Zanzibar kwa wiki kama moja hivi
 
M23 wanapigania haki ndiyo maana wanasonga mbele Kila kukicha. Sisi bakongoman tunataga FARDC bapigwe masase mengi ili Nchi yetu iwe na amani na hatutaki kuwa kama watanzania na uoga wao wa kupigania haki
 
Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?

Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.

Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki kusifia sifia kila kitu. Yaani miradi yetu ya treni ina maana gani kama hakuna usalama Congo ya mashariki?. Jeshi letu kama halipigani kwa manufaa ya nchi wanabaki kuonyesha misuli kwenye sherehe tu sio powa. Haya ndiyo mambo ambayo jeshi letu linatakiwa kupigania sio kutishia waandamanaji au kusaidia wizi wa kura kwa wapinzani bali kupigania nchi na sio kinyonge nyonge

Watanzania tunabaki kuchekeshwa chekeshwa na serikali kama watoto wadogo. Hii ni dharau kubwa. Hakuna mtu anajua kuhusu mazishi wa wanajeshi, hakuna bendera nusu mlingoti.......... huu ndiyo uzalendo
Usiseme M23 sema Rwanda 🇷🇼
 
Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?

Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.

Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki kusifia sifia kila kitu. Yaani miradi yetu ya treni ina maana gani kama hakuna usalama Congo ya mashariki?. Jeshi letu kama halipigani kwa manufaa ya nchi wanabaki kuonyesha misuli kwenye sherehe tu sio powa. Haya ndiyo mambo ambayo jeshi letu linatakiwa kupigania sio kutishia waandamanaji au kusaidia wizi wa kura kwa wapinzani bali kupigania nchi na sio kinyonge nyonge

Watanzania tunabaki kuchekeshwa chekeshwa na serikali kama watoto wadogo. Hii ni dharau kubwa. Hakuna mtu anajua kuhusu mazishi wa wanajeshi, hakuna bendera nusu mlingoti.......... huu ndiyo uzalendo
Majeshi ya Tanzania na Africa Kusini kwa sasa hayana sababu ya msingi kupigana na M23.

Malengo ya kuwepo kwao Congo DRC yamefikiwa.

Na ndivyo walivyosema wazee PK na M7.
 
Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?

Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.

Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki kusifia sifia kila kitu. Yaani miradi yetu ya treni ina maana gani kama hakuna usalama Congo ya mashariki?. Jeshi letu kama halipigani kwa manufaa ya nchi wanabaki kuonyesha misuli kwenye sherehe tu sio powa. Haya ndiyo mambo ambayo jeshi letu linatakiwa kupigania sio kutishia waandamanaji au kusaidia wizi wa kura kwa wapinzani bali kupigania nchi na sio kinyonge nyonge

Watanzania tunabaki kuchekeshwa chekeshwa na serikali kama watoto wadogo. Hii ni dharau kubwa. Hakuna mtu anajua kuhusu mazishi wa wanajeshi, hakuna bendera nusu mlingoti.......... huu ndiyo uzalendo
Jeshi la SADC na vikosi vya UN vimewashindwa M23/RDF.

T14 Armata
 
Majeshi ya Tanzania na Africa Kusini kwa sasa hayana sababu ya msingi kupigana na M23.

Malengo ya kuwepo kwao Congo DRC yamefikiwa.

Na ndivyo walivyosema wazee PK na M7.
Kwa hiyo Drc kwa sasa ina amani na makundi ya waasi yamedhibitiwa ?
 
Jaribu kupitia mikataba ya ulinzi wa Amani Kuna mambo unaweza ambulia.
Tz tuna makundi mawili yote yapo congo kuna la kwanza lipo chini ya UN, It's a peacekeeping force (MONUSCO) hili linajibu tu pale linapo shambuliwa.
Na kundi la pili lipo chini ya SADC

(SAMIDRC)ili ni peace enforcement hili ni vyuma vyuma mzee hakuna utetezi na wapo south Africa, Tanzania na Malawi.​

 
Wanachojuwa ni kukatika uno tu
Na washatuambukiza wabongo maana na ss sahv tunasifika kwa kukata uno
Wale m23 wamejipanga na wamejifuaaa

Ova
 
Si kwamba wamewashindwa.
Suala la msingi ni kwamba SADC na UN wamekuwepo Congo miaka zaidi ya 30 wamefanya nini cha maana hadi lkwaibuka kwa M23?.
Operation zote za kijeshi huko Drc zimeshindwa kuleta amani ya kudumu.
 
Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?

Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.

Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki kusifia sifia kila kitu. Yaani miradi yetu ya treni ina maana gani kama hakuna usalama Congo ya mashariki?. Jeshi letu kama halipigani kwa manufaa ya nchi wanabaki kuonyesha misuli kwenye sherehe tu sio powa. Haya ndiyo mambo ambayo jeshi letu linatakiwa kupigania sio kutishia waandamanaji au kusaidia wizi wa kura kwa wapinzani bali kupigania nchi na sio kinyonge nyonge

Watanzania tunabaki kuchekeshwa chekeshwa na serikali kama watoto wadogo. Hii ni dharau kubwa. Hakuna mtu anajua kuhusu mazishi wa wanajeshi, hakuna bendera nusu mlingoti.......... huu ndiyo uzalendo
Kwani walienda kupigana huko?
 
Back
Top Bottom