Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

Basi hata biblia ime copy na paste maneno ya Musa na Daudi,


Mitume iliyopewa vitabu vitakatifu.

1 -TORATI-- MUSA.

2-ZABURI -- DAUDI.

3-INJILI-- YESU.

4-FURQAN--MOHAMMAD(SAW).

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kati ya Biblia na Quran ipi iliyoanza?
Tuseme Allah naye alicopy maandiko ya kwenye Torati, Zaburi na Injili?
 
Unaweza kutaja tarehe ya mwisho wa injili ya Issa kwa wayahudi. Maana wayahudi bado wapo. Kwa nini waarabu wanaambiwa waviamini vitabu ikiwemo hiyo ijili ya Issa ambayo haiwahusu. Allah aliruhusu vipi wayahudi waharibu injili aliyoituma kwao. Kwa nini asingetumiq mbinu alizotumia huitunza quran ili wayahudi wapya wanaozaliwa wanufaike na injili yao.

Masimulizi ya kiislam yanayofundisha hivi, hili yanalizungumziaje.

Karibu.
Muhammad (s.a.w) alikuja kama mtume wa ulimwengu mzima mantiki hiyo injili, zaburi, torat na suhufi zisingeweza kufanya kazi mbele ya qur-an.

Uwepo wa injili na vitabu vingne ndani ya qur-an ni kwa lengo la historia kwa yale yaliyokuwepo kabla ya umma wa Mohammad (s.a.w).Mungu hakushindwa kuvilinda hivyo vitabu visiharibiwe sabab ni kuwa HIVYO VITABU VILITUMWA KWA MUDA MAALUMU NA BAADA YA HUO MUDA VINABAKI HISTORIA TU.

NOTE:HIVYO VITABU KWENYE QUR-AN HAVINA KAZI YOYOTE ZAIDI YA HISTORIA
 
Duh!
Yesu kristo alizaliwa kwenye zizi la ng'ombe na Issa alizaliwa chini ya mtende.
Huyu huyu issa ndiyo wanasema ndiyo yule wa kwenye The holy Bible.
Kwahiyo Allah alinukuu injili, Torati na Zaburi kutoka kwenye The holy Bible?
Nan anayesema issa ndo yesu?

Uthibitisho wa qur-an imenukuu bible unao?
 
Asante kwa mchango.
Ulichocomment ndio moja ya madhara ya kusoma vitabu vitakatifu kama viapo.
Wenzako walioelewa wamenyamaza au wamepotezea maana wanajua ninavhokitaka hakipo.
Huwezi kuelewa sabab unaleta ujuaji wa ajabu.
 
Kuhusu hili la Issa na Yesu. Sioni shaka nalo.
Mwa imani yangu binafsi sijui wengine.
1: Issa ni jina la Yesu kwa kiarabu sio kiislam. Kama ilivyo John na Yohana kwa kwa kiswahi au kilatini.

2: Maelezo ya Issa wa Kwenye Quran yanaendana japo kwa utofauti na maelezo ya Yesu wa kwenye Biblia na mama yake.
Hivyo naamini Yesu wa kwenye Quran ni toleo jipya la Yesu yuleyule wa kwenye Biblia ila amehafifishwa au kawekwa ili quran isijekuonekana ni kitabu cha Mungu mpya ambaye hana uhusiano na Mungu yule wa wakina Yesu, Yakobo, Musa, Ibrahim na Yohana.

Kwa hiyo Muislam anayemjifunza Issa ni kama anajifunza mwangwi tu au kivuli cha Yesu wa kwenye Biblia. Anatakiwa aje afundishwe vizuri huku kwetu.

Huu ndio ufahamu wangu ambao sikutaka kuuweka wazi mwanzo ili nipate mawazo mapya. Kutokea hapo mkuu unaweza kusema au kuongezea ulichokusudia kusema.

Ndugu yangu wewe unaonekana ni muelewa hebu fanya uchunguzi kwa nini Mtume huyo mmoja ameandikwa tofauti katika Quran na kwenye Biblia. Fanya hivi kabla ya kufanya utafiti muombe Mwenyezi Mungu akuonyeshe ukweli ni upi ikiwa ni katika Quran au katika Biblia.

Quran ilichofanya ni kusahihisha makosa yaliyofanywa na waandishi waliobadilisha na kuweka mambo mapya katika kitabu cha Injili, mfano kwa kusema Yesu/Issa ni Mungu au ni mwana wa Mungu. Quran imesema wazi wazi kuwa Mwenyezi Mungu hana mwana wala hakuna Mungu mwingine isipokuwa Mungu mmoja tu.

Kwa hivyo Quran imeshahihisha palipokosewa au palipoharibiwa katika vitabu vya zamani na kueleza njia sahihi ni ipi.
 
Kuhusu hili la Issa na Yesu. Sioni shaka nalo.
Mwa imani yangu binafsi sijui wengine.
1: Issa ni jina la Yesu kwa kiarabu sio kiislam. Kama ilivyo John na Yohana kwa kwa kiswahi au kilatini.

2: Maelezo ya Issa wa Kwenye Quran yanaendana japo kwa utofauti na maelezo ya Yesu wa kwenye Biblia na mama yake.
Hivyo naamini Yesu wa kwenye Quran ni toleo jipya la Yesu yuleyule wa kwenye Biblia ila amehafifishwa au kawekwa ili quran isijekuonekana ni kitabu cha Mungu mpya ambaye hana uhusiano na Mungu yule wa wakina Yesu, Yakobo, Musa, Ibrahim na Yohana.

Kwa hiyo Muislam anayemjifunza Issa ni kama anajifunza mwangwi tu au kivuli cha Yesu wa kwenye Biblia. Anatakiwa aje afundishwe vizuri huku kwetu.

Huu ndio ufahamu wangu ambao sikutaka kuuweka wazi mwanzo ili nipate mawazo mapya. Kutokea hapo mkuu unaweza kusema au kuongezea ulichokusudia kusema
Asante mkuu, nilichotaka hasa nikujua uthabiti wa Imani yako juu ya huyu kiongozi wetu,kwakua huna shaka kuwa Yesu wa biblia ndie huyohuyo ISSA wa qur-an basi nami naungana nawe katika kutafuta majibu ya mawsali yako kwakua naamini hujui na una nia yakweli yakujifunza na bila shaka utakuwa muelewa kwa namna utakavyojibiwa na wale wenye ufahamu zaidi juu ya hoja zako.
 
Nani aliyemuwekea dhakari na manii baba yako,ambayo yalitoka kwa kuruka yakaingia kwa mama yako na kwenda kutungisha mimba Kisha ukazaliwa,huo mfumo kaweka nani!?..maana hauwezi kuwepo bila mhandisi
Kama hakuna kitu kisichoweza kuwepo bila mhandisi pia ata Mungu awezi kuwepo bila mhandisi.
 
Hiyo ni hoja ya pili,Ila mhandisi lazima awepo kwenye system yoyote,sawa!?
Ni hoja ya pili ila inaua ya kwanza , sio lazima mhandisi awepo ili system iwepo , kama ambavyo unaamni Mungu yupo ila hana mhandisi .
 
Ni hoja ya pili ila inaua ya kwanza , sio lazima mhandisi awepo ili system iwepo , kama ambavyo unaamni Mungu yupo ila hana mhandisi .
Mbona unajichanganya na kukimbilia mbele,kwa uelewa wako unakubali kabisa system haiwezi kuwepo bila mhandisi,so mfumo wa uzazi ni system ambayo tunakubaliana haikosi mhandisi,huyo mhandisi ni nani!?..haijalishi uwepo wake umetokana na nini
 
Mbona unajichanganya na kukimbilia mbele,kwa uelewa wako unakubali kabisa system haiwezi kuwepo bila mhandisi,so mfumo wa uzazi ni system ambayo tunakubaliana haikosi mhandisi,huyo mhandisi ni nani!?..haijalishi uwepo wake umetokana na nini
Sijui na wewe haujui wala hauna udhibitisho wakuja kusema ni Mungu .
 
Mbona unajichanganya na kukimbilia mbele,kwa uelewa wako unakubali kabisa system haiwezi kuwepo bila mhandisi,so mfumo wa uzazi ni system ambayo tunakubaliana haikosi mhandisi,huyo mhandisi ni nani!?..haijalishi uwepo wake umetokana na nini
Kama una
Unataka uthibitisho Tena!!😄😄 Toka mwanzo tunaongelea mfumo na mhandisi wake,Sasa hvi unauliza uthibitisho,nenda kale bana!!
Acha kujichekesha bila sababu ya msingi Mungu angekuwepo ata hii mijadala ya kuhusu uwepo wake isingekuwepo , ni sawa saivi tuanze kupinga uwepo wa jf , tungeonekana vichaa.
 
Kama una

Acha kujichekesha bila sababu ya msingi Mungu angekuwepo ata hii mijadala ya kuhusu uwepo wake isingekuwepo , ni sawa saivi tuanze kupinga uwepo wa jf , tungeonekana vichaa.
Ukifikiri vizuri bila kutumia hisia utagundua uwepo wake upo kifikra tu kutokana na maswali magumu tunayoshindwa kupata majibu maswali yakipata majibu fikra hizi hufifia.
 
Bible Mungu alishuka usiku mnene,akabondwa na yakobo mpaka ambariki,akambariki yakobo ndo akamwachia arudi mbinguni asionwe na watu,huwezi Kuta hizo kufru kwenye QUR'AN,kusema Qur'an ni desa la bible ni kutovijua vitabu vyote
Unamfanya Muhammad kuiba jina Israel alikuwa hajui maana yake , Yani Kali copy tu kapachika kwenye Koran
 
Kama una

Acha kujichekesha bila sababu ya msingi Mungu angekuwepo ata hii mijadala ya kuhusu uwepo wake isingekuwepo , ni sawa saivi tuanze kupinga uwepo wa jf , tungeonekana vichaa.
Unaonekana kichaa kusema ulimwengu na walimwengu hakuna aliyeviumba
 
Back
Top Bottom