Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Quran imetaja majina ya watu ambao tayari biblia ilishawataja zamani miaka zaidi ya 1000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Quran imetaja story zinazofanana na story za kwenye biblia au maandiko ya kiyahudi yaliyokuwepo miaka zaidi ya 2000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Nini chanzo cha hizi story kuonekana humo?. Najiuliza. Kama mwenyezi Mungu alisahau kitu huko nyumq kwa nini asingeleta story na mambo mapya ili yaonekane ni mbadala wa yale yaliyokuwepo?

Je hizi ni moja ya sababu?

1: Kwa sababu ukristo ulikuwepo uarabuni zaidi ya miaka 600 kabla ya kuzaliwa Mtume wa waislam, basi zilichanganywa ili kuvuta wafuasi.

2: Kwa sababu Mtume wa waislam alipotokewa na kitu asichokifahamu, mkewe mkubwa alimpeleka kwa mkristo ili amsaidia ndugu Waraqa. Na kazi ya huyu waraqa ilikuwa ni kutafsiri maandiko ya biblia kwa kiarabu, basi kuishi hapo ambapo alitabiriwa utume alipata ideas mbili tatu kuhusu mambo yaliyokuwemo kwenye maandiko ya wakristo na wayahudi.

3: Kile kilichomtokea pangoni ndio kilimpa hayo maagizo na kumpa tips zinazoendana na maandiko kabla yake ila zikiwa zimechanganywa ili kuleta utofauti.

4: Au yale yalikuwa ni maelekezo ya Allah ambayo hayatakiwi kuhojiwa wala kuzungumziwa wala kulinganishwa na chochote.


Wajuvi mtujuze sisi wenye akili viherehere tusiona mipaka kujifunza mambo.

Comments ziheshimu imani za watu.
 
Quran imetaja majina ya watu ambao tayari biblia ilishawataja zamani miaka zaidi ya 1000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Quran imetaja story zinazofanana na story za kwenye biblia au maandiko ya kiyahudi yaliyokuwepo miaka zaidi ya 2000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Nini chanzo cha hizi story kuonekana humo?. Najiuliza. Kama mwenyezi Mungu alisahau kitu huko nyumq kwa nini asingeleta story na mambo mapya ili yaonekane ni mbadala wa yale yaliyokuwepo?

Je hizi ni moja ya sababu?

1: Kwa sababu ukristo ulikuwepo uarabuni zaidi ya miaka 600 kabla ya kuzaliwa Mtume wa waislam, basi zilichanganywa ili kuvuta wafuasi.

2: Kwa sababu Mtume wa waislam alipotokewa na kitu asichokifahamu, mkewe mkubwa alimpeleka kwa mkristo ili amsaidia ndugu Waraqa. Na kazi ya huyu waraqa ilikuwa ni kutafsiri maandiko ya biblia kwa kiarabu, basi kuishi hapo ambapo alitabiriwa utume alipata ideas mbili tatu kuhusu mambo yaliyokuwemo kwenye maandiko ya wakristo na wayahudi.

3: Kile kilichomtokea pangoni ndio kilimpa hayo maagizo na kumpa tips zinazoendana na maandiko kabla yake ila zikiwa zimechanganywa ili kuleta utofauti.

4: Au yale yalikuwa ni maelekezo ya Allah ambayo hayatakiwi kuhojiwa wala kuzungumziwa wala kulinganishwa na chochote.


Wajuvi mtujuze sisi wenye akili viherehere tusiona mipaka kujifunza mambo.

Comments ziheshimu imani za watu.
Kwani biblia imejumuisha vitabu vingap?
 
Kwani biblia imejumuisha vitabu vingap?
Ninaposema biblia namaanisha
Makusanyo ya vitabu vitano vya musa. TORAH.
Makusanyo ya vitabu vya manabii,waflme na wazee wa imani (Yoshua ~Malaki)

Makusanyo ya vitabu vya injili (Mathayo to Yohana)
Makusanyo ya vitabu na nyaraka za mitume (Matendo ~Ufunuo).
 
Quran imetaja majina ya watu ambao tayari biblia ilishawataja zamani miaka zaidi ya 1000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Quran imetaja story zinazofanana na story za kwenye biblia au maandiko ya kiyahudi yaliyokuwepo miaka zaidi ya 2000 kabla ya kuzaliwa mtume wa waislam.

Nini chanzo cha hizi story kuonekana humo?. Najiuliza. Kama mwenyezi Mungu alisahau kitu huko nyumq kwa nini asingeleta story na mambo mapya ili yaonekane ni mbadala wa yale yaliyokuwepo?

Je hizi ni moja ya sababu?

1: Kwa sababu ukristo ulikuwepo uarabuni zaidi ya miaka 600 kabla ya kuzaliwa Mtume wa waislam, basi zilichanganywa ili kuvuta wafuasi.

2: Kwa sababu Mtume wa waislam alipotokewa na kitu asichokifahamu, mkewe mkubwa alimpeleka kwa mkristo ili amsaidia ndugu Waraqa. Na kazi ya huyu waraqa ilikuwa ni kutafsiri maandiko ya biblia kwa kiarabu, basi kuishi hapo ambapo alitabiriwa utume alipata ideas mbili tatu kuhusu mambo yaliyokuwemo kwenye maandiko ya wakristo na wayahudi.

3: Kile kilichomtokea pangoni ndio kilimpa hayo maagizo na kumpa tips zinazoendana na maandiko kabla yake ila zikiwa zimechanganywa ili kuleta utofauti.

4: Au yale yalikuwa ni maelekezo ya Allah ambayo hayatakiwi kuhojiwa wala kuzungumziwa wala kulinganishwa na chochote.


Wajuvi mtujuze sisi wenye akili viherehere tusiona mipaka kujifunza mambo.

Comments ziheshimu imani za watu.
Qur-an imenukuu historia zilizopo kwenye vitabu vya zaburi, taurati, injili na sufi. Kisha qur-an ikaleta mafundisho tunayopaswa kufata waislam
 
Ninaposema biblia namaanisha
Makusanyo ya vitabu vitano vya musa. TORAH.
Makusanyo ya vitabu vya manabii,waflme na wazee wa imani (Yoshua ~Malaki)

Makusanyo ya vitabu vya injili (Mathayo to Yohana)
Makusanyo ya vitabu na nyaraka za mitume (Matendo ~Ufunuo).
Sas kwanin useme qur-an imecopy biblia na sio taurat, zaburi na vingine?
 
9

Sas kwanin useme qur-an imecopy biblia na sio taurat, zaburi na vingine?
1: Sijasema, simeuliza mkuu ili kukupa uwanja wa kufafanusha.
2: Imemtaja Yesu ba mama Yake au Isa ambaye hayumo kenye taurat ila yumo kwenye vitabu vinne vya INJILI na nyaraka za mitume wake.
Hii inajumuisha makusanyo yote.

Karibu sheikh
 
Qur-an imenukuu historia zilizopo kwenye vitabu vya zaburi, taurati, injili na sufi. Kisha qur-an ikaleta mafundisho tunayopaswa kufata waislam
Kitabu cha injil ni kipi, ambacho quran imekinukuu, unamfano.
 
Swala mgawanyo wa injili mnaujua nyie ,ila kweny uislam tunafaham injili ni full book package alichokuja nacho issa (a.s) a.k Yesu
Unaushahidi wowote wa uwepo wa kitabu kinachoitwa injili kilichoandikwa na nabii Yesu. Unahata aya moja kutoka kwenye hicho kitabu unitumie.
Hapa. Kama huna usikizungumzie mkuu.

Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kukutaza kuxungumzia vitabu ambavyo unaamini vipo lakini hujawahi kuviona wala huna aya zake.
 
Unaposema Biblia unamaanisha agano la kale ama agano jipya???
Ninaposema biblia namaanisha
Makusanyo ya vitabu vitano vya musa. TORAH.
Makusanyo ya vitabu vya manabii,waflme na wazee wa imani (Yoshua ~Malaki)

Makusanyo ya vitabu vya injili (Mathayo to Yohana)
Makusanyo ya vitabu na nyaraka za mitume (Matendo ~Ufunuo).
 
Back
Top Bottom