Wakuu jana nilipata fursa ya kuangalia mashindano ya under 20 kwa timu za ligi kuu kati ya azam na dodoma jiji. Kiukweli nilichokiona kilinisikitisha sana.
Wachezaji wa under 20 kwa kawaida ungetegemea wawe na viwango kuonyesha wapo tayari kiuchezaji kutokana na umri wao.
Lakini huwezi kuamini wachezaji wa timu zote mbili walikuwa wanastruggle hata kutuliza pasi. Yaani wachezaji karibia wote first touch zao zilikuwa mbovu mno. Kwnye kutoa pasi kwenyewe hawatoi pasi za kueleweka pasi mkaa zilikuwa nyingi sana.
Kwa kifupi wachezaji wote walicheza hovyo sana. Sasa nikajiuliza hawa wachezaji huwa wanafundishwa nini huko mazoezini ikiwa kutuliza tu mpira ni kasheshe?
Je, Wana makocha sahihi wa kuwafundisha mbinu sahihi je makocha hawa wanakidhi viwango au wameokotwa tu mitaani?
Je, nini hatma ya soka letu ambalo kwa kiasi kikubwa limetawaliwa na wageni ikiwa wachezaji wetu wa under 20 tunaowategemea hata kutuliza mpira hawawezi?
Wachezaji wa under 20 kwa kawaida ungetegemea wawe na viwango kuonyesha wapo tayari kiuchezaji kutokana na umri wao.
Lakini huwezi kuamini wachezaji wa timu zote mbili walikuwa wanastruggle hata kutuliza pasi. Yaani wachezaji karibia wote first touch zao zilikuwa mbovu mno. Kwnye kutoa pasi kwenyewe hawatoi pasi za kueleweka pasi mkaa zilikuwa nyingi sana.
Kwa kifupi wachezaji wote walicheza hovyo sana. Sasa nikajiuliza hawa wachezaji huwa wanafundishwa nini huko mazoezini ikiwa kutuliza tu mpira ni kasheshe?
Je, Wana makocha sahihi wa kuwafundisha mbinu sahihi je makocha hawa wanakidhi viwango au wameokotwa tu mitaani?
Je, nini hatma ya soka letu ambalo kwa kiasi kikubwa limetawaliwa na wageni ikiwa wachezaji wetu wa under 20 tunaowategemea hata kutuliza mpira hawawezi?