implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Asante mkuuHakuna mkataba ,serikali inanunua gari toyota tanzania au wakala haijafungwa kununua toyota tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuuHakuna mkataba ,serikali inanunua gari toyota tanzania au wakala haijafungwa kununua toyota tu
Dharau pia ni adui mkubwa wa maendeleo ya mtu.Bado UJINGA ni adui mkubwa wa taifa. Ndugu kwa akili yako ukajua marais wote walikuja na magari yao kwenye ule mkutano? Hujui kuwa yale ni magari ya serikali ya Tanzania yaliyotumika maalum kuhudumia hao wageni? Nimesikitika sana.
Wachina Ama Korea Pia Nadhani Ni Msaada UleZile double kibini wanazotumia polisi ni kampuni gani?