Insidious
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 654
- 895
GWMZile double kibini wanazotumia polisi ni kampuni gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GWMZile double kibini wanazotumia polisi ni kampuni gani?
Mchina yuleZile double kibini wanazotumia polisi ni kampuni gani?
kirefu chake
Wameamuaje kwan serikal ya Tz wanatumia magar gan ukilishajua hlo kama kwl ww unamapungufu yeyote kweny ubongo wako uwez dskas ujinga huoLabda kampuni ya Toyota wameamua kutumia mkutano huu kama fursa ya kutangaza biashara yao. I'm just thinking..
great wall motorkirefu chake
Ok hizo nazo zimekodiwa au maana naona nyingi hazina plate numbergreat wall motor
Serikal ya Tanzania ndyo magar yake yote kwa watumish waumma na hao marais hawaji na magar yao watazkuta uku ndy izo toyotaHabari wakuu!
Wakati natazama ujio wa marais wa Afrika kwenye ukumbi wa JNICC nimegundua ya kuwa viongozi wengi waliowasili wametumia magari yanayofanana kimuundo na yote yametengenezwa na Toyota.
Kwa wale wajuvi wa mambo naomba mnieleze ni kwanini magari yao yanafanana na ni kwanini wanatumia ya kampuni ya Toyota?
Am just curious. Yangu ni hayo tu.
Yamkini wao wametaka kupanda hyo BMW na benzi lakn kwa hapa nyumban n ToyotaSawa mkuu ila mbona rais wa Somalia kaja na BMW na wa Djibout kaja na BENZ ?
Mapungufu ya kwenye ubongo anayo mama yako kum@ wewe.Wameamuaje kwan serikal ya Tz wanatumia magar gan ukilishajua hlo kama kwl ww unamapungufu yeyote kweny ubongo wako uwez dskas ujinga huo
Ili nijifunze Nini humo?Angalia TBC.
🙇🙇🙇 ok asante. Mungu akusamehe sana na anisaidie kulipa mazur kwako kunitukania mzaz wang ambayo yy akukujibu ila n mm tu kweny kupeana mawazo mawili matatuMapungufu ya kwenye ubongo anayo mama yako kum@ wewe.
Go to my ignore list
Kuba watu hampaswi hata kuandika kitu humu sasa ww hujui kama magari ni ya serikali yetu mnatuchosha nyie darasa la 4 hv ww ukienda kusalimia kijijini unabeba na maji yakoHabari wakuu!
Wakati natazama ujio wa marais wa Afrika kwenye ukumbi wa JNICC nimegundua ya kuwa viongozi wengi waliowasili wametumia magari yanayofanana kimuundo na yote yametengenezwa na Toyota.
Kwa wale wajuvi wa mambo naomba mnieleze ni kwanini magari yao yanafanana na ni kwanini wanatumia ya kampuni ya Toyota?
Am just curious. Yangu ni hayo tu.
Mwambie kuwa kuna taasisi moja ya Serikali inaitwa GTA (Government Travel Agency). Chini ya wizara ya Ujenzi Ndiyo inamiliki hayo magari. Sometimes hukodi kama imezidiwa.Uko nyuma sana ndugu.
Yale magari hawakutoka nayo huko kwao, yameandaliwa na serikali ya Tanzania kwaajili ya shughuli hiyo.
Tanzania kwenye suala la magari ya umma Toyota ndiyo chaguo nambari 1. Yawezekana Toyota wanawapa rushwa maafisa wa serikali na GPSA ili wapate upendeleo kwa kampuni ya Toyota kwenye manunuzi.
GTA ilikuwa chini ya TEMESA, imefutwa kiaina maana majukumu yake ni kama baadhi ya taasisi walikuwa wakiyafanya. Magari yao yaliyobaki wameyapaki pale Keko Mwanga karibu na MSDMwambie kuwa kuna taasisi moja ya Serikali inaitwa GTA (Government Travel Agency). Chini ya wizara ya Ujenzi Ndiyo inamiliki hayo magari. Sometimes hukodi kama imezidiwa.