Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

Sasa kama mnakuwa na jeshi ambalo dogo janja tu wa miaka 24 anajipa cheo cha luteni unategemea mkashinde hawa watusi wa kikongomani kiongozi?

SA wao nasikia walipeleka madogo walio graduate jeshi siku si nyingi kwahiyo katika uwanja wa kivita bado wanahitaji muda kukupa matokeo
Walio maliza kozi wakiend wanakua na morali sana
 
Hata kama Tshekedi aliibiwa kura Ili ashinde, je kuwatumia Rwanda (M23) kumuondoa madarakani ndio suluhisho la matatizo ya Drc?....huoni hao wavamizi ndio wanaivuruga nchi zaidi huku raia wakiteseka?
M23 si wavamizi ni wacongo walozaliwa Congo DRC wenye vinasaba vya Rwanda.

Tusiwaite wavamizi.
 
Hata AU Imeshindwa, wa kuiokoa DRC ni Wazungu pekee
My dear friend,SADAC ni walinzi wa amani tu.
Ila kama kuna upande ukikiuka watu hukaa chini na kutatua.
Goma plus M23 plus Kagame forces na labda Museveni forces plus Kenya Forces. wana biashara yao.
Nadhani ndio hapo kuna hatua mpya ambayo sio popular lakini South Africa, Angola,Zimbabwe,Wana majeshi makubwa ya kisasa watakapo fanya vitu vyao.
Mimi nawaomba wasiojua wafungue macho.Rwanda ya Kagame na hata Uganda zipo mashakani.Hivi makombola 50 Rwanda itapona?
Ruto acha unafiki Angola na South Africa wataipasua Port Mombasa.Wake up.
 
My dear friend,SADAC ni walinzi wa amani tu.
Ila kama kuna upande ukikiuka watu hukaa chini na kutatua.
Goma plus M23 plus Kagame forces na labda Museveni forces plus Kenya Forces. wana biashara yao.
Nadhani ndio hapo kuna hatua mpya ambayo sio popular lakini South Africa, Angola,Zimbabwe,Wana majeshi makubwa ya kisasa watakapo fanya vitu vyao.
Mimi nawaomba wasiojua wafungue macho.Rwanda ya Kagame na hata Uganda zipo mashakani.Hivi makombola 50 Rwanda itapona?
Ruto acha unafiki Angola na South Africa wataipasua Port Mombasa.Wake up.
Hapo juu waweza kuwa sahihi Ila hapo chini kwa nchi hizo zingine ( South Africa, Zimbabwe, Angola ) Hawana chao hapo na huenda wamechuma sana.

Lakini upepo hubadilika.
 
Kuna mtu ana kwambia yeye nchi kaizidi duniani ndio maana anafaa kupewa maswali
IMG_0612.jpeg
 
Na jeshi la Rwanda linalowasaidia sio vamizi ?
Hii ndo ipo disputed lakini upande wa mama siju zote husaidia pale mpwa anapokwama.

My friend hii imepangwa na ndo yatekelezwa.
 
Kwa hiyo jeshi la Rwanda linatoa msaada kwa mpwa wake M23 na sio uvamizi?
Kwa sie tulio nje twaona hivyo lakini pale jikoni penyewe haiko hivyo.

Congo ni failed state kwa sasa hivyo ni Nani mwenye nguvu ndie ataweka order.

Kama umemsikiliza Nangaa anasema wataiweka Congo kutoka failed state kuwa modern state.
 
Ndio ila watafanya jambo ila naona wimbi la wakimbizi likiamia TZ
Waje tu hakuna namna serikali ya kongo inachangamoto nyingi.Shida inaanza pale wanapotwisha mzigo mataifa kama Rwanda kuhisika directly wakisahau shida kubwa ni utawala ndani ya nchi yao
 
M23 si wavamizi ni wacongo walozaliwa Congo DRC wenye vinasaba vya Rwanda.

Tusiwaite wavamizi.

..M23 ni wavamizi.

..silaha ndogo na nzito walizonazo zimetoka nje ya DRC.

..jambo la kujiuliza ni majeshi ya Tanzania, Malawi, na Afrika Kusini, yalikuwa wapi wakati silaha nzito zinaingia DRC na kupelekea M23 kuwashambulia?

..Ndio maana nasema warudi nyumbani kwasababu hawalindi amani, wala hawaitetei nchi mwanachama wa SADC ambayo imevamiwa.
 
Je Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?

Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.

Waandishi wa habari wa Tanzania badala ya kuuliza maswali kama haya wanabaki kusifia sifia kila kitu. Yaani miradi yetu ya treni ina maana gani kama hakuna usalama Congo ya mashariki?. Jeshi letu kama halipigani kwa manufaa ya nchi wanabaki kuonyesha misuli kwenye sherehe tu sio powa. Haya ndiyo mambo ambayo jeshi letu linatakiwa kupigania sio kutishia waandamanaji au kusaidia wizi wa kura kwa wapinzani bali kupigania nchi na sio kinyonge nyonge

Watanzania tunabaki kuchekeshwa chekeshwa na serikali kama watoto wadogo. Hii ni dharau kubwa. Hakuna mtu anajua kuhusu mazishi wa wanajeshi, hakuna bendera nusu mlingoti.......... huu ndiyo uzalendo
Tukupeleke wewe front line Goma??
Kama hujatolewa utumbo na kagame
 
Kwa sie tulio nje twaona hivyo lakini pale jikoni penyewe haiko hivyo.

Congo ni failed state kwa sasa hivyo ni Nani mwenye nguvu ndie ataweka order.

Kama umemsikiliza Nangaa anasema wataiweka Congo kutoka failed state kuwa modern state.
Nangaa atashindwa kama alivyoshindwa Joseph Kabila akipewa nchi, sababu waliomuweka hapo ni Wanajeshi wa Rwanda.

Ili kupata legitimacy itabidi apunguze idadi yao jeshini na serikalini, akitaka kufanya hivyo atapinduliwa, machafuko yatarudi tena.
 
Back
Top Bottom